Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UWT mnatakiwa kuvaa uniform muda wote mpk uchaguzi utakapoishahivi Mama Ima huvu Ima ni mwanao kweli na huyo mbaba wa watu au ulimbambikia mtu wa watu kwasababu ya njaa na maisha tu? ila wewe mama Ima umeshindikana?![]()
sasa ndio hivyo tena,wazazi hawa hawa wanao lalamika ajira hakuna hadi watoto walio wasomesha wanakuwa boda boda

halafu mama Ima naskia,UWT mnatakiwa kuvaa uniform muda wote mpk uchaguzi utakapoisha

Umeteka wangapi leo ?umekasirikia wazazi gentleman kwa kukataza watoto wao washiriki maandamano haramu?
parents loves their disciplined sons and Daughters makasiriko ya nin sasa![]()
Hao ni wazazi wawapi nchi inanuka ubaya kwa uchawa wenu wakushibisha matumbo yenuwazazi wameona mbali zaidi na wameamua kwa ukali sana,
kuwaonya watoto wao kuepuka kurubuniwa na wanasiasa wahuni ati washiriki maandamano haramu ya kihuni sana ya chadema![]()
Hahaaa,hata na hivyo haya maandamano hayawahusu watoto wanaowategemea wazazi wao,sbb wanalishwa,wanalishwa nk.ni kwaajili ya waliopigika tu.Watekaji na wauaji mbona mnahangaika sana? Au mlipokuwa mnafanya huo ushetani wenu, mlijua mngewaua wote mliopanga kuwaua bila kukaripiwa?
Na wazazi ambao watoto wao wametekwa, wameteswa na wameuawa unawaambia nini ewe mtetezi wa watekaji, watesaji na wauwaji? Au na wewe ni mmoja wao?nadhani waulizwe wa zazazi wa watoto wanao waonywa kuthubutu kuandamana,
maana uchungu wa mwana aujuaye mzazi![]()
Watu wanakufa mijinga haijali wala haitaki wengine wajali...Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
mimi ndie nilie kuzaa,
mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, chadema wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
hao chadema walikua wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
si wakaandamane wao na familia zao? kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu?
mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
Anesahau Moja Huyo mwanae alitekwa na wasijulikana basi asiombe huruma ya Jamii, Wala asilie kwamba kijana wake katekwa.Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
mimi ndie nilie kuzaa,
mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, chadema wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
hao chadema walikua wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
si wakaandamane wao na familia zao? kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu?
mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
Waandamane viongozi wa cdm na watoto wao lakini wa kwangu marufukuLeo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
mimi ndie nilie kuzaa,
mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, chadema wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
hao chadema walikua wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
si wakaandamane wao na familia zao? kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu?
mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
umechoka kutekwa wapi na uulitekwa lini gentleman acha uongo 🐒Anesahau Moja Huyo mwanae alitekwa na wasijulikana basi asiombe huruma ya Jamii, Wala asilie kwamba kijana wake katekwa.
Maana "mficha maradhi mauti humuumbua".
Kumbuka maandamani hayo ni kwa ajili ya kupaza sauti" tumechoka kutekwa"
Lakini pia Huyo mzazi anajua kuwa "AENDAPO YEYE NA KARIBU ZAIDI YA AENDAPO KIJANA WAKE" HIVYO waache vijana waandae safari yao ndefu yeye ajiandae na safari yake fupi aimalizie vema.
halafu mipumbavu zaidi inajikusanyana kwenye maandamano haramu yaliyopigwa marufuku, ili ikavunjike viuno, taya, miguu na mikono kwa kiburi, jeuri , ukaidi na Mihemko isiyo na maana yoyote, aise dah...Watu wanakufa mijinga haijali wala haitaki wengine wajali...
Mijinga na mipumbavu Inapenda damu za watu ziendelee kumwagika KUPITIA wahuni wanaotumika kulinda vyeo vyawatu