DON YRN
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 606
- 1,453
Kuna mama yangu mlezi yupo sehemu ana watoto sita wa kike wameolewa wote na hajawahi kupokea mahari ya mwanaume hata buku na kawapa baraka zote wanae na wako top kimafankio ktk ndoa zao.
Huyo mzee wako mwambie kabla hajafa, hajaumbika na asilete Umungu mtu na inaonekana hata mlango wa kanisa/msikiti haujui na km ana mali basi hata kwenu wawili Mungu wa kweli atawabariki mzipate.
Huyo mzee wako mwambie kabla hajafa, hajaumbika na asilete Umungu mtu na inaonekana hata mlango wa kanisa/msikiti haujui na km ana mali basi hata kwenu wawili Mungu wa kweli atawabariki mzipate.