Hivi wazazi wamekuwaje zama hizi.. Cha kusomesha watu Weekend ni nini hasa?Kuna shule anasoma mtoto wa jirani wanaenda had j2, afu ni private.
Najisemeaga Pesa zinatolewa ilo watoto wateseke, lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa shule za msingi kiukweli utaratibu ubadilishwe ikiwezekana waingie saa mbili watoke saa 9 masaa 6 ni mengi kwa siku kama yatatumika vizuri hawa bado wanakuwa kuwachosha sana inakuwa si vizuri aisee sasa weekend wanapata lini?Kuna shule anasoma mtoto wa jirani wanaenda had j2, afu ni private.
Najisemeaga Pesa zinatolewa ilo watoto wateseke, lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si kwa shule zote mkuu mfano hizi international school m.f Tanganyika, st contstatine , braeburn na nyenginezo kama hizo wale watoto kwanza wazazi wapo vizuri halafu hata elimu ipo vizuri pia ila upo sahihi kwa kiwango kikubwa.Msisahau kuwaandalia mazingira ya kazi watoto wenu wanaosoma hizo shule wakimaliza.
Sifa zisishie tu kupoteza pesa bure kwa kujibana na kujitesa katika hizo shule.
Nawakumbusha elimu ya hapa nchini haitofautiani kati ya shule za pesa na zisizo za pesa kazi inabaki kwako kunyoa au kusuka.
Hizo shule ulizoandika hazitoi elimu ya hapa Tanzania tofauti na shule zengine ambazo ndizo zinazungumziwa katika huu uzi.Si kwa shule zote mkuu mfano hizi international school m.f Tanganyika, st contstatine , braeburn na nyenginezo kama hizo wale watoto kwanza wazazi wapo vizuri halafu hata elimu ipo vizuri pia ila upo sahihi kwa kiwango kikubwa.
Hui ni uongo😂😂Kuna siku nilipita karibu na school bus,nikasikia mtu anakoroma ile kuangalia ndan karibia vitoto vyote vimelala🤨🤨🤨
Hakuna wanachoweza mfanya, maana serikali inasema siku za shule ni 5 kwa wiki, muda wa shule ni masaa 5 kwa watoto chini ya darasa la 5Hawana cha kufanya..
Ni vile watanzania wengi wamezoea kuburuzwa so kila mtu anatafuta awaburuzie angle gani..
IST wanaingia 0800 wanatoka 1400.Si kwa shule zote mkuu mfano hizi international school m.f Tanganyika, st contstatine , braeburn na nyenginezo kama hizo wale watoto kwanza wazazi wapo vizuri halafu hata elimu ipo vizuri pia ila upo sahihi kwa kiwango kikubwa.
Duh.. mkuu, hii inatisha..wazazi wengine wanasemaje?Yaani mimi my young anasoma grade 4 anaenda anaamka saa 11 anareport shulw saa 12 kamili anaanza na remedial then masomk saa 1 mpaka saa 10 then anaanza remedial tena saa 10-2 usiku...saa mbili ndio naumona home tena..sometimes hatuonani ata siku mbili hivi nakuta tuu kaniachia ujumbe au kanipigia sim dada uko wapi?Dad alienda shule kuweka complains akaambiwa either avumilie au amuhamishe shulw
Hiyo ratiba unaona ni sawa kwa mtoto wako?Yaani mimi my young anasoma grade 4 anaenda anaamka saa 11 anareport shulw saa 12 kamili anaanza na remedial then masomk saa 1 mpaka saa 10 then anaanza remedial tena saa 10-2 usiku...saa mbili ndio naumona home tena..sometimes hatuonani ata siku mbili hivi nakuta tuu kaniachia ujumbe au kanipigia sim dada uko wapi?Dad alienda shule kuweka complains akaambiwa either avumilie au amuhamishe shulw
Usomaji usio na tija wala manufaa kwa taifa we mtoto aamke saa 10 usiku arudi saa 12 mpaka saa 1 usiku naapo bado ana home workers zinamtolea macho rikizo yenyewe hana anacho kisoma shule akija kuki aplay mtaani hakifanyi kazi apo ndipo mkoloni alituweza ifikie mahala wazazi tuamke kutoka usingizini🥶Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.
Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?
Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.
Yote kwa faida gani?
- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.
- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa la saba.
Wazazi wanata kuwa free, watoto ni mzigo kwaoBahati mbaya sana wazazi wengine hawafikirii.. matron 1, watoto 20 kwenye bweni.
Mtoto hawezi pata attention ya kutosha kama ya baba na mama yake.
Tena mtoto akiwa mtundu kidogo tu ndiyo kabisaaa matron/patron anaachana naye anafocus na wale watulivu..
Wazazi waache uvivu wa malezi.
wazazu wakisha kuwa mazezeta unategemea nini?Wa kwangu alikuwa anachukuliwa saa 11 na nusu. Nikakataa huo upuuzi. Sasa hivi anaondokq saa moja na nusu.
Eti pia wana somo la maadili shuleni siku za jumamosi na unalipia. Nikawaambia sitaki huo upuuzi.
Tena hawa ilitakiwa waende shule saa tatu asubuhi na saa 6 mchana wanarudi home kucheza, hii ya kuwaamsha saa 11 ni mateso na ujinga wa wazazi, hasa hawa kizazi cha generation ZKindegate he unasemaje? Maana nao wanaamshwa saa 11 alfajiri
Sa kumi mbona kumekucha?Aisee saa 10 unaenda wapi?
Wataamuaje wakati wazazi wenyewe ni watumwa? Wanachofanya ni kutengeneza watoto watumwa. Hicho kitu wanapambana watoto wakifuate shule kipo hata kwenye simu zao.Wazazi wanachangia hili. Siku wakiamua linaisha.