Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
ccm wanaharibu amani ya nchi waziwazi na kwa makusudi halaf wengine wahangaike kuwaombea, maandamano vijana tupo mstari wa mbele kabisa wazazi watulie kwanza
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Hao watakuwa siyo wazazi bali mazwazwa ambayo yanaona ufahari watoto wao kutumikishwa kama manamba!
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
mkagueni vizuri huyo mzee wa kanisa ndani ya shati atakuwa na t-shirt ya ccm
 
Hao watakuwa siyo wazazi bali mazwazwa ambayo yanaona ufahari watoto wao kutumikishwa kama manamba!
ni vizuri ukawadhihaki na kuwakejeli vizuri wazazi hao kwa kirefu zaid uliujizolee laana na mikosi ya kutosha zaidi gentleman,

ili wadau waelewe ukaidi, kiburi, jeuri na mwenye dharau zaidi kwa wazazi wanaokanya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema 🐒
 
ni vizuri ukawadhihaki na kuwakejeli vizuri wazazi hao kwa kirefu zaid uliujizolee laana na mikosi ya kutosha zaidi gentleman,

ili wadau waelewe ukaidi, kiburi, jeuri na mwenye dharau zaidi kwa wazazi wanaokanya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema 🐒
Wazazi kamili wanapenda kuona watoto wao wanakuwa vijana jasiri wanaopinga dhuluma na unyanyasaji na siyo vijana midebwedo kama wewe!
 
Kwayoyote atakaependa kuandamna namuunga mkono
jambo la maana zaidi ni kuzingatia mawaidha ya wazazi dhidi ya vijana wao kushiriki maandamano haramu ya Chadema, hilo ndilo la muhimu sana 🐒
 
Wazazi kamili wanapenda kuona watoto wao wanakuwa vijana jasiri wanaopinga dhuluma na unyanyasaji na siyo vijana midebwedo kama wewe!
kama kushiriki maandamano haramu, fujo, uharibifu na pengine maafa ndio ujasiri, basi ni vijana makaidi na wenye viburi vya kutokuskiza wazazi woa, na wengi hivi sasa ni majambazi...

vijana wa chache kama hao wapo, na ni kama wewe jinsi unavyojidhihirisha ukaidi wako kwa wazazi washauri kwa vijana 🐒
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Screenshot_2024-09-13-14-58-15-28.png
 
kwani wale wanaotekwa na kuuwa hawana wazazi cyo mbona hujawahi sema kuhusu
jambo la maana sana lililoko mbeleni ni maandamano haramu ya Chadema,

ambayo wazazi nchini wamedinda kabisa kuwaruhusu vijana wao kushiriki jambo hilo haramu..

mambo mengine nadhan yaibuliwe kwenye majukwaa mengine 🐒
 
jambo la maana sana lililoko mbeleni ni maandamano haramu ya Chadema,

ambayo wazazi nchini wamedinda kabisa kuwaruhusu vijana wao kushiriki jambo hilo haramu..

mambo mengine nadhan yaibuliwe kwenye majukwaa mengine 🐒
hata ngorongoro mliwaandaa wamasai feki kwenye tv lakini mwisho wa siku kiliumana serikali ya ccm ikaufyata
 
jambo la maana zaidi ni kuzingatia mawaidha ya wazazi dhidi ya vijana wao kushiriki maandamano haramu ya Chadema, hilo ndilo la muhimu sana 🐒
Hao wazazi wawili ndo wamewakilisha wazazi wote? Nani kawatuma?
Mimi pia ni mzazi, sijamtuma mtu aniseemee ya moyoni
 
hata ngorongoro mliwaandaa wamasai feki kwenye tv lakini mwisho wa siku kiliumana serikali ya ccm ikaufyata
nadhani mawaidha ya wazazi wa vijana ni muhimu zaidi kulikoni mihemko na makasiriko dhidi ya mambo mengine...

wazazi wamewakanya vijana wao kutokushiriki maandamano haramu ya Chadema, ubaya uko wapi watu wanatetea watoto wao?🐒
 
ni vizuri kujizuia kuzoa laana na mikosi kwa kukaidi au kudharau mawaidha ya wazazi bila sababu za maana 🐒
Ni mawaidha mangapi ulipewa na wazazi wako hadi sasa na hujatekeleza
 
Back
Top Bottom