ni maswali muhimu mno wakaulizwa hao wazazi wenye uchungu sana na watoto wao,Na wazazi ambao watoto wao wametekwa, wameteswa na wameuawa unawaambia nini ewe mtetezi wa watekaji, watesaji na wauwaji? Au na wewe ni mmoja wao?
unaleta mambo ya ubaya ubwela kwenye mambo ya msingi ya kitaifa gentleman? we ni mashabiki wa mnyama ee alaa πHao ni wazazi wawapi nchi inanuka ubaya kwa uchawa wenu wakushibisha matumbo yenu
Wazazi gani mbona mimi sijawakataza wanangu kuandamanaaa?????Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
gentleman,Watekaji na wauaji mbona mnahangaika sana? Au mlipokuwa mnafanya huo ushetani wenu, mlijua mngewaua wote mliopanga kuwaua bila kukaripiwa?
ambatana nao gentleman na itapendeza zaidi kushiriki maandamano hayo haramu yanayopingwa kila kona ya nchi na waTanzania wote kwa pamoja,Wazazi gani mbona mimi sijawakataza wanangu kuandamanaaa?????
Yameharamishwa na nani ,maandamano ni halali mkuuuambatana nao gentleman na itapendeza zaidi kushiriki maandamano hayo haramu yanayopingwa kila kona ya nchi na waTanzania wote kwa pamoja,
ambatana nao tu gentleman, ili ikiwa ni kuvunjika guu basi iwe ni kwa wote
maana kumbuka,
asie skia la mkuu huvunjika guu. and this is politics π
VIdeo clips na picha zitarushwa huko duniani na Nchi zingine zitaanza kumuelewa vibaya Rais wetu na Serikali kwa UjumlaHivi CHADEMA wametoka nchi gani?
Kwa nini CHADEMA wanahofiwa?
Kwa mfano wakiandamana, nini kitatokea?
Ccm walishawahi kumpa chakula cha kumlisha mtoto wake?Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
Sema mzazi siyo wazaziwazazi wameona mbali zaidi na wameamua kwa ukali sana,
kuwaonya watoto wao kuepuka kurubuniwa na wanasiasa wahuni ati washiriki maandamano haramu ya kihuni sana ya chadema
ndio hao hao waliohangaika kuwasomesha kwa tabu sana wakawatafutia mashamba kwaajili ya fursa za kilimo Biashara, ufugaji n.kwazazi hawa hawa wanao lalamika ajira hakuna hadi watoto walio wasomesha wanakuwa boda boda
ni sawa tu,Naona jibwa linabweka huku mwenye nyumba akiwa katulia ndani
actually,Ccm walishawahi kumpa chakula cha kumlisha mtoto wake?
Sema mzazi siyo wazazi
pwagu na pwaguzi mnapeana moyo sio,π€£VIdeo clips na picha zitarushwa huko duniani na Nchi zingine zitaanza kumuelewa vibaya Rais wetu na Serikali kwa Ujumla
Mapolisi wetu hawataki hayo
Kalale wewe mwoga lala na akina bibi kokoo Acha wanaume wagangamare nchi inyooke!halafu mipumbavu zaidi inajikusanyana kwenye maandamano haramu yaliyopigwa marufuku, ili ikavunjike viuno, taya, miguu na mikono kwa kiburi, jeuri , ukaidi na Mihemko isiyo na maana yoyote, aise dah...
aise tatizio la afaya ya akili linasambaa kwa kasi sana saivv dah π
sawa kaidi, jeuri na mwenye kiburi, puuza na kubeza tu mawaidha, ushauri, hekima na busara za wa wazazi wako kuhusu kutothubutu kushiriki maandamano haramu ya Chadema...Kalale wewe mwoga lala na akina bibi kokoo Acha wanaume wagangamare nchi inyooke!
Haki ya kukusanyika ni ya kikatiba na hakuna aliye juu ya katiba.
Watu dhalimu watatuuwa kadhaa LAKINI hawataiua spirit ya kujikomboa mioyoni mwa watu jasiri nyuma yawale waliowadhulumu maisha!!
Woga,wavivu na ujinga kama wewe utafanya taifa liteketee mikononi mwa fyongoz wasio na maana.
Hatuwezi wote kuishi maisha yako ya woga na kujipendekeza Kwa wauaji
Unajua Kila kitu. Kwa siku Moja unafungua nyuzi sita!! .Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
Nakumbuka nimesikia Maandamano yanafanyikia Dar! Kwani na huko Zanzibar yanafanyika?nadhani,
hilo nalo ni swali muhimu sana wakaulizwa wazazi wenyewe,
ambao ndio wenye uchungu mkubwa na maisha ya watoto wao kuwekwa rehani na chadema kwenye maandamano haramu