Wazazi ndio chanzo cha kuharibu ndoto za vijana wengi wanapotaka kufanya maamuzi ya kujichagulia wakasome nini vyuoni

Wazazi ndio chanzo cha kuharibu ndoto za vijana wengi wanapotaka kufanya maamuzi ya kujichagulia wakasome nini vyuoni

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Mtoto akifikisha miaka 18 huyo sio mtoto sababu kashakuwa huru wa kufanya maamuzi nini anataka kwenye ndoto yake.
kuna mada nyingi hapa jf nikiona wazazi wakiomba ushauri mtoto asome nini ?
kwa nini wazazi tusiwape uhuru wa kujua wanataka nini na kuwashauri kuliko kulazimisha wasome wasicho kitaka au unataka wawe kama yule gori la mkono.
 
IMG-20240715-WA0966.jpg
 
Mtoto akifikisha miaka 18 huyo sio mtoto sababu kashakuwa huru wa kufanya maamuzi nini anataka kwenye ndoto yake.
kuna mada nyingi hapa jf nikiona wazazi wakiomba ushauri mtoto asome nini ?
kwa nini wazazi tusiwape uhuru wa kujua wanataka nini na kuwashauri kuliko kulazimisha wasome wasicho kitaka au unataka wawe kama yule gori la mkono.
Mtoto wa kitanzania hata akifika miaka 25, akili zake na mindset zake ni sawa sawa na mtoto wa miaka 12 wa ki-Japani, watoto wetu huchelewa kukua akili japo mili inaongezeka
 
Tatizo la Tanzania elimu yetu imejikita katika ajira kuliko maarifa ambayo yanaweza zalisha ajira na ugunduzi
 
Mtoto akifikisha miaka 18 huyo sio mtoto sababu kashakuwa huru wa kufanya maamuzi nini anataka kwenye ndoto yake.
kuna mada nyingi hapa jf nikiona wazazi wakiomba ushauri mtoto asome nini ?
kwa nini wazazi tusiwape uhuru wa kujua wanataka nini na kuwashauri kuliko kulazimisha wasome wasicho kitaka au unataka wawe kama yule gori la mkono.
Nina mtoto form six shuleni kureport anapelekwa na mama yake, wakifunga anakwenda kufatwa na mama yake.

Sasa unategemea hawa watoto wana akili gani? hata kusonga ugali mtoto wa kiume hajui.

Juzijuzi dogo wa University nilikuwa na haraka wakati naoga nikampa shati akate kifungo cha spare ashone kifungo pale kilipokatika alireplace hicho, nimempa uzi na sindano, nusu saa anahangaika hajui hata kifungo cha shati kinashonewaje.

Sasa hawa ndio wa kuwaacha wajiamulie kisa wamevuka miaka 18 wakati kichwani hamna kitu?
 
Mtoto wa kitanzania hata akifika miaka 25, akili zake na mindset zake ni sawa sawa na mtoto wa miaka 12 wa ki-Japani, watoto wetu huchelewa kukua akili japo mili inaongezeka
mbna mim siko ivyo 😂😂, jokes tu
 
Back
Top Bottom