Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
hapa ndio umeongea point.Mwisho; Watoto wa kike mkienda vyuoni kumbukeni yale maneno mnaoambiwa na wazazi/walezi wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa ndio umeongea point.Mwisho; Watoto wa kike mkienda vyuoni kumbukeni yale maneno mnaoambiwa na wazazi/walezi wenu.
Na nadhani ndicho kilichotokea,inaonekana binti ugumu wa maisha umechangia kwa asilimia kubwaHapa kwenye uchumi ndio tatizo,kuna mahitaji mengi anayohitaji,kuna vyuo binafsi,kama vya Afya,vinaagiza Rim(karatasi za mitihani)karibia tatu,kila moja 20000,wanaagiza gloves box 3 au zaidi,kila moja karibia 35000,Taulo karibia tatu,na bado yeye mwenywe ana matumizi ya ziada,sabuni,dawa ya msuaki,ped,nk,atapata wapi vyote hivyo,na wazazi ni maskini.
Ndio akikutana na mtu wa kumdanganya,kumsaidia,ana muamini.
Afu Nina shida nawe,nimekutafuta sanaWashauri hao mabinti wapunguze tamaa
Mwanao tutakuja kumfanya ivo ivo wahuniYani wazee wengine ni hovyo kabisa 🤨🤨
Labda nisikujue,, ntakumaliza aisee 🤨Mwanao tutakuja kumfanya ivo ivo wahuni
Sometimes tunakuwa judgemental kwa kutoelewa mazingira. Chuo kwa binti ambaye hana pesa ni mtihani mzito unless awe kama wale wapambanaji, anasoma chuo kama anajishikiza huku akihangaika na biashara zaidi ambapo kwa watoto wa kike wenye spirit hii ni wachache sanaHapa kwenye uchumi ndio tatizo,kuna mahitaji mengi anayohitaji,kuna vyuo binafsi,kama vya Afya,vinaagiza Rim(karatasi za mitihani)karibia tatu,kila moja 20000,wanaagiza gloves box 3 au zaidi,kila moja karibia 35000,Taulo karibia tatu,na bado yeye mwenywe ana matumizi ya ziada,sabuni,dawa ya msuaki,ped,nk,atapata wapi vyote hivyo,na wazazi ni maskini.
Ndio akikutana na mtu wa kumdanganya,kumsaidia,ana muamini.
Watoto wa sasaivi mtihani hasa hawa mabinti wana tamaa sanaHuu ni mtihani sasa na unyama wa hali ya juu sana ww mtoto km huyo unamuambikiza kabisa ili iweje ila hivi vitoto vinatamaa sana 18 years bado kabisa akili haijakomaa.
Mimi nilizuia mtoto wa Sister asiende mbali kusoma chuo asome hapahapa Dar ana 19 years hata kama anakaa hostel week end anarudi una msihi mtoto kuhusu maisha na maradhi yazinaa atleast kuna unafuu. Huyo jamaa alaaniwe
😂 utanimaliza vipi na wakati nishamrekodi video yaani ukinizingua tu naiyachiaLabda nisikujue,, ntakumaliza aisee 🤨
Tatizo linakuja pale binti yako anaposhindwa kujua alemfanyia (kumuambukiza) baada ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja.mimi mtu atakaefanya hivi kwa binti yangu na nikajua, nitamteketeza kwamoto apate maumivu ninayopitia.
Niambie mtoto mzuri To yeyeAfu Nina shida nawe,nimekutafuta sana
So sad 😔😔,, ila mabinti wanapitia magumu vyuoni Mungu tu awasaidie kwakweli 🤦♀️🤦♀️😂 utanimaliza vipi na wakati nishamrekodi video yaani ukinizingua tu naiyachia
Wewe sema leo weekend naweza kuja kuchemsha kiporo.Au bas,maana maex nyie mnaongea mno
Wazee hatutumii vumbi la Congo, kazi kiasi malipo makubwa.Kabla ya kutaka kuonewa na huruma na mtu baki jionee huruma wewe mwenyewe,binti wa miaka 18 na mzee wa miaka 50 inaingia akilini?
Wakukuonea huruma ni mama yako na si mwingine,jukumu la kujitunza lipo mikononi mwako either abstain ama be careful
Pole binti kwa kupenda vya bure
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Pole
Tamaa mbele mauti nyuma kiongozi mie nakushauri hakikisha binti yako unaishi nae karibu.So sad 😔😔,, ila mabinti wanapitia magumu vyuoni Mungu tu awasaidie kwakweli 🤦♀️🤦♀️
Aisee ntafanya hivyo mkuu, maana wanadamu wa sikuizi wabaya sana yaniTamaa mbele mauti nyuma kiongozi mie nakushauri hakikisha binti yako unaishi nae karibu.
hapa lawama inaenda kwa wote wawili.... binti kuishi na mbaba wa miaka 48 si sawa kabisaYani wazee wengine ni hovyo kabisa 🤨🤨
So sad 😔😔,, ila mabinti wanapitia magumu vyuoni Mungu tu awasaidie kwakweli 🤦♀️🤦♀️