mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
HAKUNA MZAZI anayependa mwanae ateseke.ndo maana wamemwambia arudi nyumbani.na huo ndio uamuzi sahihi.tena ukumbuke huyu ni mtoto wa kike majaribu mengi.angekuwa wa kiume hapo sawa
WAMBIE WAZAZI WAKUPE MTAJI. ANZ HATA ONLINE BUSINESS.
kurudi nyumbani sio vizuri.. utawasononesha wazazi zaidi ya sasa.