Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Sawa nimeelewa mkuu, tusomeshe tu watoto wawe na Kaz zao ambzo hata wasipopewa huduma na mwanaume ztawasitiri kidogo
Mleta mada kusomeshwa wanasomeshwa, tatizo tamaa mbele, na binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Mleta mada kusomeshwa wanasomeshwa, tatizo tamaa mbele, na binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Ndo maana nimesema hata wasipopewa huduma at least Kaz itaendelea kuwasitiri japo kidogo
 
Wanawake bhana.

Naona wengi humu wanaangalia upande wa yule mke, ila hawavai viatu vya Yule mama. ( Hapa inazua maswali mengi )

Sasa najiuliza je yule mama wa Hakim Ashraf yeye sio mwanamke?
Nae ni mwanamke mkuu....na Ile ilikuwa ni ndoa
 
Mnaendekeza tamaa,kwani mke wa hakimi hana kazi,mali alikua nazo ila tamaa za kutaka zaidi zikamponza.

Unazaa na mtu watoto wawili mnalala mnaamka kumbe unawaza siku moja uende mahakamani udai talaka ili upate mali

Hakimi kaamsha akili za wanaume wengi zilizokua zimelala kizembe.mtanyooka tu

Wanawake matapeli hii ndio dawa yao sasa
🤣🤣🤣Full kuviziana
 
Wanaume wanachekelea saiv ila ndo furaha ya single mothers ilipo mtoto akikua anamuamini zaidi Mama yake kuliko Baba yake
 
HAKIMI Angekua ndo kaomba talaka,
Ungekua sahii, ila kwasababu MKE ndo kaomba, Tena Bila kukumbuka watoto kakimbilia kwny Mali, Bila shaka alistahili alichopata[emoji4]
 
Mleta mada usilolijua ni kama usiku wa giza...

Samir Nasri ni mchezaji wa soka wa Ufaransa ambaye alipoteza mali zake baada ya kutalikiana na mke wake wa zamani, Anara Atanes....

Emmanuel Eboue ni mchezaji wa soka wa zamani wa Ivory Coast ambaye alipoteza mali zake baada ya talaka yake na mkewe mwaka 2017.

Ray Parlour - Mchezaji wa zamani wa Arsenal ya Uingereza, ambaye alipoteza pauni milioni 2.5 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.

David James - Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England, ambaye alilazimika kuuza nyumba yake baada ya kutalikiana na mkewe.

Ryan Giggs - Mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Wales, ambaye alipoteza takribani pauni milioni 40 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.
Hatari sana,wamekaa kimitego,Sasa watakua na Adabu
 
Wanaume wanachekelea saiv ila ndo furaha ya single mothers ilipo mtoto akikua anamuamini zaidi Mama yake kuliko Baba yake
Tunachekelea kuwanyoosha wanawake matapeli.
Tunawaamini waliotuzaa kuliko tuliozaa nao
 
Mbinafs na mchoyo Ni mke anaekimbilia kwny Mali wkt akijua Kuna watoto wanahitaji ada,matunzo malez na kuwatengenezea future[emoji4]
Angempa hata robo mgao,Sasa hapo ndio akaanze Arif au?
 
Ila kuomba talaka na kutaka kugawiwa mali sawa kwa sawa huoni kuwa nao ni ubinafsi?

Huoni hapo lengo la kuolewa,lilikuwa ni kuzivizia mali za mwanaume,hapo mbinafsi na nani sasa?

Mi naona Hakimi mapema tu alishamsoma mwenzake ni mwanamke wa aina gani
Yaan mie akili ishastuck
 
Back
Top Bottom