startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Kwa hiyo watoto wa Mbowe nao watakuwepo kwenye maandamano?chadema anatoaje ajira na hakusanyi kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo watoto wa Mbowe nao watakuwepo kwenye maandamano?chadema anatoaje ajira na hakusanyi kodi
ccm wanaharibu amani ya nchi waziwazi na kwa makusudi halaf wengine wahangaike kuwaombea, maandamano vijana tupo mstari wa mbele kabisa wazazi watulie kwanzaLeo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
Hao watakuwa siyo wazazi bali mazwazwa ambayo yanaona ufahari watoto wao kutumikishwa kama manamba!Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
mkagueni vizuri huyo mzee wa kanisa ndani ya shati atakuwa na t-shirt ya ccmLeo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
uchungu hauji mara mbili nisiku ya kujifungua tunadhani,
hilo nalo ni swali muhimu sana wakaulizwa wazazi wenyewe,
ambao ndio wenye uchungu mkubwa na maisha ya watoto wao kuwekwa rehani na chadema kwenye maandamano haramu![]()
ni vizuri ukawadhihaki na kuwakejeli vizuri wazazi hao kwa kirefu zaid uliujizolee laana na mikosi ya kutosha zaidi gentleman,Hao watakuwa siyo wazazi bali mazwazwa ambayo yanaona ufahari watoto wao kutumikishwa kama manamba!
kwani wale wanaotekwa na kuuwa hawana wazazi cyo mbona hujawahi sema kuhusumaskini kijana mkaidi anadindia uchungu wa mzazi wake dhidi ya usalama na uhai wake mwenyewe dah 🐒
Wazazi kamili wanapenda kuona watoto wao wanakuwa vijana jasiri wanaopinga dhuluma na unyanyasaji na siyo vijana midebwedo kama wewe!ni vizuri ukawadhihaki na kuwakejeli vizuri wazazi hao kwa kirefu zaid uliujizolee laana na mikosi ya kutosha zaidi gentleman,
ili wadau waelewe ukaidi, kiburi, jeuri na mwenye dharau zaidi kwa wazazi wanaokanya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema 🐒
kama kushiriki maandamano haramu, fujo, uharibifu na pengine maafa ndio ujasiri, basi ni vijana makaidi na wenye viburi vya kutokuskiza wazazi woa, na wengi hivi sasa ni majambazi...Wazazi kamili wanapenda kuona watoto wao wanakuwa vijana jasiri wanaopinga dhuluma na unyanyasaji na siyo vijana midebwedo kama wewe!
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
jambo la maana sana lililoko mbeleni ni maandamano haramu ya Chadema,kwani wale wanaotekwa na kuuwa hawana wazazi cyo mbona hujawahi sema kuhusu
hata ngorongoro mliwaandaa wamasai feki kwenye tv lakini mwisho wa siku kiliumana serikali ya ccm ikaufyatajambo la maana sana lililoko mbeleni ni maandamano haramu ya Chadema,
ambayo wazazi nchini wamedinda kabisa kuwaruhusu vijana wao kushiriki jambo hilo haramu..
mambo mengine nadhan yaibuliwe kwenye majukwaa mengine 🐒
wale wanaoua na kuteka watanzania unafikiri hawakupewa mawaidha na maonyo na wazazi waoni vizuri kujizuia kuzoa laana na mikosi kwa kukaidi au kudharau mawaidha ya wazazi bila sababu za maana 🐒
Hao wazazi wawili ndo wamewakilisha wazazi wote? Nani kawatuma?jambo la maana zaidi ni kuzingatia mawaidha ya wazazi dhidi ya vijana wao kushiriki maandamano haramu ya Chadema, hilo ndilo la muhimu sana 🐒
nadhani mawaidha ya wazazi wa vijana ni muhimu zaidi kulikoni mihemko na makasiriko dhidi ya mambo mengine...hata ngorongoro mliwaandaa wamasai feki kwenye tv lakini mwisho wa siku kiliumana serikali ya ccm ikaufyata
Ni mawaidha mangapi ulipewa na wazazi wako hadi sasa na hujatekelezani vizuri kujizuia kuzoa laana na mikosi kwa kukaidi au kudharau mawaidha ya wazazi bila sababu za maana 🐒