Wazazi wa Mbunge Bashiru Ally, PhD

Wazazi wa Mbunge Bashiru Ally, PhD

Yaani hilo Bwege la kitutsi unasema lina akili nyingi?
History yake hii hapa [emoji116]


Bashiru alizaliwa Rwanda,na Baba mtusi na mama Mganda,(Baganda) akiwa na miezi Tisa, wazazi wake walivuka mpaka na kuingia Kagera ili kutafuta maisha,
Mbona wako wengi tu, hamsemi!
1620480929411.png
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nimetafuta historia ya huyu mtu mwenye akili nyingi sijaipata kikamilifu.
Naomba kwa mwenye kujua walikozaliwa wazazi wake anijulishe tafadhali.

Nikiangalia sura yake naona inafanana kiasi fulani na Paul Kagame au inafanana na watu wa Rwanda.
Yani mungu kumuondoa jiwe alifanya kitu cha maana kwa kua alileta vitu vya ajabu sana aisee !!
 
Huyu ni mwenyeji wa Somalia na ameshawahi kua naibu waziri wa ulinzi wa Tz.
Una uhakika na unayoyasema au ndiyo tena majungu? Mtu kuwa na asili ya pahali fulani siyo dhambi katika nchi hii, lakini ukisema ni mwenyeji wa nchi fulani hiyo ni tafauti.
 
Back
Top Bottom