ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Kama ni mtu mzima basi ajitafutie na ada ajilipie huko chuoni sio mm nishinde juani na niuze vitu vyangu vya thamani kama ardhi na mifugo ili aende akasome alafu yy anaenda kufanya upuuzi kisa eti anesha vuka miaka 18 alafu na bado akisha feli anakuja kunidai urthi.Miaka 18 ni mtu mzima wacha wajifunze maisha, kadri wanavyofanya makosa katika umri mdogo ndivyo wanavyopata experience ya maisha. Kila mtu anaweza kuharibikiwa ajirishi umri wake.