Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 680
- 1,306
- Thread starter
-
- #41
Na mtoto wenu vpMie nikiwa mwaka wa kwanza tu nilioa na tukapanga msewe na kupata mtoto mmoja, tuliachana baada ya yeye kuajiriwa km 800 toka nilipo na hakuwa tayari kuwa mke mkubwa. Hadi kesho akienda rikz6 anaandika mme jina langu
Hela yako tu..hata sisi wazee hawatuogopi kabisa ha ha ha haWatoto wa kike sasa ni chakula rahisi kupatikana
Ukitaka uwapate jisogeze kumbi za starehe zilizo karibu na vyuoniWatoto wa kike sasa ni chakula rahisi kupatikana
Wanaosemaga hawawezi kuoa mwanamke aliyepita chuo Ni Kama wanahoja ila hawajua waiweke vipi ili ikubalikeKuna nyumba yangu moja madogo wamepanga wawili kijana na binti..niligoma goma baadaye nikaona hainihusu cha msingi wanakipa kodi yangu basi mengine watajua wenyewe.
Kwa hiyo mnao oa sasa hivi jueni kwanba hiyo ndoa si ya kwanza kwa binti ama kwa kijana.
Tusitishane mkuu.[emoji3] Kuna wadogo zako na binti zako
Umejiandaaje kwa Hilo?! maana dunia inazunguka hii.
Wewe ni mmoja wao?Leo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.
Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.
Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.
Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikua wakibadili wapenzi kila baada ya semester.
Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokua vyuoni.
Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.
Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
Speaking with experience mkuuWewe ni mmoja wao?
Walio vyuoni ni watu wazima kwa hiyo hatupaswi kushangaa! Tungeshangaa na kuhuzunika kama wangekuwa watoto wa sekondari au shule za msingi!Speaking with experience mkuu
Wa kwangu alivyomaliza form six tu nikamdaka..akaenda chuo mke wa mtu..najua waliniibia lakini si kwa style hii ya mke na mke miaka 3 chumba kimoko aisee !!Wanaosemaga hawawezi kuoa mwanamke aliyepita chuo Ni Kama wanahoja ila hawajua waiweke vipi ili ikubalike
Ni sawa wakioa na kuolewa halafu ndoa zikafa wanapomaliza chuo?Walio vyuoni ni watu wazima kwa hiyo hatupaswi kushangaa! Tungeshangaa na kuhuzunika kama wangekuwa watoto wa sekondari au shule za msingi!
πππMapenzi ya chuo ni kama vitoroli vya supermarket, vinazurula ndani ya super market tu ukimaliza unaviacha hapohapo
Huo ndio uhuru walioumis mdauLeo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.
Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.
Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.
Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikua wakibadili wapenzi kila baada ya semester.
Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokua vyuoni.
Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.
Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
Mbona huku mitaani ni jambo la kawaida? Kwa sababu ukifuatilia hapo utaona kama binti akibahatika kupata ajira kijana lazima aachwe na kama binti akipata ujauzito na hana kazi lazima aachwe!Ni sawa wakioa na kuolewa halafu ndoa zikafa wanapomaliza chuo?
Hako kamhumo kananipa mashaka mkuu.Mimi sitaki kuamini kuwa niliolewa pia nikiwa huko....uwwi[emoji18]
Ndio wasomi wetu hao.Leo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.
Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.
Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.
Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikuwa wakibadili wapenzi kila baada ya semester.
Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokuwa vyuoni.
Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.
Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
π π Huu mfano wako ni kiboko!!Mapenzi ya chuo ni kama vitoroli vya supermarket, vinazurula ndani ya super market tu ukimaliza unaviacha hapohapo
Exactly...mwaka wa 2 na wa3 mimba zinabebwa balaa..first year inakuaga kuna uoga fulani.na ushamba kutoka vijijin....wakishazoea sasa.ule ufree wa chuo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]....SISI walianza poa tu wengi ila mwka wa pili kwenda wa tatu walipata vitumbo sio mchezo mpaka wale walikuwa watu wa dini