Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

huyo babaako aache akili za kivuta bangi, mwanaume utaishi nae wewe sasa yeye anatia kauzibe ya nini? mahari 10m kwamba anakuuza au? wazazi kama hao ndio hua wanafanya wanaume wanakua na hasira hadi wanaua wake zao kwa kosa dogo tuu... mwambie ameniudhi sana.
😂😂Tena Umechukia balaa
 
Utajiri ungekuwa rahisi na yeye si angekuwa tajiri....baba yako anataka kutatua matatizo yake kupitia ww...we kaolewe bana umri unaenda huo
 
Kwa maelezo haya itoshe kusema Baba Yako ni mpenzi wako
Yaani unatombana nae ndoo maana hataki uolewe SAWA haya sawa
 
Mmmh milioni 10 kubwa sana Ilitakiwa 1.5 tu
 
Kuna wazee wa hovyo sana hii dunia, mzee wako ni mfano tu (samahani lakini) ukikaa vibaya jamaa ataambiwa na wa kwao ile familia sio ya kuoa na hao wazee 6 waliokuwa na mzee wako watatangaza mtaani na mtaa utasema pale si pakuoa, unajua kitachofuata.

Fanya maamuzi rafiki, mtafute kijana msikikize ujue kwao wamewachukuliaje kwenu na hasa mzee wako then jitoe mhanga kunusuru familia yenu.
 
Beba mimba ya huyo kijana, mkizaa mahari huwa haizidi laki 5! Huku kwetu ndivyo tunafanya, sometimes tunapewa hadi bure ukizaa.

BTW! Mahusiano ni suala mtambuka, kwa jinsi soko lilivyo, mahari ikizidi sana 2M.
 
Ni kweli mkuu uwasaidie ukweni kivipi haiingii akili mfano mume wa dada yangu awe anatusaidia kwenye familia yetu wakati sisi tupo vijana tuna nguvu za kuwatunza wazazi wetu .

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ndo namsubiria huyu jamaa aje aseme kwanini wasaidiwe.... naona umesema yaliyokua kichwani kwangu..😀😀😀
 
Family issues
Aisee familia utakayo zaliwa itachangia Kwa kiasi kikubwa sana kesho Yako
Ukiwa na wazazi maskin kutoboa ufanye kazi.

Lakini ukiwa na wazazi maskini wa mawazo basi umeisha, pole dada ang ila laaana haitoki Kwa mzaz laana inatoka Kwa mungu, maandiko, sheria, utashi na utamaduni viko wazi, ni kama anataka akuuze hivi so it's up to you, ila ndo ungekuwa dada yangu ningekuambia achana na mzee me ntasimama kama mzazi ndoa inapita hii[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa io imeandikwa baba akuchagulie mume..Kama huna ushauri tulia

Nionyeshe ni wapi iliandikwa baba anaweza kukutafutia mume..Tumieni vizur maandiko sio kupotosha watu
Wewe umekuja kuomba ushauri au kufanya criticism kwa hoja zinazotolewa, nimefuatilia replies zako tu nimegundua hata huyo jamaa anayetaka kukuoa pengine kaingia cha kike, una kaujeuri fulani pengine pia umerithi toka kwa wazazi, who knows

Mzee wako ana akili sana, pengine alishajua uko na huyo jamaa yako ambaye unadai mnapendana na mmebanduana wee kwa mwaka na nusu, lakini ni mtu ambaye siyo level ya familia yenu, hivyo kutamka hiyo mahari ni kumfukuza tu huyo mwenza wako wa mwaka na nusu ili asiongeze tegemezi kwenye familia yake kitu ambacho kwa upande mwingine ni sahihi,

Kila mtu aishi kulingana na level zake, kwann yeye anataka kumuongezea mzee wako mzigo maana hata wewe mwenyewe unakiri jamaa bado hajasimama, na pengine na familia yake na yenu haziendani, unahis hata akikuoa hatokua na inferiority complex dhidi ya familia yako na kuhisi anaonewa kwa kila jambo litakalokua linaenda against nayeye,

Ndoa siyo kuvaa shela na kupiga picha na marafiki, Acha mbwembwe dogo, huko kusoma kusikutie jeuri,

Vijana wenyewe siku hizi wanataka kuoa kwenye familia zisizo tegemezi(maisha tight), itakua huyo kuja kwenu ili mzee aanze kutoboka pesa za mtaji, kwan mzee yeye hana akili[emoji1]

kama hutojali ningependa kujua huyo ni mwanaume wako wa ngapi toka puberty, pengine tunashauri wageni wa League(mwanaume wako wa kwanza) au timu zinazokaribia kushuka daraja(age go)
 
Habari zenu wana JF,

Bila kuwachosha naenda moja kwa moja kwenye point. Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida.

Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia anakuja wakasema aje kwetu.

Kama kawaida huyo kaka alikuja na mshenga wake pamoja na mjomba wake. Baba yangu alialika wenzake kama 6 hivi ili kujadiliana mahari. Kwa kweli ilikuwa tafrani, kwasababu baba yangu mzazi alishauriana na wenzake mahali iwe 10.5M kitu ambacho kilinishangaza sana.

Mjomba wake akasema hiyo hela hawana kwani hawanunui kiwanja. Baadae mjomba akasema wao wanaweza toa 2.5M baba akasema iongezeke japo 3M kwa shingo upande, kwamba hataki mahari ndogo akidai watakuja wengine.

Jioni yake akaniita mimi na mama akaanza kunifokea. Akaniambia mimi namdhalilisha kuleta mtu masikini na haeleweki kwa hiyo niachane naye, na nisipoachana naye mimi nitakuwa siyo mtoto wake na nikikubali kuolewa naye nisije kukanyaga kwake mpaka kaburi lake nisije kulisogelea.

Hakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.

Aibu naipata mimi mtaani, naogopa hata kutoka kwenda sehemu kwa ajili ya wazazi wangu kunisambazia doa kubwa.

Naombeni ushauri katika huu wakati mgumu, kushauriwa kumuacha mtu uliyependana naye mkaendana siyo kitu rahisi. Japo huyo kaka hajaonesha dalili zozote za kuniacha, anawasiliana na mimi kama kawaida.

Ahsanteni sana. Napitia maoni yenu, wote nawakaribisha.
Just for being sarcastic, pata mimba kushusha value ya mzigo.
 
Mm sjaoa na sina uwezo wa 3m ila mdogo wangu sitakubal aolewe na maskini hata kdg maAna akiolewa na maskin shida akiolewa na tajiri shida ipo pale pale bora akalilie kwenye pesa kama jamaa ako hajanjipanga mpe muda ajipange wazaz wametumia gharama nying sana kwako
 
Sisi mdogo wetu tulimuozesha bure maana kijana anatokea familia ya kawaida sana. Tulichofanya ni kupima maono na jitihada za kijana na uimara wake kujisimamia. Tuliporidhika tukaruhusu kanisa wafungishe ndoa.
 
Habari zenu wana JF,

Bila kuwachosha naenda moja kwa moja kwenye point. Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida.

Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia anakuja wakasema aje kwetu.

Kama kawaida huyo kaka alikuja na mshenga wake pamoja na mjomba wake. Baba yangu alialika wenzake kama 6 hivi ili kujadiliana mahari. Kwa kweli ilikuwa tafrani, kwasababu baba yangu mzazi alishauriana na wenzake mahali iwe 10.5M kitu ambacho kilinishangaza sana.

Mjomba wake akasema hiyo hela hawana kwani hawanunui kiwanja. Baadae mjomba akasema wao wanaweza toa 2.5M baba akasema iongezeke japo 3M kwa shingo upande, kwamba hataki mahari ndogo akidai watakuja wengine.

Jioni yake akaniita mimi na mama akaanza kunifokea. Akaniambia mimi namdhalilisha kuleta mtu masikini na haeleweki kwa hiyo niachane naye, na nisipoachana naye mimi nitakuwa siyo mtoto wake na nikikubali kuolewa naye nisije kukanyaga kwake mpaka kaburi lake nisije kulisogelea.

Hakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.

Aibu naipata mimi mtaani, naogopa hata kutoka kwenda sehemu kwa ajili ya wazazi wangu kunisambazia doa kubwa.

Naombeni ushauri katika huu wakati mgumu, kushauriwa kumuacha mtu uliyependana naye mkaendana siyo kitu rahisi. Japo huyo kaka hajaonesha dalili zozote za kuniacha, anawasiliana na mimi kama kawaida.

Ahsanteni sana. Napitia maoni yenu, wote nawakaribisha.
 
Back
Top Bottom