Wazazi muwe makini na birthday wanazokwenda vijana wenu. Birthday party nyingi ni sehemu ya kuhalalisha ushoga kwa Dar

Wazazi muwe makini na birthday wanazokwenda vijana wenu. Birthday party nyingi ni sehemu ya kuhalalisha ushoga kwa Dar

Siku hizi unaweza kukutana na kusanyiko la vijana wa kiume wakisherehekea birthday, kumbe ni kusanyiko la mashoga.

Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.

Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.

Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.

Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.

Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.
Haya tunayoyaona now ni matokeo ya zile mbegu zilizopandwa kupitia series, movie na tamthilia ya kifilipino na kizunguu..ndio tunaanza kuona maua sasa bado kuvuna tu..

Hali si nzuri na jamii yetu inaanza kutake it's normal.
 
Ww kama unatembea kanisani, nyumbani na kijiwe cha kahawa utawaona wapi mm mtt wa kike lakini hali ni mbaya sana tembea uswahilini huko ndio utaona balaa
Route yangu: Kazini, evening classes, kuangalia mpira, kuchill na washikaji, msikitini, kungalia movie, kusoma vitabu (kiasi), mazoezi (self defence), kupitia JF na Twitter, You Tube kuangalia channel nilizo subscribe, cha mwisho nina muda wangu napenda kukaa kimya mwenyewe sihitaji bughudha ya aina yoyote.

Party sipendi bora uniambie tucheze game PlayStation au tuangalie movie yakishindikana nakula ngoma zangu za Hip hop.

Ndivyo maisha yangu yalivyo.

Nikisikia kwenye mitandao kama hivi inanifikirisha ina maana tatizo limekuwa kubwa kiasi hicho aisee!
 

Sawa baunsa😀
Umenikumbusha mwanangu mmoja hivi yeye ni bonge!!

Sasa mmoja wa mshikaji wetu yeye ni mtu wa kunyanyua vitu vizito a.k.a baunsa!

Sasa bonge akaulizwa "Biggy unaweza hayo mambo?"...Biggy akajibu mwisho wa siku ili iweje? Utaishia tu kuwa mlinzi wa club au utawalinda wenzako kama wale wanaomlinda diamond.... Eti unajaza jaza minyama ya kwenye mkono ili iweje!
 
Nimezikuta insta na fb..... Ni vijana wa ifm
IMG-20211125-WA0001.jpg


Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Nilimuambia atafute binti pale chuo aanze nae mdogo mdogo maana huko anapoenda itakua fedheha kubwa kwake na kwa wazazi wake. Akakubali. Ila nikaona ananiganda sana kila mara ananitext .
Nikamblock.
Bado aujamsaidi mkuu, ungemtafutia Kuku wa Kienyeji Cha uswahilini akampige show
 
Anaetaka video ya huo uchafu ani PM tu
 
Kama Taifa sehemu tuliyofikia ni mbaya sana

Ninaandaa tamko kali kuhusu huu uchoko unaendelea hapa nchini
 
Back
Top Bottom