Mapito anayopita kibinadamu kutoka KMK kuwa mbunge viti maalum unaona ni jambo dogo, kutoka kuendesha vikao vya chama mpaka kutokuwa mjumbe, vikao vinafanyika dodoma wabunge wenzio wanahudhuria yeye anafuatilia TBCKwani nini kimemkumba mkuu? Ina maana kaumia na msiba kuliko wafiwa wenyewe?
Mapito anayopita kibinadamu kutoka KMK kuwa mbunge viti maalum unaona ni jambo dogo, kutoka kuendesha vikao vya chama mpaka kutokuwa mjumbe, vikao vinafanyika dodoma wabunge wenzio wanahudhuria yeye anafuatilia TBC
Hakuna msomali mweupeMbulu wa Arusha
Always say less than necessary:-Refer the 48 laws of powerManeno yake ndo yamemaliza kumbe dah ama kweli tuchunge ndimi zetu
Huyu alifanya kazi kubwa sana sema sio mtu wa jukwaani, huyu ndio alifyeka mtandao wote wa mamviHapo pembeni namuona Mukama nae aliwahi kuwa katibu mkuu kwa muda ambae hakuwa na impact yeyote kwenye chama enzi ya utendaji wake!! Mtu wa kinywaji sana pale Budget!!! Mzee Kingunge alimbeba sana huyu nae akamlipa Kingunge kwa kumpa mkewe tender za kukusanya ushuru wa magari jijini Dar na pia Ubungo stand enzi hizo.!! Hiyo ndio ccm yenye wenyewe.
Kwahiyo asili ya bashiru ni Rwanda?Kwa taarifa yako,watu wa mipakani,hususani Kagera,maeneo ya ngara,mtukura,kyelwa wanafanana na watu wa nchi jirani,hata lugha zinafanana.
Ni kitu Cha kawaida,sasa ulitaka mzaramo afanane na Mganda,au mrundi kuliko mnyia wa Tunduma,au Muha wa kigoma?
Hivi mnajua ngoma mnayodemkia inamadhara gani? Tafakari kwanza kabla ya kudemka na ngoma usiyojua mpigaji wake, utavunja kiuno. Nakuhakikishia hili.Hakika huyu ni mnyarwanda
Aliwadhalilisha sana hawa wazee wawili (Kinana na Makamba). Leo na yeye anakaa nao!!!! Cheo kweli ni dhamana na hakulijua hilo!!!
Una maana gani kuandika eti mtu mwenye akili nyingi? Kuna clip kwenye thread hii, kama hiyo ndiyo akili nyingi basi kuna haja ya kutafakari uzuri wa kuwa na akili nyingi (yaani mtu leo anasema hivi, kesho anabadili - eti hiyo ndiyo akili nyingi!)Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nimetafuta historia ya huyu mtu mwenye akili nyingi sijaipata kikamilifu.
Naomba kwa mwenye kujua walikozaliwa wazazi wake anijulishe tafadhali.
Nikiangalia sura yake naona inafanana kiasi fulani na Paul Kagame au inafanana na watu wa Rwanda.
ongeza sauti tusikie vizuri. anza na, mama anord.......Bashiru Mnyarwanda alohamia ibwera akiwa na Mama anord
Siipend hyo salamu.acha tuNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nimetafuta historia ya huyu mtu mwenye akili nyingi sijaipata kikamilifu.
Naomba kwa mwenye kujua walikozaliwa wazazi wake anijulishe tafadhali.
Nikiangalia sura yake naona inafanana kiasi fulani na Paul Kagame au inafanana na watu wa Rwanda.
ni kwamba mnataka tusiamini kuwa kuna Raia wa Tanzania wenye asili ya Somalia? kama walivyo Raia wa Tanzania (Wangoni) wenye asili ya South Africa, kama wamasai wa Kitanzania na wa kenya, kama wanyasa wa tz na malawi,kama wahindi wa india na watz, kama waajemi wa iran na tz (rostam), kama.....mlolongo mrefu balaa.Machame na somalia wapi na wapi aisee?
Kwa hio akiwa mwanajeshi ndio inakuaje?ni kwamba mnataka tusiamini kuwa kuna Raia wa Tanzania wenye asili ya Somalia? kama walivyo Raia wa Tanzania (Wangoni) wenye asili ya South Africa, kama wamasai wa Kitanzania na wa kenya, kama wanyasa wa tz na malawi,kama wahindi wa india na watz, kama waajemi wa iran na tz (rostam), kama.....mlolongo mrefu balaa.
kinana alishawahi kuwa mwanajeshi aliyelitumikia taifa kuliko hata ninyi mnaopanua midomo. mtz halisi hapa tz ni mgogo peke yake, wengine wote wahamiaji.