Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Siungi Mkono maandamano Ila sio kwamba naunga Mkono mauaji ya watu kiholera siungi Mkono maandamano na pia siungi Mkono mauaji ya watu siungi Mkono kutekwa watu siungi Mkono kuteswa kwa Watu siungi Mkono wale Wote wanaosema vitendo hivyo ni drama tu siungi Mkono ukiziwi wa kiongozi yoyote yule siungi Mkono

Kumbuka Mimi ni zerominus10 siungi Mkono mtu yoyote anaejifanya yeye kiziwi wakati Watu wanapaza sauti siungi Mkono Demi atamalizia
 
Hao wazazi wawili ndo wamewakilisha wazazi wote? Nani kawatuma?
Mimi pia ni mzazi, sijamtuma mtu aniseemee ya moyoni
vijana makaidi, manunda, wenye kiburi, jeuri na waliodekezwa na sasa ndio wezi mitaani, wakabaji, majambazi n.k bilashaka yoyote watakuepo na watashiriki maandamano hayo haramu na wataumizwa sana maskini dah,

mzigo mzito sana wa kuwauguza utakua kwa wazazi hawa hawa wanaowapenda, na kuwapigania kwa uchungu sana lakini wanadharauliwa...

nadhani wazazi binafsi wanaweza kua na maoni tofauti na hiyo haimaanishi maandamano ya Chadema sio haramu 🐒
 
Siungi Mkono maandamano Ila sio kwamba naunga Mkono mauaji ya watu kiholera siungi Mkono maandamano na pia siungi Mkono mauaji ya watu siungi Mkono kutekwa watu siungi Mkono kuteswa kwa Watu siungi Mkono wale Wote wanaosema vitendo hivyo ni drama tu siungi Mkono ukiziwi wa kiongozi yoyote yule siungi Mkono

Kumbuka Mimi ni zerominus10 siungi Mkono mtu yoyote anaejifanya yeye kiziwi wakati Watu wanapaza sauti siungi Mkono Demi atamalizia
umeongea vizuri sana mambo mazito na muhimu sana kwa mustakabali wa umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania..

nadhani mabaya na mazuri yaliyopita yawe ni fursa ya kujisahihisha na kujirekebisha ili kama Taifa tufanye vizuri zaidi,

na nadhani tuanzie hapa kwa wazazi wazazi wanaokataa katu katu vijana wao kushiriki maandamano haramu ya Chadema, na itapendeza zaidi 🐒

this is very serious
 
Ni mawaidha mangapi ulipewa na wazazi wako hadi sasa na hujatekeleza
zingatia hoja na maneno ya uchungu sana ya wazazi kwa vijana wao,

soma taratibu tu hakuna haja ya haraka haraka 🐒
 
wale wanaoua na kuteka watanzania unafikiri hawakupewa mawaidha na maonyo na wazazi wao
nadhani haya ya wazazi kuzuia vijana wao tena kwa uchungu sana wasithubutu kushiriki maandamano haramu sana ya Chadema ni ya maana na muhimu sana 🐒
 
Wazazi , wazee na Viongozi wa dini wa nchini Kenya wenyewe walikuwa wakiwa-encourage watoto wao na vijana kwenda kuandama ili Serikali kufanya vile wanavyoona kufaa ili kuleta ahueni ya ugumu wa maisha na hatima ya rasilimali za Taifa kwa vizazi vya sasa na vijavyo .
 
Kina Nyerere walijua kutunza za Taifa kwa uadilifu mkubwa sana.
Madini, wanyama mbughani, bandari n.k
 
Wazazi , wazee na Viongozi wa dini wa nchini Kenya wenyewe walikuwa wakiwa-encourage watoto wao na vijana kwenda kuandama ili Serikali kufanya vile wanavyoona kufaa ili kuleta ahueni ya ugumu wa maisha na hatima ya rasilimali za Taifa kwa vizazi vya sasa na vijavyo .
lakini maskini ya Mungu vijana wao wengine wapewazika, wengine hawana miguu, mikono, wengine hawawezi tena kutembea viuno vimeteguliwa, wengine hata kumung'unya peremende tena,

na mpaka sasa hivi kuna wengine bado wako mahospitalini, na usumbufu na mzigo ni kwa wazazi dah,

lakini pia hakuna nafuu, ugumu wa maisha ni ule ule dah....

dunia? HURUMA yako iko wapi duni,? dah 🐒
 
Kina Nyerere walijua kutunza za Taifa kwa uadilifu mkubwa sana.
Madini, wanyama mbughani, bandari n.k
walitulea vizuri sana hao wazazi wa Taifa letu...

leo hii vijana wamejawa viburi, ukaidi na ununda licha ya wazazi wao wanaowapenda sana kuwakataza kutokuthubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema dah 🐒
 
Mbona sisi huku hatujawaasa?
jitahidini jamani kujiepusha kukesha kwenye ulabu wa haya mapombe chota ya huko uchochoroni vijana wetu wataangamia bure tu kwa kurubuniwa fikra na wanasiasa eti washiriki maandamano haramu ya Chadema...

msijisahau huko sana ndrugu zangu 🐒
 
kama kushiriki maandamano haramu, fujo, uharibifu na pengine maafa ndio ujasiri, basi ni vijana makaidi na wenye viburi vya kutokuskiza wazazi woa, na wengi hivi sasa ni majambazi...

vijana wa chache kama hao wapo, na ni kama wewe jinsi unavyojidhihirisha ukaidi wako kwa wazazi washauri kwa vijana 🐒
Maandamano ni halali kwa mujibu wa sheria za nchi! Maandamano si fujo na vurugu bali ni kuonyesha hasira dhidi ya wadhalimu, watekaji na wauaji wa raia wasio na hatia!

Kama wewe ni kijana mpenda haki na amani, mpinga dhuluma na ufisadi karibu ushiriki katika maandamano lakini kama wewe ni chawa mlamba nyayo za wezi na majambazi kafie mbali!
 
Maandamano ni halali kwa mujibu wa sheria za nchi! Maandamano si fujo na vurugu bali ni kuonyesha hasira dhidi ya wadhalimu, watekaji na wauaji wa raia wasio na hatia!

Kama wewe ni kijana mpenda haki na amani, mpinga dhuluma na ufisadi karibu ushiriki katika maandamano lakini kama wewe ni chawa mlamba nyayo za wezi na majambazi kafie mbali!
ndio maana yanaitwa maandamano haramu kwasabb ukishakua na hasira tu maana yake wewe ni muharibifu, ni hatari na inawezekani ni muuaji. nadhani hasira, uhasama na chuki miongoni mwa wagombea wa uongozi ndani ya chadema inaweza kua ndio hasa chanzo cha hayo yote uloyataja dah,

Noomba Mungu uchaguzi wa chadema umalizike salama aise dah....

wazazi wameshasema, wamewashauri
vijana waliofundishwa maadili mema wasithubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema...

wakaidi, jeuri na wenye kiburi watakua fundisho kwa wengine 🐒
 
ndio maana yanaitwa maandamano haramu kwasabb ukishakua na hasira tu maana yake wewe ni muharibifu, ni hatari na inawezekani ni muuaji. nadhani hasira, uhasama na chuki miongoni mwa wagombea wa uongozi ndani ya chadema inaweza kua ndio hasa chanzo cha hayo yote uloyataja dah,

Noomba Mungu uchaguzi wa chadema umalizike salama aise dah....

wazazi wameshasema, wamewashauri
vijana waliofundishwa maadili mema wasithubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema...

wakaidi, jeuri na wenye kiburi watakua fundisho kwa wengine 🐒
Aliyekuwa DC wa Longido Bw. Marco Ng'umbi alikwisha eleza kila kitu kuwa wauaji wakuu wa raia ni CCM. Kwamba CCM wamekuwa wakiteka na kuua raia maporini na yeye mwenyewe ameshirika!
 
lakini maskini ya Mungu vijana wao wengine wapewazika, wengine hawana miguu, mikono, wengine hawawezi tena kutembea viuno vimeteguliwa, wengine hata kumung'unya peremende tena,

na mpaka sasa hivi kuna wengine bado wako mahospitalini, na usumbufu na mzigo ni kwa wazazi dah,

lakini pia hakuna nafuu, ugumu wa maisha ni ule ule dah....

dunia? HURUMA yako iko wapi duni,? dah 🐒


Sasa unatarajia kiwa Ngariba kisha usitegemee kurukiwa na mikojo au nya hata kidogo ?!
 
Back
Top Bottom