Wazazi vaeni viatu vya wazazi wenzenu, inaumiza sana

Wazazi vaeni viatu vya wazazi wenzenu, inaumiza sana

Hapa kwenye uchumi ndio tatizo,kuna mahitaji mengi anayohitaji,kuna vyuo binafsi,kama vya Afya,vinaagiza Rim(karatasi za mitihani)karibia tatu,kila moja 20000,wanaagiza gloves box 3 au zaidi,kila moja karibia 35000,Taulo karibia tatu,na bado yeye mwenywe ana matumizi ya ziada,sabuni,dawa ya msuaki,ped,nk,atapata wapi vyote hivyo,na wazazi ni maskini.
Ndio akikutana na mtu wa kumdanganya,kumsaidia,ana muamini.
Na nadhani ndicho kilichotokea,inaonekana binti ugumu wa maisha umechangia kwa asilimia kubwa

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Sema mabinti wa siku hizi tamaa zimewajaa..... Wanataka kuishi maisha ya anasa ilhali hawana uwezo....
 
Hapa kwenye uchumi ndio tatizo,kuna mahitaji mengi anayohitaji,kuna vyuo binafsi,kama vya Afya,vinaagiza Rim(karatasi za mitihani)karibia tatu,kila moja 20000,wanaagiza gloves box 3 au zaidi,kila moja karibia 35000,Taulo karibia tatu,na bado yeye mwenywe ana matumizi ya ziada,sabuni,dawa ya msuaki,ped,nk,atapata wapi vyote hivyo,na wazazi ni maskini.
Ndio akikutana na mtu wa kumdanganya,kumsaidia,ana muamini.
Sometimes tunakuwa judgemental kwa kutoelewa mazingira. Chuo kwa binti ambaye hana pesa ni mtihani mzito unless awe kama wale wapambanaji, anasoma chuo kama anajishikiza huku akihangaika na biashara zaidi ambapo kwa watoto wa kike wenye spirit hii ni wachache sana

Kwanza mabinti wangapi wanapokea boom lakini bado wanakula vichwa mjini ili wapate high life na bado hawaathiriki. Huyo binti ni bahati mbaya yake na Mungu amsaidie maana ukimwi si kitu kikubwa kama miaka hiyo. Saa hii ni kuishi tu
 
Huu ni mtihani sasa na unyama wa hali ya juu sana ww mtoto km huyo unamuambikiza kabisa ili iweje ila hivi vitoto vinatamaa sana 18 years bado kabisa akili haijakomaa.

Mimi nilizuia mtoto wa Sister asiende mbali kusoma chuo asome hapahapa Dar ana 19 years hata kama anakaa hostel week end anarudi una msihi mtoto kuhusu maisha na maradhi yazinaa atleast kuna unafuu. Huyo jamaa alaaniwe
Watoto wa sasaivi mtihani hasa hawa mabinti wana tamaa sana
 
mimi mtu atakaefanya hivi kwa binti yangu na nikajua, nitamteketeza kwamoto apate maumivu ninayopitia.
Tatizo linakuja pale binti yako anaposhindwa kujua alemfanyia (kumuambukiza) baada ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja.

Siku hizi ngono hasa kwa mabinti wa chuo ni njia ya kujiingizia kipato. Utakuta binti mmoja ana mabwana zaidi ya watano na wote anafanya nao ngono.

Kikubwa ni kumuasa binti yako mapema athari ya kila jambo na kumfunza kuridhika na unachompa. Yaliyobaki ni kumuachia Mungu na uelewa wa binti yako.
 
Kabla ya kutaka kuonewa na huruma na mtu baki jionee huruma wewe mwenyewe,binti wa miaka 18 na mzee wa miaka 50 inaingia akilini?
Wakukuonea huruma ni mama yako na si mwingine,jukumu la kujitunza lipo mikononi mwako either abstain ama be careful

Pole binti kwa kupenda vya bure

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Pole
Wazee hatutumii vumbi la Congo, kazi kiasi malipo makubwa.

Hawa vijana bado umri Mdogo lakini energy atakunywea, k-vant na vumbi juu, sasa mnakwenda vitani au mnakwenda kustarehe?

Kitu cha msingi ni kujari afya kwa kutumia kinga au kupima kabisa.

Mbona sisi tukiwala mashangazi over age hatuwasimangi?
 
So sad 😔😔,, ila mabinti wanapitia magumu vyuoni Mungu tu awasaidie kwakweli 🤦‍♀️🤦‍♀️

Bado lecturers na usidhani wote wapo salama, wengine wameungua na binti akimkataa. Chuo atakiona jehanum

Kwa wanaolaumu labda hawajapita chuo, sidhani kama kuna sehemu ambayo uchafu wa kila aina upo kama vyuoni.

Ila humu kila mtu msafi kwamba 24/7 wapo makini na hata walipokuwa vyuoni, hawakuwahi kuuza mechi au kudate na city girls ambao kwao kukufanya side niga ni kugusa😁😁😁
 
Back
Top Bottom