Nilijaribu kundadisi kidogo mwanzo wa tukio lake. Akaniambia kazaliwa hivyo yaani anapenda kuingiliwa na na nikamuuliza vipi ushawahi kut*ba mwanamke akadai hajawahi na hataki kabisa. Nikamuuliza unasimamisha. Akajibu akiwa anataka kuingiliwa ndio inasimama. Nilichoka sana hiyo siku kwa kweli.
Hell nooooMkuu nawewe unafirana na wanaume wenzio?
Unapenda hizi gay activities?
Asee🤔🤔..dogo alikufata ukamfungue kizibo🤣Nina jambo lilinikuta juzi kati
Dogo mmoja wa first year chuo fulani anaomba nikamle
Dah sitosahau sikuamini aisee kama hali imefikia hivi. Miaka kumi mbele kutakua hakutamaniki kwa ushetwani huu
Ndio hivyo tena akawa anataka na namba za lecturers wa hicho chuo. Mzee dunia imeisha kabisa yaani jamaa anataka lupigwa mti anahaha anatafuta wa kumpiga.Asee[emoji848][emoji848]..dogo alikufata ukamfungue kizibo[emoji1787]
Dah dunia imevaa sketi Kwa kweli
Zanzibar imewaachia nyingi watanganyikakama anasimamisha mbona hilo ni dume kabisa, huyo hajazaliwa hivo bali amejiendekeza ikawa tabia yake. Zanzibar huko ndo usiseme hayo mambo kwao ishakuwa kawaida kabisa.
Hakuna cha kuzaliwa hivo wala cha nini, ni mambo ya kutaka kujaribu kila kitu, matokeo yake ni kunogewa na kutengeneza uraibu kama uraibu mwingine hatimae kuwa tabia. Na tabia haina dawa.
Nakupuuziahukumpulia kisogoni kwel...!em niambie ukwel mkuu mpk mtu awe mrahisi hivyo kutoa siri zake
Hapo kwenye jogoo siyo mtu wa Kwanza kukusikia ..hii Tiba unaweza kuielezea Kwa kirefu kidogo mkuu?huyu anahitaji kuelimishwa anaweza kukaa sawa, jaribu kumshawishi utamfutie kuku moja la kienyeji, akitafuna mara moja mbili atakaa sawa na kugegeda bila shida...
Ukiona mtoto wako wa kiume kapost status birthday is loading....... aisee hesabu hasara[emoji38]
Mkuu ukishakuwa shoga unaweza kubadilika kwani? Mbn km unawateteaMnapowatukana ndipo mnapozidi kuzidisha tatizo.
Huwezi kuwatukana halafu uwaambie wabadilike. Na wao wanajenga tabia sugu ya kiburi kwa sababu wanaona wanadhalilishwa makusudi.
Mnawaita mapunga, machoko na maneno mengine ya kuwaudhi na kuwadunisha. Kwahiyo msitarajie wabadilike.
Kama huyo mwenye tabia za kike huwezi kumbadilisha kwa kumtukana na kumuita choko. Utapoteza muda.
Hawa watu wanahitaji namna yao fulani ya kuwaelekeza na kuwasaidia.
Ukiwaendea pupa utaongeza tatizo.
Mola wetu muadilifu sana hakuna mtu anazaliwa shoga hao wanajiendekeza.Nilijaribu kundadisi kidogo mwanzo wa tukio lake. Akaniambia kazaliwa hivyo yaani anapenda kuingiliwa na na nikamuuliza vipi ushawahi kut*ba mwanamke akadai hajawahi na hataki kabisa. Nikamuuliza unasimamisha. Akajibu akiwa anataka kuingiliwa ndio inasimama. Nilichoka sana hiyo siku kwa kweli.
Ushoga na usagaji ni laana na walaaniwe wote watendao vitendo hivyo na wenye kuunga mkono vitendo hivyo.duu hilo tatizo ni kubwa kwa kiasi hiko kweli?? mbona hatukutani nao wengine.
Omba usikutane nao sa hivi hali sio shwari watoto wengi sa hivi wanaharibiwa wakiwa wadogo ni muhimu kuanza kumchunguza mtoto mapema ikiwa ni pamoja na kumkagua mara upatapo nafasi,na pia usimwamini mtu yeyote hata kama ni ndugu yako ukitilia shaka tu jiridhishe hali sio shwari kwakweliduu hilo tatizo ni kubwa kwa kiasi hiko kweli?? mbona hatukutani nao wengine.
Aaah siku hizi wapo wengi na wala hawajifichi kuna huyo anaitwa asnath wewe ni ukimkuta kapigia kigauni,kiatu chake kirefu na wivingi yake utachoka anabinua tako akitembea anaongea kidada,sasa wewe mchokoze ni anachamba huyo!Wewe acha tu Mkuu,yaani mpaka wanaume tulianza kuona aibu,Kuna mmama mmoja wa heshima mcha Mungu akauliza Hivi yule kwani Vipi Mungu anisamehe kama namwazia mabaya nikamwambia mama hapo hakuna Cha kumuwazia mabaya Wala Nini lile Choroko Nazi lililokubuhu,
Basi mabazazi ya mnadani yakawa yanapimpigia mluzi na kuongea Lugha za mafumbo hata haimshtui yaani!
Daaaaaa!
ninasikia kuna vijana huko Daslamu wame record connection wakitifuana mitaroJoto haliwez pungua hapa dar
Connection ipo mkuu inasemekana ni wanariadha wa soka katika timu flani almaarufu utopolo😅ninasikia kuna vijana huko Daslamu wame record connection wakitifuana mitaro
nimeisoma humu hiyo habari muda mchache uliopita
Nilikubali hoja yako ya mwanzo lakini huko ulipo nold umechemka mzee na inaondoa mantiki ya hoja yako ya mwanzo.Ushoga na usagaji ni laana na walaaniwe wote watendao vitendo hivyo na wenye kuunga mkono vitendo hivyo.
Hilo swali nimejiuliza nikahitimisha ya kuwa ndege wafanano huruka pamoja,ukiona unakutana na huo upuuzi ujue na wewe ni mtu wa mambo hayo.
Sawa baunsa😀Watu wanakuambia hili tatizo ni kubwa Dar, Tanga, Arusha na Znz.
Nimeishi maeneo matatu katika hayo yanayotajwa kama vinara na sikukutana na deals zinazosemwa humu. Hyperbole ni kubwa sana humu.
Hata Dar kuna clubs ukienda kukutana na homo ni kawaida hii ni kwa experience yangu kama mlinzi. Its not like ukifika Dar basi wewe ni kukutana na homos day in day out.
Mfano binafsi pamoja na ulinzi wa klabu na bar nyingi ila nimewahi kua approached na homo 2 tu.
Sasa hivi nipo Tanga lakini hukutani na homos kama mchanga ni mpaka uwawinde.
Talk about hyperbole.
Nasikitika kuona nimeandika jambo kwa Kiswahili chepesi lakini hujaelewa. Hakuna sehemu ambayo nimekanusha au kujataa kwamba hawapo ndiyo maana kauli yangu ya mwisho ikasema hivi "Ndege wafananao ndiyo huruka pamoja". Mara nyingi walevi kwa wingi huwa wanakutana na walevi wenzao sababu ya mfanano wa tabia,maana yake walevi wapo.Nilikubali hoja yako ya mwanzo lakini huko ulipo nold umechemka mzee na inaondoa mantiki ya hoja yako ya mwanzo.
Kutokutana nao wewe haimaanishi hili jambo halipo. Inategemea na mazingira unayoishi pia fahamu hilo. Kimsingi fahamu tatizo lipo na kadri siku zinavyoenda ndio linazidi kudhihirika. Litakukuta tu wakati wako ukifika
aisee😂 hii ni funga kazi,haijawahi kutokea Africa mashariki na katiConnection ipo mkuu inasemekana ni wanariadha wa soka katika timu flani almaarufu utopolo😅