Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann tu copy bro?? Hii copy and paste Ndo inaharibu Halmashauri ya vichwa vyetu, we can't think deepNiliwahi kuuliza swi mahali kwamba hatuwezi copy mtala wa Internationl school na kuutumia shule za kawaida?
Ujinga mkubwa sana kwa kweliNa wazazi wanaona ndio elimu yenyewe aisee, yaani mzazi anatamba mtaaa mzima na kazini kwake eti mtoto wake yuko busy sana shule yao inafundisha sana wanapewa sana maswali ya kufanya. Yaani ni full ujinga sana.
Sijawahi ziamini hizi English Medium na sitakaa niziamini some time hii kufuata Mass ndio inafanya tupeleke watoto kule ila naona kabisa napigwa pesa zangu ila ndio basi hakuna namna.Hakika mkuu..
Janjajanja nyingi, impact ndogo sana.
Ingekuwa bora kama wazazi wangegoma huu upuuzi wangeangalia faida ya elimu mtoto wao anapata sema tu wanaangalia faida ya ajira tu kazi ipoNa wazazi wanaona ndio elimu yenyewe aisee, yaani mzazi anatamba mtaaa mzima na kazini kwake eti mtoto wake yuko busy sana shule yao inafundisha sana wanapewa sana maswali ya kufanya. Yaani ni full ujinga sana.
Inasikitisha unakuta mtoto yuko Baby class anapewa homework, wakifunga eti kuna Tuition shuleni kwao. Na wazazi wanashangilia. Hizi english Medium zunaua elimu sana na kuharibu full watoto ila hilo hatulion tunashangilia tu.Ujinga mkubwa sana kwa kweli
Aisee..! Watoto wadogo kuishi boarding ni kitu kibaya sana.Huu mfumo ungekuwepo bongo tungefika mbali , Tatizo wazazi hawasupport Mabadiliko yoyote wenyewe wanajua kuepeleka 2 watoto wadogo bweni yaani katoto kanaanzia chekechea hadi la saba bweni so 😭😭😭😭 sad
Shida ni ulimbukeni na kufuata mkumbo ndio vinavyo tu cost sana, sema ni pesa ila kama mtu anajiweza peleka mtoto International schoool,Ingekuwa bora kama wazazi wangegoma huu upuuzi wangeangalia faida ya elimu mtoto wao anapata sema tu wanaangalia faida ya ajira tu kazi ipo
Na hicho ndio wazazi wanapenda ili wawe free, mtoti akalelewe na Matron na Patron.Aisee..! Watoto wadogo kuishi boarding ni kitu kibaya sana.
Kama kucopy hatuwezi kwanini tusiondoe masomo mengine yasio na faida kama history ?maana sioni umuhimu wake zaidi ya kukaririshwa miaka ya matukio ambao haito kusaidia kuingiza hata sent kwenye poketiKwann tu copy bro?? Hii copy and paste Ndo inaharibu Halmashauri ya vichwa vyetu, we can't think deep
Hapo mzazi anaona kawin 😂😂 na huku anajichimbia shimo mwenyeweNa hicho ndio wazazi wanapenda ili wawe free, mtoti akalelewe na Matron na Patron.
Bahati mbaya sana wazazi wengine hawafikirii.. matron 1, watoto 20 kwenye bweni.Na hicho ndio wazazi wanapenda ili wawe free, mtoti akalelewe na Matron na Patron.
Hii inachangia wanafunzi kuanza kuogopa mitihani na wengine kuchukuia shule mapemaShule zinavunja sheria nyingi sana, zinawafanya watoto watumwa wa elimu na sisi wazazi tuna comply kila wanachosema.
Mtoto anaendaje shule saa 11 alfajiri, unamplelekaje mtoto wa la nne boarding school? Mimi sitakubali hata kidogo.
Niliwahi kuta mtoto ana miaka kama 4 yuko Bording na nikakjuta anaumaa sijui UTI aisee na ndii mazai anaoigiwa simu na cha ajabu mzazi yuko ndani ya huo huo mji, aisee niliumiaga sana, ni kitambo kidogo ila niliumia mno.Aisee..! Watoto wadogo kuishi boarding ni kitu kibaya sana.
😀😀ni private?Shule ya itumba sekondari iko wilaya ya Ileje,form two eti wanaenda asubuhi Hadi Saa mbili usiku. Hapo wazazi tutegemee mimba Kwa mabinti zetu. Binti anafika nyumban almost Saa tatu usiku. Nawaza San na huku kuna visa vingi Sana vya ubakaji.
😅😅😅😅Aisee saa 10 unaenda wapi?
Wa kwangu alikuwa anachukuliwa saa 11 na nusu. Nikakataa huo upuuzi. Sasa hivi anaondokq saa moja na nusu.Shule zinavunja sheria nyingi sana, zinawafanya watoto watumwa wa elimu na sisi wazazi tuna comply kila wanachosema.
Mtoto anaendaje shule saa 11 alfajiri, unamplelekaje mtoto wa la nne boarding school? Mimi sitakubali hata kidogo.