Wazazi wananitaka nirudi nyumbani kwakuwa ninapofanya kazi kuna changamoto ya mshahara

Wazazi wananitaka nirudi nyumbani kwakuwa ninapofanya kazi kuna changamoto ya mshahara

Mbona unapoteza mda wako jamani,ebu rudi Nyumbani kwenu ukaangalie mambo mengine.Acha uoga wa maisha.Hapo ukute unafanya kazi ya bure kisa kuonekana na watu sio jobless[emoji19]
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Ungekuwa mwanaume ningekukwambia ukaze
ila wewe ni mwanamke nakushauri rudi home
 
Nilisahau kukwambia toka mchana kuwa Rudi nyumbani kajipange upya.
Mimi kama mama siwezi mwacha Binti yangu akiwa katika mazingira kama yako
Ndio hao wanakuja kuzalia nyumbani msaidie hukohuko alipo na hata msaada wenyewe usiwe wa 100% mengine ajiongeze, sio kuja kumkumbatia home hato jifunza
 
IMG_20221118_222923_163.jpg
Ulale salama
 
Resilience n miez mitatu mwisho uoga wako ndo umasikin wako hapo una phobia yakukosa kibarua ipo hivi umekaa Zaid ya miezi Tyr una experience na kazi wakat upo hapo endelea kutafuta kijiwe kingne
 
Nilisahau kukwambia toka mchana kuwa Rudi nyumbani kajipange upya.
Mimi kama mama siwezi mwacha Binti yangu akiwa katika mazingira kama yako
Stress za ndoa akirud home ..kumwangalia baba yake amjifunga taulo sio pw kwa age yake
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Cha msingi,angalia hari halisi,wewe kuomba pesa nyumbani,Kuna madhara yoyote ya kiuchumi unaweza kuwasababishia wazee wako?maana kama wazee walikuwa watymishi tu wa mshahara,dsraja la kati,harafu unawakamua pesa ya kujikimu,na kama hata kukusomesha walikuwa Wana hassle sana,basi ni Bora upambane mwenyewe,ikishindikana rudisha Mpira kwa kipa,ujipange kwanza,
Maisha ni Tite sana sasa hv,
 
Bila shaka maeneoa ya katikati ya mapaja yatakuwa na Hali, samahani sjui nilitaka kusemaje dah

Ushaur wangu rud nyumbani hapo syo sehemu salama kwako hasa kwa jinsia yako

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Ila kuna watu mna maneno yanakera na kuumiza sana jee angekuwa nduguyo na huyo dada jee angekuwa kma unavyosema angeomba hela kwa wazazi? Hebu tuweni na stara.
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Ww ni yule dada wa Tabata??
 
Back
Top Bottom