Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Huyo kijana kwa Nini alimtongoza huyo bidada?wameanza kudate jamaa ana miaka 19 dem 31....kuna mapenzi hapo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kijana kwa Nini alimtongoza huyo bidada?wameanza kudate jamaa ana miaka 19 dem 31....kuna mapenzi hapo??
[emoji23][emoji23][emoji3517][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
alimtongoza au pesa zake zilimtongoza 😂Huyo kijana kwa Nini alimtongoza huyo bidada?
Huyo kijana Ni muhuni wa Africa,ana kale ka uchoyo ka wanaume zetu,kamseduce dada wa watu na pesa zake kumbe kashazikatia bima!Kweli they call it Africa we call it homealimtongoza au pesa zake zilimtongoza 😂
we utakubali kugawana na mwanaume 50/50 baada ya kuachana??Huyo kijana Ni muhuni wa Africa,ana kale ka uchoyo ka wanaume zetu,kamseduce dada wa watu na pesa zake kumbe kashazikatia bima!Kweli they call it Africa we call it home
Si ndio vizuri Sasa,we utakubali kugawana na mwanaume 50/50 baada ya kuachana??
Wanawake wanataka mtoto kama Ashraf Hakimi lakini wanataka Mume asiwe kama Ashraf Hakimi
kusema kweli hivi vitu ni complicated sana na mimi sivielewi.... hapa jf naandika andika tu ujinga 😂Si ndio vizuri Sasa,
Akiamua kupretend kuwa muaminifu kwako utajua vipi???Unaoaje usiyemwamini
mwanamke ni zaidi ya shetani, anao uwezo wa kujibadili na kuonekana ni mfano wa malaika wa nuru kumbe wa giza.Huna haja ya kuishi na mtu usiyemwamini
unavyo-comment ni kama ndoa imekuwa taasisi ya kuajiri na kuajiriwa.Sawa, Hakimi anapata mshahara kwa kuwakaba hao kina Benzema, huyo mwanamke anapata nini kwa majukumu yake
Kijana ndiye aliyetongozwa na kurubuniwa....Huyo kijana kwa Nini alimtongoza huyo bidada?
Nyinyi ndo mmeiharibu hii dunia kwa kiasi kikubwa jpo c wte ila usisahau mama yake Hakimi pia ni mwanamkeNadhani mmeona wenyewe mambo aliyofanya ASHRAF HAKIMI na wanaume pia baadhi ya wanawake wanavyofurahia alichokifanya.
Mwanaume anamdharau mwanamke anamthamini mama yake. Yaani anamthamini aliyemzaa anamdharau aliyemzalia, namaanisha anamdharau mama anamweshimu mama, nadhani mmenielewa.
Kiufupi si wanawake tu hawajui wanataka Nini bali hata baadhi ya wanaume hawajui wanataka Nini.
Tusomeshe wanetu wa kike wawe na Kazi zao Ili wawe na Kazi wakiolewa mabwana zao wakiwachoka na kuwapa talaka wasiangaike na kumdhalilishwa kama hivi anabaki na Kazi yake na watoto wake.
Wanaume mnachukulia poa hili lakini ndo linaenda kuharibu mfumo mzima wa maisha ya ndoa. Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake.
Wanawake watazaa watasomesha huku wao wakijua mwanangu hata akioa mke Mali hazimuhusu.😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu kitetee kizazi chako.
Dunia ndo inaharibika, yaliyotabiriwa yanatimia yote. Aisee upendo hakuna tena.
miaka nenda rudi mwanamke hatakuja kuwa na uwezo wa kuweza kushindana na mwanaume.Nanyi mtanyooka mbona....we tulia tu utaona matokeo