Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Nakumbuka nimesikia Maandamano yanafanyikia Dar! Kwani na huko Zanzibar yanafanyika?

Wasihi hao wazazi wa Kizanzibar watulie tu!! Maandamano ni huku Tanganyika
Infact,
ni muhimu zaidi ukaidi, jeuri na hiyo kiburi ukwawaeleza vizuri mwenyewe, wazazi wenye uchungu na vijana wao waliowalea kwa tabu sana,

ati leo mtu anataka kuwarubuni kifikra kirahisi tu kwa maslahi yake binafsi ya kupata vyeo na madaraka kwa faida ya familia yake dah...


si akaandamane na familia yake sasa 🐒
 
unasoma ngapi kwa ukamilifu gentleman, mtu ambae umefikia ukomo wa fikra na mawazo mapya?

nakuudhi sanaeee au inakukera? au unalazmishwa kuingia JF🤣

usiondoke JF ziko nyuzi nyingine nyingi mno zinakuja kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na Kimataifa,

si unajua tena wabobevu tunafanya mambo kwa tafiti 🐒
Unajua Kila kitu. Kwa siku Moja unafungua nyuzi sita!! .

Hujiamini? Huna hoja? Kwanini nyuzi sita na zote Zina mtizamo unaofanana?

Aibu
 
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Nisiwe muongo nilivyoona hii nimeshindwa kusoma Uzi wote mbaka mwisho kiufupi wazee wetu now days ni vilema mbele ya CCM
 
Nisiwe muongo nilivyoona hii nimeshindwa kusoma Uzi wote mbaka mwisho kiufupi wazee wetu now days ni vilema mbele ya CCM
ni vizuri zaidi gentleman,
tena kwa ujasiri mkubwa zaidi hizo dhihaka, kebehi, fedhaha na dharau kwa wazazi,

kwa kiburi na jeuri mingi uzifafanue kwa kirefu zaid na ukawaleza hao wazazi wenye uchungu na vijana wao wanaotaka kutumika kirahisi tu kwenye maandamno haramu ya chadema kwa manufaa binafsi ya viongozi wa kisiasa na familia zao 🐒

mzazi hata akiwa mlemavu ni Mzazi tu, ndio aliekuzaa kwa uchungu...
 
Watekaji na wauaji wamechanganyikiws wanahangaika kujinusuru baada ya kujulikana.
kama wazazi kuwaonya vijana wao kutoshiriki maandamano haramu ya Chadema ni utekaji,

basi vijana wakaidi, wenye kiburi, jeuri na ujuaji wapuuze onyo la wazazi wao...

asie skia la mkuu huvunjika guu🐒
 
V
sawa kaidi, jeuri na mwenye kiburi, puuza na kubeza tu mawaidha, ushauri, hekima na busara za wa wazazi wako kuhusu kutothubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema...

tutaona faida ya mihemko yako huko mahabusu na baadae huko hospitali ukiwa unachachemea na unatembea upande upande na katiba tutakuletea huko kitandani ukiwa hujiwezi uisome vizuri zaidi na ghadhabu zako 🐒
Vita vya ukombozi havihesabiwi hasara... Wewe mtoto wa elfu mbili ongelea amapiano huku huna chakukushauri!!!
umeongea vizuri kama Yale makoloni na vibaraka wao yalivyotusi wapigania uhuru wetu kina Nyerere,Mandela,Nkuruma,Mugabe,Gadafi nk.
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Huyo mzazi hana mandate ya kuongelea wazazi wengine, hakuna aliempa hiko cheo, wazazi tupo hapa na mtoto akishafikia utu uzima anafanya maamuzi yake mwenyewe, anajua kipi kibaya au kizuri, tumelea na tunajua
Labda ww ambae huna kabisa
 
V

Vita vya ukombozi havihesabiwi hasara... Wewe mtoto wa elfu mbili ongelea amapiano huku huna chakukushauri!!!
umeongea vizuri kama Yale makoloni na vibaraka wao yalivyotusi wapigania uhuru wetu kina Nyerere,Mandela,Nkuruma,Mugabe,Gadafi nk.
nina wasiwasi kwa mivutano ya ndani ya chadema inaweza kuzidisha kuviziana na kuumizana zaidi chama kinapoelekea Uchaguzi wa ngazi ya juu,

na huenda mapigano yakaanzia ndrani ya Chadema yenyewe,

kweli hili hulioni kabisaa gentleman? 🐒
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Huyu ni kada wa ccm sio Mzee wa kanisa
 
Huyo mzazi hana mandate ya kuongelea wazazi wengine, hakuna aliempa hiko cheo, wazazi tupo hapa na mtoto akishafikia utu uzima anafanya maamuzi yake mwenyewe, anajua kipi kibaya au kizuri, tumelea na tunajua
Labda ww ambae huna kabisa
huenda alikua ni Mzazi anae mlea kijana wake aliekua mzima tu, ila akapata ulemavu baada ya kushiriki kwenye maandamano haramu ya chama hiki hiki cha Chadema huko nyuma na chadema haikuwahi hata kumtembelea wala kumsaidia chochote kijana au Mzazi huyo kwa matibabu wala nini dah!

maana aliongea kwa uchungu mkubwa sana aisee dah 🐒
 
huenda alikua ni Mzazi anae mlea kijana wake aliekua mzima tu, ila akapata ulemavu baada ya kushiriki kwenye maandamano haramu ya chama hiki hiki cha Chadema huko nyuma na chadema haikuwahi hata kumtembelea wala kumsaidia chochote kijana au Mzazi huyo kwa matibabu wala nini dah!

maana aliongea kwa uchungu mkubwa sana aisee dah 🐒
Kumbe huna uhakika na ulicjoandika, una uhakika kuhusu huyo mzazi , ni “huenda”

Huenda hivi huenda vile, bottom line kama humjui huyo mzazi na kwann amesema hivyo stop kutunga story
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Wazazi wa chama gani?.
 
Back
Top Bottom