Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
yani sisi choka mbaya tuna sifa kama walivo matajiri na skafu za bendera kusomea watoto wao ambao hawapo ulaya ila wapo Tz.
Sisi choka mbaya mtaa wa kaza moyo mfano dar pale shule kama olympio,bunge,muhimbili na ilala ndio sifa kwa wakazi Mbagara, Manzese, Tandale, Buguruni, Kino na maeneo ili mradi anapanda daladala au basi la mchongo.
Niko Kamanga ferry Mwanza naona watoto wa Sengerema wakisoma Mwanza Mjini kila siku wakipanda kivuko na kivuko hicho sio cha Kigamboni kama wasiofika.
Hii tabia ya sisi kumpeleka mtoto mbali kwa kuona sifa uwezo wa kipesa sio kwanini
Sisi choka mbaya mtaa wa kaza moyo mfano dar pale shule kama olympio,bunge,muhimbili na ilala ndio sifa kwa wakazi Mbagara, Manzese, Tandale, Buguruni, Kino na maeneo ili mradi anapanda daladala au basi la mchongo.
Niko Kamanga ferry Mwanza naona watoto wa Sengerema wakisoma Mwanza Mjini kila siku wakipanda kivuko na kivuko hicho sio cha Kigamboni kama wasiofika.
Hii tabia ya sisi kumpeleka mtoto mbali kwa kuona sifa uwezo wa kipesa sio kwanini