usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,725
- 1,190
Mapito anayopita kibinadamu kutoka KMK kuwa mbunge viti maalum unaona ni jambo dogo, kutoka kuendesha vikao vya chama mpaka kutokuwa mjumbe, vikao vinafanyika dodoma wabunge wenzio wanahudhuria yeye anafuatilia TBCKwani nini kimemkumba mkuu? Ina maana kaumia na msiba kuliko wafiwa wenyewe?