Wazazi vaeni viatu vya wazazi wenzenu, inaumiza sana

Aisee,,,,asa nini kifanyike kuwalinda hao watoto jamani 🤦‍♀️
 
Umaskini wetu watu weusi ndio husababisha vishawishi.

Life ni tough kwa familia nyingi tu
 
Ndio lakini huyo miaka 18 bado hana akili kiivyo...kwanini mtu mzima na akili zako umshawishi mtoto mdogo kama huyo jamani🤦‍♀️🤦‍♀️
binti wa miaka 18 hana akili ya kumkwepa mbaba??

unanishangaza rafki yangu, na mnapenda kusema wanawake wanawahi kujielewa kuliko wanaume...

huku chuo nilipo wengi wanaliwa na malecturer kisa kupewa majibu ya mitihani na vipesa kidogo, ila wapo wanaojielewa anasa wanafanya ila kwa makini
 
Tatizo mabinti wana tamaa sana mbona wenzao boys wanastahamili utakuta kijana kakondeana anakula mlo mmoja kwa siku lakini anakomaa
Sasa boys hawezi kulelewa kirahisi ndomaana.

Boys hatongozwi kirahisi.
Huyo mwanamke mwenye uwezo wa kifedha mpaka amuaproach boys mdog mwanafunzi ni kitu ambacho ni nadra sana.
 
Inaumiza sana aisee,,, wewe mtu mzima unajua kabisa una ukimwi halafu unamla mtoto wa watu kavu...hizo ni akili kweli au tu kukomoana
 
Sasa boys hawezi kulelewa kirahisi ndomaana.

Boys hatongozwi kirahisi.
Huyo mwanamke mwenye uwezo wa kifedha mpaka amuaproach boys mdog mwanafunzi ni kitu ambacho ni nadra sana.
Hamna ni tamaa tu
 
Kwani ugumu wa Maisha upo kwa Wanawake tu?

Hawa Wanawake wa Tz nikama wajinga wa mwisho hawana akili ya kuwaza decent future unabidi kujua Nini unafanya na Nini haufanyi life is not easy umasikini wa kwanza ni fikra mfu ...unashindwa vipi kuvumilia Hadi uanze kutembea na wanaume mbona wanafunzi wa kiume hawawi mashoga , hawajiuzi hawaibi na bado wanatoboa.
 
Aisee,,,,asa nini kifanyike kuwalinda hao watoto jamani 🤦‍♀️
Hakuna namna zaidi ya kuwapa mahilaein yao kadri inayowezekana, kuwafanya wajitambue lakini kuepuka kuwabana kupitiliza maana wengi wanaochanganyikiwa ni wale unaokuta toka azaliwe, uhuru ndio ameupata chuoni. Hii ni kwa jinsia zote,

Unakuta kila kitu anakiparamia 😁
 
Nilivokuaga chuo nilikua navionea huruma vitoto vya diploma havina mikopo vijana wa degree ni okota twende

Maisha haya jaman
 
Tukusaidiaje labda kwa mfano?

Mwanafunzi wa Chuo ni mtu mzima anajuwa anachokifanya.

Ulichokifuata chuoni ndicho utakachokipata.

Wako kama hao 1025581, ukishamsaidia huyo nambia nikupe mwingine
 
Huwez kuwazuia watu kutamani ama kutimiza makusudi yao,ni wajibu kwa mabinti kuyashinda majaribu,na ukweli mchungu haiwezekani hata wapewe seminar kwa siku mara tano ila hawawez elewa pale wakiona pesa mbele ya macho yao
 
Mmmh

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Pesa huwa wanakuwa nazo sema za kuishi maisha ya anasa ndo hazipo
 
Watoto wakike awawezi kukuelewa kabisa
Na ndomana lawama inabidi zirudishwe tena kwa mwanaume..

Mpaka siku tutayowafundisha watoto wa kike kuwa responsible maamuzi yao na kwamba wao sio victim ndo tutapata jamii ya watu wanaojielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…