Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa naona shida sio mtoto wala mzazi😂😂Yaani weekend wanaenda shule, likizo wananyimwa..
Halafu mambo yenyewe wanyokaririshwa huko mashuleni ni 'What's the name of the Zaramo traditional dance ?' au ' When was IBEACO established?' watoto wa 2012/13 hawa wanakaririashwa kampuni za wakoloni zilianzishwa lini.. hata waingereza wenyewe hawasomi huo upuuzi tena.
Kabisa aisee.. Wazazi wengi wa Tanzania hawaelewi majukumu yao kwenye elimu ya mtoto past kulipa ada.Hakuna sheria ya hivyo Tanzania tatizo ni wazazi
Kivp bro? Wazazi si wanatafuta mkate, inakuaje tena hawajielewiwazazi wengi ni kama hatujielewi
Jomba on a serious note mimi si mlinzi ila chenye nafanya kinataka nitoke ngwaree na nirudi late. Ndio ukitrend utaona niko JF mda woteAisee saa 10 unaenda wapi?
Umefuatilia shule ukaambiwa kwamba wanatoka sana mbili au hiyo ratiba umepewa na mwanafunzi mwenyewe?kama ni mtoto kakupa ratiba jitahidi kufuatilia shule Ili upate ratiba kamili isijekuwa mtoto ndio tatizo.Shule ya itumba sekondari iko wilaya ya Ileje,form two eti wanaenda asubuhi Hadi Sana mbili usiku. Hapo wazazi tutegemee mimba Kwa mabinti zetu. Binti anafika nyumban almost Saa tatu usiku. Nawaza San na huku kuna visa vingi Sana vya ubakaji.
Mimi pia katoto kangu bado kana miaka 2, ila hakika sitakaa niruhusu huu upuuzi umkute.Shule zinavunja sheria nyingi sana, zinawafanya watoto watumwa wa elimu na sisi wazazi tuna comply kila wanachosema.
Mtoto anaendaje shule saa 11 alfajiri, unamplelekaje mtoto wa la nne boarding school? Mimi sitakubali hata kidogo.
Kwahiyo wakiambiwa walete rambirambi ya mwenzao kafiwa mzazi akatae ama? Au kukiwa na birthday yake asiende na keki shule?Kabisa aisee.. Wazazi wengi wa Tanzania hawaelewi majukumu yao kwenye elimu ya mtoto past kulipa ada.
Yaani shule ikisema kitu, wazazi hawana la kubisha ilhali mzazi anawajibika kuamua welfare ya mtoto wake.
Madogo wanachoka sana...Kuna siku nilipita karibu na school bus,nikasikia mtu anakoroma ile kuangalia ndan karibia vitoto vyote vimelala🤨🤨🤨
Lazima wazazi tusimame kwenye nafasi yetu. Shule zenyewe gharama ni kubwa sana, lakini watafosi mambo mengi ili kuongeza gharama tu. J1 na J2 mtoto haendi shule, likizo mtoto apumzike ajifunze stadi zingine za maisha, hakuna kwenda boarding na hilo sitakubali.Mimi pia katoto kangu bado kana miaka 2, ila hakika sitakaa niruhusu huu upuuzi umkute.
Kuinua begi lake uwe umeshiba, mtoto mgongo umepinda kama mtego...Mtoto ana madaftari 20 vitabu 30
Nimefuatilia mkuu eti madarasa ya mtihani yanabaki kujisomea....kuna wakati nawaza kumkataza nahisi nisije msababishia mwanangu unyanyapaa WA walimu. But sipendi huo utaratibuMtoto
Umefuatilia shule ukaambiwa kwamba wanatoka sana mbili au hiyo ratiba umepewa na mwanafunzi mwenyewe?kama ni mtoto kakupa ratiba jitahidi kufuatilia shule Ili upate ratiba kamili isijekuwa mtoto ndio tatizo.
Hapana. Hili si suala nalolisemea.Kwahiyo wakiambiwa walete rambirambi ya mwenzao kafiwa mzazi akatae ama? Au kukiwa na birthday yake asiende na keki shule?
Hizo ni issues za kijamii, hazina shida.Kwahiyo wakiambiwa walete rambirambi ya mwenzao kafiwa mzazi akatae ama? Au kukiwa na birthday yake asiende na keki shule?
Hawana cha kufanya..Mi huwa nawachora tu Jumamosi mtoto hataenda shule.
Jumapili mtoto hataenda shule
Likizo mtoto hataenda shule
Na hakuna watachomfanya