Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Nyie wanaccm si hamtekwi, hii haukuhusu mkuu. Nyie kaeni gongeni glass kukeni na popcorn kabisa.

Sisi tunaotekwa tutaandamana kwa kuwa ni haki kisheria na tumechoka kutekwa.

Kama ni kutuua kwa bunduki ni Bora maana maiti zetu zitazikwa kwa heshika kuliko maiti zetu kupoteza kabisa kwa kuliwa na wanyama au kuzikwa kusikojulikana.

Kuita vyama vya upinzani wahuni ni kujikosea heshima mwenyewe na kukosea serikali yenu heshima. Kwamba katiba imesajili wahuni, Rais na watu wake mara kwa mara wanaongea na kuwapa heshima wahuni.

Lakini pia unalikisea hata Bunge lako heshima wanaoitwa waheshimiwa wabunge la upinzani unaita wahuni.

We huna tofauti na mabinti wanasema wanaume wote ni mbwa, yaani hata baba yake ni mbwa. Hivyo kwa kuwa yeye ni mwanae basi anasahau na yeye lazima atakuwa mbwa mdogo. Hivyo acha kujidhalilisha
acha kuendekeza uongo, upotoshaji, ubishi na ubinafsi gentleman,

vitakutokea puani ukiwa pekeyako na majuto mengi huku mzigo wa kukuuguza na kukulea kwa kukaidi wako wa kupuuza wazazi.. chadema hawatakujua wala hata kukujali..

na kwajinsi walivyo wanaweza hata kusingizia kwamba majeraha ulionayo aidha umeanguka na bodaboa au kipigo ulichokipata baada ya kua umefumaniwa na mke wa mtu, kumbe maskini ya Mungu ulikaidi mawaidha ya wazazi ukajichanganya kwenye maandamano haramu ya Chadema aise dah 🐒
 
mwishoe tutaishia kama ya kenya.
ambapo kuna vijana hawana miguu, wengine ni mapengo na wengine nyonga na taya havielewani na wako mahospitalini mpaka leo mzigo kwa wazazi dah,
na hakuna manufaa zaidi wamepata wala nafuu..

infact,
wamepata maumivu makali zaidi dah..

huruma yako iko wap dunia 🤭
 
Wazazi wa Jumuiya ya Wazazi CCM?
Ni wazazi wazalendo, wenye uchungu na vijana wao wanaotaka kurubuniwa na kutumika kisiasa kwa manufaa ya wanasiasa na familia zao kwenye maandamano haramu ya Chadema 🐒
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Wiki nzima umelala na boksa kichwani.

Subiri kukuche ndo utajua maana ya SAMIA MUST GO
 
wengi wanaoandamana ni vijana wasiyo na kazi ,akili zilizolala ndiyo zinaandamana.unaacha kutafuta fedha unaenda kuandnamana kwa sababu ya siasa ambazo hazikuletei kipato.
mzazi umemtuma mtoto aende shule siyo kwenda kuandamana.mimi nikikuta mtoto wangu ameenda kundamana kwa sababu za kisiasa namvunja mguu mwenyewe
Pole sana Mzazi, umeongea kwa uchungu sana..

vyama hivi vilivyo kosa uelekeo vinaharibu sana vijana hasa hao ulosema hawana ajira,

na wazazi mara zote wamewaita vijana hao kurudi vijijini kwao kwasabb wamewaandalia viwanja vya kujenga nyumba na mashamba ya kulima kule, lakini wao wameng'ang'ania mijini huku wakiwa hawana mbele wala nyuma na shule wamemaliza...

ndio maana baadhi yao wanarubuniwa kirahisi sana na wanasiasa na kuna wengine hivi sasa ni walemavu baada ya purukushani za maandamano haramu yaliyokua yakiandaliwa na hawa hawa chadema 🐒

ukaidi wao unawafanya kutojifunza
 
Wiki nzima umelala na boksa kichwani.

Subiri kukuche ndo utajua maana ya SAMIA MUST GO
artist bana,
umekurupukia kutoka wap kwanza 🤣

wewe utatokea upande gani siku hiyo ili nijue kabisa mahabusu ya kukutembelea huku ukiwa umeteguliwa uno kwenye songombingo za maandamano haramu?🐒

kwenye kutoka ndruki nakukubali sana artist..
 
Mzazi yuko sahihi, mwenyekiti wao alisema peupe, walivyoona kimenuka yeye alienda ishi Dubai, mwingine akaenda Canada na mwingine akaenda Belgium.

Sasa wewe unga unga na kapuku kama Mimi misingi ya nchi ikiharibika utaenda wapi?

Rais wa awamu fulani alishawahi kusema, akili za kuambiwa changanya na zako
 
Bila ya kuwepo haki, hayo maombi yenu kazi bure.
maombi yote ya wenye Imani thabiti yaelekezwe kwa Mungu Pekee,

ushirikina wako na ramli zako baki nazo huko huko gentleman 🐒
 
Hiyo mzazi atakuwa mama Abdu, nimeona wazazi wengine wakiwaambia watoto wao wasiendelee kuwa makondoo vinginevyo wote wataisha.
 
maombi yote ya wenye Imani thabiti yaelekezwe kwa Mungu Pekee,

ushirikina wako na ramli zako baki nazo huko huko gentleman 🐒
Usitegee udhulumu watu na kuwanyima haki zao
halafu Mungu akupe Amani, kama mnataka amani acheni dhulma.
 
Mzazi yuko sahihi, mwenyekiti wao alisema peupe, walivyoona kimenuka yeye alienda ishi Dubai, mwingine akaenda Canada na mwingine akaenda Belgium.

Sasa wewe unga unga na kapuku kama Mimi misingi ya nchi ikiharibika utaenda wapi?

Rais wa awamu fulani alishawahi kusema, akili za kuambiwa changanya na zako
vijana hawayajui haya mambo ya ulaghai wa fikra ya hawa jamaa,

na kwa uchungu ule wa wazazi, maana yake wanajua vijana wao wanarubuniwa na viongozi walio andaa maandamano haramu ya Chadema 🐒

umekumbusha jambo muhimu sana vijana wanapaswa kulifahamu gentleman 👊💪
 
Usitegee udhulumu watu na kuwanyima haki zao
halafu Mungu akupe Amani, kama mnataka amani acheni dhulma.
wazazi wenye Imani thabiti wanamtegemea Mungu pekee na ndio maana wanawakingia kifua watoto wao ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu,
wasitumbukie kwenye dimbwi la kihalifu la maandamano haramu ya Chadema,

sio huo ushirikina na ramli zako gentleman 🐒
 
Hiyo mzazi atakuwa mama Abdu, nimeona wazazi wengine wakiwaambia watoto wao wasiendelee kuwa makondoo vinginevyo wote wataisha.
manundazi na makaidi, jeuri na wenye viburi baadhi yao ni walemavu na chadema haiwajui kwamba walipata matatizo hayo kwa kushiriki maandamano yao haramu huko nyuma....

kukwepa mzigo huo tena wazazi wanawakanya na kuwaonya vijana wao kutoshiriki maandamano haramu ya Chadema 🐒

kwa wakaidi ni juu yao, watatembelewa mahabusu na huko hospital pia 🐒
 
W

Learn to be positive acha kuishi Kwa wasiwasi kijanaa... yeyote anayevunja Sheria anastahili kuchukuliwa Sheria kikamilifu avae kijani,avae gwanda,awe na cheo ama awe kiboko ya wachawii😁
so,
are you negative or positive to the motion gentleman?🤣

tuanzie hapo kwanza kabla hatufumania Tatizo lako la msingi 🐒
 
Ni wazazi wazalendo, wenye uchungu na vijana wao wanaotaka kurubuniwa na kutumika kisiasa kwa manufaa ya wanasiasa na familia zao kwenye maandamano haramu ya Chadema 🐒
Massawe bana, una vituko sana
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Kama nikweli huyo mzazi hajitambui
 
Back
Top Bottom