Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukikutana na hao watoto wa English medium na vingereza vyao kule mlimani city utachokaUjinga mtupu, ukiwa na pesa Peleka watoto Internationa School, Hizi English Medium ni uhuni mkubwa na hakuna kitu pale, watu tunapigwa mchana kweupe
Hahahah. Walimu wengi wana matatizo ya akili. Viboko bila sababu za msingi. Mtoto kakosa swali, atapigwa hatari.Hii kitu imenitesa sana mpaka o level... Af ukute hauna usafiri wowote... Mwalimu anahesabisha namba saa 12½ asubuhi... Kuna watu hawana huruma kbsa, kugonga viboko tu kufundisha aaaah
Hakika.Wazazi siku hizi wana roho mbaya
Ushamba sana ,mfano Watalii wanao kuja Tanzania huwa some time si kwamba hawajui Kingereza ila hawataki kuongea makusudi kabisa, Unakuta lazima uwatafutia tour guide wa Lugha yao na si kwamba Kingereza hawakijuia wanakijua sana. Mind set zetu ni za kimasikini si mind set za kutufanya tuwe Taifa kubwa.Na ukikutana na hao watoto wa English medium na vingereza vyao kule mlimani city utachoka
Waafrika tuna ushamba mwingi wa lugha. Mtoto anaongea English za kubumba na wazazi wengine unaona kabisa wanahangaika kuongea nao.
Mimi nafanya kazi na wafini, hawa watu wanapenda lugha yao hatari. Wanaongez English tukiwa pamoja, otherwise ni kilugha tu.
Au.hatuwezi kabisa kuondoa neno National Duniani,likabaki neno International tu..tukaliongezea na maana ya -Nationa,-l pia?Niliwahi kuuliza swi mahali kwamba hatuwezi copy mtala wa Internationl school na kuutumia shule za kawaida?
Inakuwaje lazima na ni mtoto wako? Wanawezaje kukulazimisha kama hauna option? Wazazi dhaifu.Shule nyingi mtoto akifika darasala 4 na la 7 ni lazima akae bweni ni sheria kabisa
Kwa mtu ambaye anaishi Dar sidhani kama saa 10 ni usiku kwake.Aisee saa 10 unaenda wapi?
Darasa la 4 na la 7 hawakuwa na likizo mwezi June. Mbaya sana.Umeandika point kubwa sana mkuu inafikia hatua mpaka jumapili watoto wanatakiwa waende shule
Sio lazima. Unaweza usitoe.Kwahiyo wakiambiwa walete rambirambi ya mwenzao kafiwa mzazi akatae ama? Au kukiwa na birthday yake asiende na keki shule?
Huyu wa Arusha.Kwa mtu ambaye anaishi Dar sidhani kama saa 10 ni usiku kwake
Lazima kwa sheria gani ya nchi? Mbona wa Kayumba hawakai bweni hao std7?Shule nyingi mtoto akifika darasala 4 na la 7 ni lazima akae bweni ni sheria kabisa
Mdudu huyo.Aisee saa 10 unaenda wapi?