Masumbwe The Boss
Member
- Feb 23, 2021
- 19
- 33
Nimekuja kibiashara hapa mjini kahama nikaona si mbaya nifikie kwa jamaa yangu ambaye tunatoka sehemu mmoja anaishi na familia yake hapa hatimaye nimefika amenipokea vizuri nashkuru ukweli yuko vizuri hongera zake mambo si haba kapanga apartiment nzima anausafiri istoshe ni mwajiriwa wa kampuni mojawapo hapa mjini
mke kamfungulia biashara ya Min Supermarket kwa hiyo si Mama wa kushinda nyumbani na wamebarikiwa Mtoto mmoja wa kiume.
Sasa hapo ndo kwenye shida hapa nyumbani wana Dada wa kazi wanaishi naye huyu Mtoto sasa nitabu kwakweli siku nimefika tu alikuapo Mama mtoto litoto acha lin'gan'ganie kiti nilicho pewa nikalilie. Eti kiti changu toka toka nakulialia hovyo kiufupi toto limeishi kudekezwa sana yani balaa tupu mpaka kanipa kiti kingine nikalie et yani huyu Mtoto shem hebu njoo ukae hapa.
Nilishwangazwa sana kiukweli nilijiskia hasira sana, humo ndani sasa wawepo wasiwepo ni mwendo wa kuangalia midoli nakatuni kwenye TV ole wako utoe litakavyo bweka na Wazazi wanaenjoy tu asubui mpaka jioni tunaangalia katuni tu kiufupi toto lina lelewa kama yai.
Nimechukizwa sana na hii hali mara nyingine sitamani tena kufikia hapa nilitaka kuwashauli nikajiongeza tu hapa hamna la maana Wazazi wenyewe wamekaa kisasa sana.
wanaishi kama wazungu.
Kwenu wana Jamvi
mke kamfungulia biashara ya Min Supermarket kwa hiyo si Mama wa kushinda nyumbani na wamebarikiwa Mtoto mmoja wa kiume.
Sasa hapo ndo kwenye shida hapa nyumbani wana Dada wa kazi wanaishi naye huyu Mtoto sasa nitabu kwakweli siku nimefika tu alikuapo Mama mtoto litoto acha lin'gan'ganie kiti nilicho pewa nikalilie. Eti kiti changu toka toka nakulialia hovyo kiufupi toto limeishi kudekezwa sana yani balaa tupu mpaka kanipa kiti kingine nikalie et yani huyu Mtoto shem hebu njoo ukae hapa.
Nilishwangazwa sana kiukweli nilijiskia hasira sana, humo ndani sasa wawepo wasiwepo ni mwendo wa kuangalia midoli nakatuni kwenye TV ole wako utoe litakavyo bweka na Wazazi wanaenjoy tu asubui mpaka jioni tunaangalia katuni tu kiufupi toto lina lelewa kama yai.
Nimechukizwa sana na hii hali mara nyingine sitamani tena kufikia hapa nilitaka kuwashauli nikajiongeza tu hapa hamna la maana Wazazi wenyewe wamekaa kisasa sana.
wanaishi kama wazungu.
Kwenu wana Jamvi