Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Kwa wanawake wengine wote mimi ni hakimi, Ila kwako to yeye hapana siwezi kuwa hakimi. Maana nakupenda siambiwi sisikii lolote
 
Sisi wenye watoto wa kiume wala hatuna Cha kupotezaa...Kama mfumoo ndio huoo..nitakosaa kwa mume nitapata kwa mtoto[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwanini unataka kupata kwa mume?! kwanini usiwe na vyako? ili mkiachana,mnakaa mezani...haya mwenzangu,nina milioni kumi na wewe una milioni nane....haya pasu kwa pasu....si ndo Beijing conference lengo lenyewe!then mnaangalia, watoto utaratibu unakwendaje kuhusu malezi yao.
 
Wanaume wanachekelea saiv ila ndo furaha ya single mothers ilipo mtoto akikua anamuamini zaidi Mama yake kuliko Baba yake
Hii comment yako inaonesha kwa namna gani upo tayari kwenda miles ili tu mwanaume aonekane si mtu mzuri....
 
Kuna huu msemo, marriage is over rated.... sijui tafsiri ya kiswahili chake ila.....

Kuna muda huwa nawaza, jinsia ya Ke na Me ukiondoa mapenzi (upendo wa kweli), washitamaniana huelewana sababu ya tendo la ngono, baada ya hapo kila mtu anashika hamsini zake.

Ingekuwa hivi, aidha kila mloja awe anaishi kwake au manishi nyumba moja kubwa iwapo mnataka watoto mtaozaa wawaone wote pamoja ila ili amani, furaha, heshima viwepo mnakubaliana......

Kila mtu anatafuta mali zake

Mnachangia nusu kwa nusu kulea watoto, hapa mnakubaliana mahala pa kuwahudumia (shule, hospitali, vacation) n.k.

Siku mna hamu ya kutiiiiiiana mnabeneka kisha kila mtu anaendelea na taratibu za kujiwekeza kifedha.

Hamna wivu wa kijingajinga, kila mwenye jambo lake akalifanyie mkoa mwingine au nchi nyingine kabisa....

Wote mkiwa na amani, maelewano kisha muwe marafiki, mtadumu hadi magego yaishe.

Alamsiki.

Cc: Kasie
 
Watu tunafurahia hilo jambazi lililojificha katika mwamvuli wa ndoa kukwa.ma kumpora Hakim nusu ya mali kwa kutumia sheria.
Dada Jambazi wapo wengi hao, ukijichanganya tu umeliwa
 
Wanaume wanachekelea saiv ila ndo furaha ya single mothers ilipo mtoto akikua anamuamini zaidi Mama yake kuliko Baba yake
Anaeruhusu iwe hivyo ni Baba, maelezo ni mengi Ila ukweli ndio huo
 
Kuna huu msemo, marriage is over rated.... sijui tafsiri ya kiswahili chake ila.....

Kuna muda huwa nawaza, jinsia ya Ke na Me ukiondoa mapenzi (upendo wa kweli), washitamaniana huelewana sababu ya tendo la ngono, baada ya hapo kila mtu anashika hamsini zake.

Ingekuwa hivi, aidha kila mloja awe anaishi kwake au manishi nyumba moja kubwa iwapo mnataka watoto mtaozaa wawaone wote pamoja ila ili amani, furaha, heshima viwepo mnakubaliana......

Kila mtu anatafuta mali zake

Mnachangia nusu kwa nusu kulea watoto, hapa mnakubaliana mahala pa kuwahudumia (shule, hospitali, vacation) n.k.

Siku mna hamu ya kutiiiiiiana mnabeneka kisha kila mtu anaendelea na taratibu za kujiwekeza kifedha.

Hamna wivu wa kijingajinga, kila mwenye jambo lake akalifanyie mkoa mwingine au nchi nyingine kabisa....

Wote mkiwa na amani, maelewano kisha muwe marafiki, mtadumu hadi magego yaishe.

Alamsiki.

Cc: Kasie

Mbona umeniita kwenye maneno niliyoandika ?

Kuna jambo?
 
Mbona umeniita kwenye maneno niliyoandika ?

Kuna jambo?
Ulifuta nikaona hapana haujatutendea haki mkuu kwanini ufute maneno mazuri hivyo ni matumizi mabaya ya ubongo,
 
Ulifuta nikaona hapana haujatutendea haki mkuu kwanini ufute maneno mazuri hivyo ni matumizi mabaya ya ubongo,

Nilighairi kuacha mawazo niliyoweka kwenye maandishi....

Uliipataje hiyo quote wakati niliifuta muda huohuo...???🤔🤔
 
Habari ndio hiyo, sasa hivi wanawake wasome wafuate ndoto zao wafanye kazi au biashara wanazozitaka, hakuna tena kufuata ndoto za mume

Kila mtu awe busy kutafuta pesa zake, mwanamke hata akiondoka asubuhi na kurudi usiku hatakiwi kuulizwa wala kulalamikiwa sababu naye anatafuta pesa zake, ili mwisho wa siku wakiachana naye awe na chake asidai cha mumewe

Na wanaume waache kelele za oo mke wangu hanipikii hanifulii hanipetipeti wala hanijali kama anavyowajali watoto, maana kumbuka naye yuko busy kama wewe anatafuta pesa zake, hapo ndoa ndio zitakuwa rahisi
Sawa sawa
 
Kwani ww unazani huyo dem wa Achiraf hakusoma, kule ulaya magold digger wote wana shule zao na ndio maana wengi wakiingia kwenye ndoa wanapiga mahesabu jinsi ya kupiga hela ya mmewe kwa kuwatumia wanasheria.

Sema siku hizi masupastaa wengi wameshtuka na ndio maana wengine hawataki ndoa ni kuzalisha baada ya hapo kila mtu anaendelea na maisha yake.

Cha msingi someni kwa kuongeza maarifa ila si kwa kushindana na wanaume.
 
Back
Top Bottom