Wazazi siku hizi wamekuaje (cold blood)

Wazazi siku hizi wamekuaje (cold blood)

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Uko kazini unampigia simu mzazi mtoto wako anaumwa mzazi atakwambia tafuta boda umpakie aje nyumbani .

Unapambana unamfikisha hadi nyumbani mtoto yuko hoi badala yake wewe (mwl) ndiye unaonekana mwenye hofu na afya ya mtoto mzazi ni kumfokea mgonjwa hadi, dah unaamua kuaga na maneno ya kawaida "akiwa sawa atakuja shule"
 
Uko kazini unampigia simu mzazi mtoto wako anaumwa mzazi atakwambia tafuta boda umpakie aje nyumbani .

Unapambana unamfikisha hadi nyumbani mtoto yuko hoi badala yake wewe (mwl) ndiye unaonekana mwenye hofu na afya ya mtoto mzazi ni kumfokea mgonjwa hadi, dah unaamua kuaga na maneno ya kawaida "akiwa sawa atakuja shule"
Watoto wa sasa hivi legelege, wazazi wanawadekeza sana watoto, wakipatikana wazazi kama hao kwa wingi kizazi kitanyooka.

Kuna wazazi magoigoi wakipigiwa simu na matapeli tu mtoto anaumwa tumemleta hospitali anatuma pesa muda huohuo.

Namuunga mkono na miguu huyo mzazi ni mimi mtupu.
 
Uko kazini unampigia simu mzazi mtoto wako anaumwa mzazi atakwambia tafuta boda umpakie aje nyumbani .

Unapambana unamfikisha hadi nyumbani mtoto yuko hoi badala yake wewe (mwl) ndiye unaonekana mwenye hofu na afya ya mtoto mzazi ni kumfokea mgonjwa hadi, dah unaamua kuaga na maneno ya kawaida "akiwa sawa atakuja shule"
Poleni walimu.

Wazazi tuna stress siku hizi.
 
Back
Top Bottom