Wazazi wa Tanzania nilidhani hii Tabia za Kishamba na ya Kijinga pia mmeiacha kumbe hadi Leo bado mnayo tu?

Wazazi wa Tanzania nilidhani hii Tabia za Kishamba na ya Kijinga pia mmeiacha kumbe hadi Leo bado mnayo tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Acheni kuwachagulia Watoto wenu Fani ambazo nyie mmezifanya huku hadi kuwatishia kuwa wasipofuata basi mtawavulia Nguo zenu kwa Kuwalaani. Hivi inaingia Akilini kabisa Wewe Mzazi ni Injinia na kila Siku unaona Mwanao katika Masomo ya Sayansi anatepeta / hayawezi ila kule katika mengineyo ya Sanaa au Biashara anawakimbiza ile mbaya lakini bado unamlazimisha Mwanao ajikite katika Sayansi ili aje kuwa Injinia kama Wewe. Acheni huu Upuuzi na Heshimuni Hisia za Watoto wenu. Taaluma hairithishwi Kilazima bali matakwa na mapendeleo ya Mtoto juu ya kile anachokimudu na anachokiweza ndiyo Kipaumbele.

Leo GENTAMYCINE nimejivika Bomu la Kuwatetea Watoto kwani nimeona kuna mahala Wazazi tunawakosea pakubwa.
 
Acheni kuwachagulia Watoto wenu Fani ambazo nyie mmezifanya huku hadi kuwatishia kuwa wasipofuata basi mtawavulia Nguo zenu kwa Kuwalaani. Hivi inaingia Akilini kabisa Wewe Mzazi ni Injinia na kila Siku unaona Mwanao katika Masomo ya Sayansi anatepeta / hayawezi ila kule katika mengineyo ya Sanaa au Biashara anawakimbiza ile mbaya lakini bado unamlazimisha Mwanao ajikite katika Sayansi ili aje kuwa Injinia kama Wewe. Acheni huu Upuuzi na Heshimuni Hisia za Watoto wenu. Taaluma hairithishwi Kilazima bali matakwa na mapendeleo ya Mtoto juu ya kile anachokimudu na anachokiweza ndiyo Kipaumbele.

Leo GENTAMYCINE nimejivika Bomu la Kuwatetea Watoto kwani nimeona kuna mahala Wazazi tunawakosea pakubwa.
Kila mtu ashinde mechi zake. Dili na watoto wako.
 
Back
Top Bottom