Wazazi wawasaidie watoto wao wa kike kupata wachumba (mume)

Mimi pia natafuta mwanaume jamani..Alie muisilamu na sio muisilamu jina..YAAANI HALI YA KUTAKA KUWA na mwenza..naitamani Sana kwani sitaki kuzini..na NAPATA Hali ya kutamani mwanaume Yaaani kudu..

Nateseka kwakweli.
Dah...kwani kuwa muislam inagharimu shilingi ngapi?[emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mleta nada ni lipumbavu and useless huomda wa kuhangaika na wanawake si ufanye masturbation mfyuuu
We Jamaa bana , ivi unadhani baba ako angekua anahangaika na masturbation Muda wote , ungezaliwa kwel ?
 
Una asili ya ubishi sana na striking back sijui ndio kujua sana...Kuna mtu alishabadilisha ID's zaidi ya 3 now ana mentality ya aina yako hio, nahisi umeswitch from Zoë
Hapana sio.mimi.mkuu...sio nasili ya ubishi..Siwezi kukubaliana na uovu wako.. na USHAURI wako wa kunyanduana hovyo kuwa ndo kigezo Cha kupata mwezi wa.maishaa

Wewe umenyendua wangapi...je hiyo.papuchi ya dhahabu yenye kufaa kuwa mke umeshaipata?
 
Hapana sio.mimi.mkuu...sio nasili ya ubishi..Siwezi kukubaliana na uovu wako.. na USHAURI wako wa kunyanduana hovyo kuwa ndo kigezo Cha kupata mwezi wa.maishaa

Wewe umenyendua wangapi...je hiyo.papuchi ya dhahabu yenye kufaa kuwa mke umeshaipata?
Kwahio uovu ni kukubandua tu? Mbona dhambi zipo nyingi isitoshe mi nikikubandua naoa kabisa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wana mikwara hao viumbe
 
Kwa hii shida niliyoipata najuta kutumia P2

Ivi huyu ni ww au,
Apa utakua ulipitiwa kimasihara eeh
 
Kwahio uovu ni kukubandua tu? Mbona dhambi zipo nyingi isitoshe mi nikikubandua naoa kabisa
Dhambii..Ni nyingi Sana mkuuu...kama Wewe umechagua kunyanduana ndo dhambi ya kutetea na kukikingia kifua.. yupo.mwingine atatatea kudhulumu na kuiba kuwa anakula kazini KWAKE..

Ila hakuna dhambi Mimi ntaitetea.
 
Dhambii..Ni nyingi Sana mkuuu...kama Wewe umechagua kunyanduana ndo dhambi ya kutetea na kukikingia kifua.. yupo.mwingine atatatea kudhulumu na kuiba kuwa anakula kazini KWAKE..

Ila hakuna dhambi Mimi ntaitetea.
Sawa achana na hayo yote mie nataka tuyajenge, lets make it happen
 
Mtoto wako wa kike pia ndio utamlea hivi eeeh,basi sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…