Wazazi wa Mbunge Bashiru Ally, PhD

CCM haijawahi kuwa na katibu mkuu boya kama Mzee Wilson Mukama nadhani huyu wa sasa Chongola anaweza akaikaribia hii rekodi ya mzee Mukama
 
Kuna siku jamaa alisema tukitaka kujua wazawa halisi wala tusihangaike ni kazi ndogo mno, wote wenye pua zilizochongoka si wabantu halisi ni migrants either wao ama mababu zao.

Wabantu halisi ni wagogo tu katika nchi yetu... sasa huyu jamaa yetu naye nina wasiwasi naye !!
 

Hawa ndo ndo watanzania. Maisha ya watu huwafanya wajifariji katika dhiki na majanga yao. Lakini bado hawatapata Amani ya ndani. Mana maisha hayo sio yao. Wakishatoka JF na kujiangalia tena wanajikuta wako vile vile na majanga yao. Wanaowazungumzia wana furaha na wanaendelea na maisha yao. Mana moyo wa mtu Ni zaidi ya Computer na unayoyaona kwa nje. Mungu Ibariki Tanzania.
 
Ndio nini unalalamika sasa bashiru
 
Kwa nini usiseme watu wa Rwanda na Burundi wamefanana na Watanzania? Nakukumbusha kuwa Rwanda na Burundi zilimegwa kutoka "Tanzania" mara baada ya WW 1.

Vv
 
Halafu wahuni sio watu,

wakamuweka pemben ya Comrade Mwamba Abdulrahman Omar Kinana!
Huu uliochomekea hapa ndio uhuni .
Ulitaka wamuweke wapi kama siyo sehemu moja na makatibu wakuu wastaafu wenzie chamani kwao?
Kwani humuoni Mukama pembeni ya Kinana?
Tena wamepangwa kutokana na tarehe au muda walio hudumu nafasi hiyo.
Kaanza Mukama, kaja Kinana kisha kamalizia Bashiru kama walivyotangualia kushuka nafasi hiyo.

Tuache ramli za kichawi..
 
Yaani hilo Bwege la kitutsi unasema lina akili nyingi?
History yake hii hapa [emoji116]


Bashiru alizaliwa Rwanda,na Baba mtusi na mama Mganda,(Baganda) akiwa na miezi Tisa, wazazi wake walivuka mpaka na kuingia Kagera ili kutafuta maisha,
 
Ni Mnyankole wa Katoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…