Mkuu umeuelewa Uzi lakini? Analalamika hapa ni Dada kuwa wazazi wake wamempangia mahari kubwa mpenzi wake sasa yeye anaona hicho ni kitendo Cha kumkomoa ili asioleweKaoe kulingana na level zako,unaenda kuoa kwa watu wenye uwezo na wews huna unategemea nini?
Hata mimi sitokubali niletewe maskini na nimeona familia nyingi zinawakataa watu wa hivyo na kuwaponda..
Mwisho wa siku mwanaume anatakiwa kuwa msaada sio mzigo.
Hapa ndio tatizo linapoanzia. Nani kakwambia kuwa baba yako anakuuza? Hiyo nintoken of appreciation bwana wewe. Yaani nyie watoto mnajidai wajuaji sana kumbe hamna lolote. Huyo mwanaume unayetaka kuolewa nae laziama aheshimu uwepo wa wazazi na matakwa ya wazazi. Wee utaendelea kuwa mtoto tuu na baba ana best interest at heart.Mm sio pisi kali..Mm ni binadamu sitaki kuuzwa
kabisa halafu hana adabu kumwambia mwanae sawa na kabati duuuuh! tatzo la watoto wa kibongo kuogopa maisha utaletewa mchumba kisa baba kasema, kama umemuelewa njemba wako amsha ndugu watakua wanaoKwakweli nimesikitishwa sana na kumuonea huruma huyu Binti wa watu.
Kumlinganisha thamani na kabsti sio busara hata kidogo, inamaana Binti yake anathamani ya 10M?
Kuna mahali huyu Mzee vitu haviko sawa, hata mahusiano yake na watu wengine yanawezakuwa na ukakasi.
Licha ya hivyo mkuu,na imesisitizwa iwe ndogo ili watu wafunge ndoa na kuachana na machafu.Umuhimu wa DINI YA KIISLAM unazidi kuonekana.
MAHALI NI HAKI YA ANAYEOLEWA NA HUTAMKWA AU HUTAJWA NA YULE ANAYEOLEWA NA SI WAZAZI WAKE.
Haya ndio maneno ya watu wenye busara. Matatizo tunaleta kwa kutaka kuoa watu ambao sio level zetu.Kaoe kulingana na level zako,unaenda kuoa kwa watu wenye uwezo na wews huna unategemea nini?
Hata mimi sitokubali niletewe maskini na nimeona familia nyingi zinawakataa watu wa hivyo na kuwaponda..
Mwisho wa siku mwanaume anatakiwa kuwa msaada sio mzigo.
Mzee wako itakuwa hajakuchoka hapo home (kama unaishi home). Muda si mrefu ataanza kukutafutia jamaa wenye hela.Kwa io vijana wa hovyo wapige mimba wasepe..Ok ok
Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!
Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.
Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.
Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.
Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU
Mtaachana lini kutumia maandiko vibaya!?Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!
Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.
Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.
Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.
Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU.
unataka pesa mingi tena kwa kelele mbele ya mkweo anaenda kutafuta hela anamchukua maana ukumbuke ushammbadilisha akili ulivomtolea nnje anamuangalia mwanao kama bidhaaAliwe kiboga inakujaje tena hapa. Mbona nyie watu mnapenda sana story za kulana tigo
Huu ni mtizano wakifalaaa sana. Yaani mzazi amuone mtoto wake kama bidhaa...toka lini? Ingekuwa hivyo sii amngeshamtomber yeye mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣unataka pesa mingi tena kwa kelele mbele ya mkweo anaenda kutafuta hela anamchukua maana ukumbuke ushammbadilisha akili ulivomtolea nnje anamuangalia mwanao kama bidhaa
Mahari kubwa ndio mahari kiasi gani? Ona kulingana na level zako,kama huwezi kulipa unapotezea au lipa kiasi kingine utaendelea kulipa mdogo mdogo..Mkuu umeuelewa Uzi lakini? Analalamika hapa ni Dada kuwa wazazi wake wamempangia mahari kubwa mpenzi wake sasa yeye anaona hicho ni kitendo Cha kumkomoa ili asiolewe
kabisa halafu hana adabu kumwambia mwanae sawa na kabati duuuuh! tatzo la watoto wa kibongo kuogopa maisha utaletewa mchumba kisa baba kasema,,,,,kama umemuelewa njemba wako amsha ndugu watakua wanao
Bahati mbaya nadhani sio MuislamuNISOME KWA MAKINI NAKUJIBU KWA MUJIBU WA SHERIA YA KIISLAAM...
KWANZA SHERIA YA KIISLAAM INATAMBUA MPANGA MAHARI NI MUOLEWAJI SI MZAZI WAKE. YEYE NDIYE ANAYEKUBALI AU ANAYEKATAA...
PILI MZAZI YEYE HASA BABA... NI MUOZESHAJI TU... AKIKATAA KUOZESHA KWA SABABU ZISIZO ZA MSINGI ZA KISHERIA KAMA HIYO YA UJINGA... HAKI HIYO INADONDOKA... INAENDA KWA BABU YAKO MZAA BABA KAMA YUPO... KAMA HAYUPO INAMFUATA KAKA YAKO BABA MMOJA MAMA MMOJA... KAKA HUYO HAYUPO... ANAFUATA KAKA WA BABA MMOJA... NAYE KAMA HATAKI... HAKI INAANGUKIA KWA BABA MDOGO AU BABA MKUBWA... NA YEYE KAMA HATAKI NENDA KWA IMAM.
NA NDOA YAKO ITAFUNGWA... MAHARI YAKO UTAICHUKUA WEWE MWENYEWE... TUMIA MWENYEWE KWA MAPENZI YAKO NI YAKO SIO YA WAZAZI AU MUOZESHAJI...
NA WALA HIZO LAANA ZAKE HAZIFIKI... ZAIDI ZITAMRUDIA MWENYEWE... NA VILEVILE ANAPATA DHAMBI... muombee tu MSAMAHA KWA MOLA WAKO... HAJUI ALITENDALO...
Ndio acha sasa kwani imelazimishwa?Masikini ni nyie mnaotaka kutoboa kupitia binti yako
Ni wapi nimetumia Maandiko vibaya???Mtaachana lini kutumia maandiko vibaya!?
Hujalazimishwa hutak acha..Nyie masikini ndo mnaendekeza kuoana kwa mahari kubwa , mnataka mkiozesha muwe kama mnauza kwa kudhani ndo mtaaga umaskini. Sisi kipato cha kati mahari sio kipaumbele, kipaumbele ni kuunganisha undugu na kuendelea kubebana ili kuleta unafuu kwenye maisha ya familia zetu.
Kwani kama ni msichana yeye ndio yuko kwenye mfuko wa huyo jamaa yake?Wewe umejibu kwa kukurupuka.
Mleta mada ni msichana....haya mjibu tena!
Mzee wetu wa ukoo(mchaga)...alifukuza vijana kama wa 4 waliokuja na vi mahari vyao vya uchwara...
Binti yake alimsomesha Russia akahitimu udaktari bingwa wa kichwa(ubongo)
Mzee wa ukoo alikua anataka mahari si chini ya mil 12 na zaidi.
Mmoja wapo akajifanya mwamba akampa ujauzito ili iwe nyepesi...mzee presha na sukari ikapanda
Baada ya kujifungua yule mtoto akaitwa jina la babu yake..kuanzia jina la mwanzo lakati na la mwisho yotee upande wetu...
Mwamba akaenda kufungua kesi...kesi (ikaendaa)..sijui ikwaje mzee akashinda
Sasahizi binti yupo(wanaishi) denmkark na alishaolewa na mwanaume mwengine ambae ni (mshozi) ila dogo yupo(kabaki) kwa babu yake""
("Mzee alikua anasema alitumia pesa nyingi sana kumsomesha uko nje so hataki mahari ya ajabu ajabu"
""DADA kama unajiona una iyo thaman ya mil 10 basi tulia...watakuja tuu wenye uwo uwezo""
kwa io imeandikwa baba akuchagulie mume..Kama huna ushauri tuliaMimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!
Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.
Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.
Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.
Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU.
Nionyeshe ni wapi iliandikwa baba anaweza kukutafutia mume..Tumieni vizur maandiko sio kupotosha watuMimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!
Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.
Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.
Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.
Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU.