Wazazi wawezesheni watoto wenu kiuchumi

Wazazi wawezesheni watoto wenu kiuchumi

kuwezeshwa bila maarifa ya unachoenda kukifanya ni sawa na bure tu,me nazani msaada ni kutengeneza mindset za watoto wetu tangu wakiwa wadogo si kusubiri kuwawezesha mwishoni huko wakiwa wameshakomaa kiakili zikiwaza kuzunguka kwenye viti maofisini mfano mzuri wahindi kwenye biashara mtoto anaanza kwenda dukani angali mdogo wanarithishwa ujuzi/mbinu wangali wadogo
hapo ndipo walipotuacha wenzetu ,mimi nilishagutuka muda sanaa nilianza ufugaji wa wanyama wadogo mbali na ndege kuku na wengineo nimetengeneza kama zoo flani hivi home nimewazoeza wanangu kufuga mifugo mbali mbali na napenda wateja wanapokuwa wanakuja kununua huwa nataka wawepo wakati na pokea hela,mwanzoni waliona tabu kidogo kidogo wakanzaa zoea na kuwalisha hata kama sipo sasa nimegawa mabanda nimewapa mifugo yao wasimamie wenyewe na inaenda fresh huwezi amini uniform na madaftari yao ya mwaka huu wamejinunulia wenyewe kwa kuuza mifugo yao mimi nawaongoza tu.naona kuna kitu wanagain kwenye real life
 
[emoji239][emoji239][emoji239][emoji239][emoji239]
 
Zanzibar ndo mwendo huo,

1. Mabinti zao wengi wameolewa Arabuni na matajiri wenye visima vya mafuta wanatuma pesa kwa wazazi hapo Zanzibar maisha yanaenda.

2. Vijana wa Ki-Zanzibari wanapambania kuoa Vibibi wa KITALIANO ambao wengi wamewekeza kwenye biashara ya utalii hapo Unguja.

3. Mgao wa AJIRA na misaada toka bara (Tanganyika). umewapa ahueni wazanzibari kwenye ajira huko bara (majeshi na sekta mbalimbali za Muungano).

NB: Ndo maana m-Zanzibari haoni umuhimu wa kusoma, maana pesa ni rahisi mno
Kwamba wazanzibar wengi wameolewa arabuni na matajiri wa visima vya mafuta,hayo mafuta huko arabuni yanachimbwa na kila mtu na si serikali!?..kwamba wanaume wa kizanzibar wamekosa wake wazanzibar kuoa maana wengi wameolewa arabuni!?..kwamba kazi za smz zimechukuliwa na wabara Kisha kazi chache Bara wamewapa wazanzibar!?..kichwani ubongo au utoko!?
 
Siku hizi hali Ni Tete mtaani vyuma vimekaza kabisa hakuna michongo Wala nafasi za kutosha za ajira.

Vijana wengi wanahitimu vyuo wanarudi mtaani kutafuta ramani za maisha ila mambo hayaendi hawana CONNECTIONS kabisa.

Wengi wanakuwa ' liabilities' kwa wazazi wao licha ya kuwa na elimu ya juu.Utawakuta vijiweni kutwa nzima wanacheza bao mixer kubishana kwenye mambo ya Yanga na Simba.Inasikitisha Sana kuona vijana wetu wamekaa idol hawana lolote la maana wafanyalo.

Ni vibaya Sana kumuona mzazi anamshurutishwa mwanaye asepe nyumbani aende mjini kutafuta maisha.Je, ataendaje mjini wakati Hana connections Wala mchongo wa kueleweka.Wazazi wanatakiwa kuliangalia Hili suala kwa umakini Sana ili waweze kuwaokoa watoto kutoka kwenye Hali mbaya za kiuchumi.

Wazazi chukueni jukumu la kuwawezesha vijana wenu kiuchumi kwa kuwapa mitaji ya kuanzisha biashara ama kufanya kilimo kitakachowaingizia kipata wakati bado wanasikilizia michongo mingine.

Mwanao akishahitimu chuo tenga muda naye, mkae chini mzungumze umuulize Ni shughuli gani ambayo angependa kujihushisha nayo ya kumuingizia kipato.Akishakwambia Basi we mpe mtaji ama mfungulie hyo biashara aliyokupendekezea ili aweze kujiinua kiuchumi kuliko kukaa tu ku- idol mtaani.

Kwa mfano unaweza kumuwezesha mwanao kiuchumi kwa kumfungulia biashara ya duka la kuuza bidhaa mbali mbali, Banda la kuku, kupanda mimea Kama mboga na kadhalika. Naamini hi ndo njia pekee ambayo mzazi anaweza kumsaidia mwanaye baada ya kuhitimisha masomo.

Mwanao akiwa mwerevu Basi atajiongeza mwenyewe kwa kuikuza biashara uliyomuanzishia na kutengeneza faida kubwa.Na baada ya muda fulani atakuwa ameshapiga hatua kubwa ya kiuchumi na hakika wewe Kama mzazi utajivunia mwanao.
mzazi mwenyewe kapigika ataweza kumuwezesha mwanae kiuchumi? faida ya kuwa na wasomi wengi wasio na kazi ni kuandamana na kufanya vulugu tu hili tulitegemee miaka ijayo mtu kasoma kazi hana anaona watu walioko serikalini wanakuwa matajiri wala awaulizwi huo utajiri wameupata wapi hicho ndio chanzo cha mizozo kati ya watawala na waomi afirika
 
kuwezeshwa bila maarifa ya unachoenda kukifanya ni sawa na bure tu,me nazani msaada ni kutengeneza mindset za watoto wetu tangu wakiwa wadogo si kusubiri kuwawezesha mwishoni huko wakiwa wameshakomaa kiakili zikiwaza kuzunguka kwenye viti maofisini mfano mzuri wahindi kwenye biashara mtoto anaanza kwenda dukani angali mdogo wanarithishwa ujuzi/mbinu wangali wadogo
Ni kwel,ukipewa pesa tu kirahis rahis na inaondoka kirahis rahis tu

cHa msingi wazaz waandae ajira kwa watoto wao na sio kuwapatia hela za mitaji
 
hapo ndipo walipotuacha wenzetu ,mimi nilishagutuka muda sanaa nilianza ufugaji wa wanyama wadogo mbali na ndege kuku na wengineo nimetengeneza kama zoo flani hivi home nimewazoeza wanangu kufuga mifugo mbali mbali na napenda wateja wanapokuwa wanakuja kununua huwa nataka wawepo wakati na pokea hela,mwanzoni waliona tabu kidogo kidogo wakanzaa zoea na kuwalisha hata kama sipo sasa nimegawa mabanda nimewapa mifugo yao wasimamie wenyewe na inaenda fresh huwezi amini uniform na madaftari yao ya mwaka huu wamejinunulia wenyewe kwa kuuza mifugo yao mimi nawaongoza tu.naona kuna kitu wanagain kwenye real life
huu ndourithi wao wa kesho hata usipokiwepo unakua umewaacbia kitu ambacho kinaweza kuwasimamia hata kama wakikosa kazi za maofisini na maisha yakaenda sasa mtu anakwambia tu muwezesbe mtoto kwakumfungulia biashara ambazo hawezi kuzisimamia jiulize ni familia ngapi zimeondoka zikaacha mali/makampuni ambazo watu wazima na akili zao lakini wameshindwa kuzisimamia zikaishia kuuzwa tu yaani tunasafari ndefu bado ila chamuhimu kubadili mindset zetu kwanza
 
Siku hizi hali Ni Tete mtaani vyuma vimekaza kabisa hakuna michongo Wala nafasi za kutosha za ajira.

Vijana wengi wanahitimu vyuo wanarudi mtaani kutafuta ramani za maisha ila mambo hayaendi hawana CONNECTIONS kabisa.

Wengi wanakuwa ' liabilities' kwa wazazi wao licha ya kuwa na elimu ya juu.Utawakuta vijiweni kutwa nzima wanacheza bao mixer kubishana kwenye mambo ya Yanga na Simba.Inasikitisha Sana kuona vijana wetu wamekaa idol hawana lolote la maana wafanyalo.

Ni vibaya Sana kumuona mzazi anamshurutishwa mwanaye asepe nyumbani aende mjini kutafuta maisha.Je, ataendaje mjini wakati Hana connections Wala mchongo wa kueleweka.Wazazi wanatakiwa kuliangalia Hili suala kwa umakini Sana ili waweze kuwaokoa watoto kutoka kwenye Hali mbaya za kiuchumi.

Wazazi chukueni jukumu la kuwawezesha vijana wenu kiuchumi kwa kuwapa mitaji ya kuanzisha biashara ama kufanya kilimo kitakachowaingizia kipata wakati bado wanasikilizia michongo mingine.

Mwanao akishahitimu chuo tenga muda naye, mkae chini mzungumze umuulize Ni shughuli gani ambayo angependa kujihushisha nayo ya kumuingizia kipato.Akishakwambia Basi we mpe mtaji ama mfungulie hyo biashara aliyokupendekezea ili aweze kujiinua kiuchumi kuliko kukaa tu ku- idol mtaani.

Kwa mfano unaweza kumuwezesha mwanao kiuchumi kwa kumfungulia biashara ya duka la kuuza bidhaa mbali mbali, Banda la kuku, kupanda mimea Kama mboga na kadhalika. Naamini hi ndo njia pekee ambayo mzazi anaweza kumsaidia mwanaye baada ya kuhitimisha masomo.

Mwanao akiwa mwerevu Basi atajiongeza mwenyewe kwa kuikuza biashara uliyomuanzishia na kutengeneza faida kubwa.Na baada ya muda fulani atakuwa ameshapiga hatua kubwa ya kiuchumi na hakika wewe Kama mzazi utajivunia mwanao.
mzazi akiwa na njaa nyumbani kwake watoto awakai wanaodoka wenyewe
 
Kweli kabisa mkuu.Ila wazazi nao wanatakiwa wainuka kuwasaidia wanao mpaka pale watakapojimudu wenyewe.Na wakishaimarika kiuchumi hawataacha kurudisha mkono kwa wazazi.
wazazi walio wengi ni masikini wengi wlidhani wakisha somesha watoto umasikini umeishi kumbe sivio mtoto anamliza mashomo kisha analudi nyumbani kula ugali na kutazama tv
 
Kuna uzi nilichangia kama mzazi tena babu pia kuwa nilianza zamani sana kuwawekea watoto wangu hela bank.

Tangu wangali wadogo sana kila mwezi nawawekea kiasi na mpaka sasa kuna mmoja hajafika hata 10 ana za kutosha ila hagusi mpaka afike 18

Nilibezwa na mtu kama ananijua ila nikajisemea tu atakuwa hana upeo na umasikini tu

Kusubiri sasa mzee akupe hela hawezi kwa sababu huenda hana lakini mjifunze kuwawekea bank tangu wadogo hata Uni hawezi kukusumbua wala hatahitaji mkopo bali zitakuwa bank zikimsubiri au atasoma au atafungua biashara au ataenda majuu ni uamuzi wake

Wapo watakao ona ni vigumu lakini hata ulaya kuna nchi serikali inachangia kiasi kukupa moyo ili mtoto asipate shida ukubwani
 
Zanzibar ndo mwendo huo,

1. Mabinti zao wengi wameolewa Arabuni na matajiri wenye visima vya mafuta wanatuma pesa kwa wazazi hapo Zanzibar maisha yanaenda.

2. Vijana wa Ki-Zanzibari wanapambania kuoa Vibibi wa KITALIANO ambao wengi wamewekeza kwenye biashara ya utalii hapo Unguja.

3. Mgao wa AJIRA na misaada toka bara (Tanganyika). umewapa ahueni wazanzibari kwenye ajira huko bara (majeshi na sekta mbalimbali za Muungano).

NB: Ndo maana m-Zanzibari haoni umuhimu wa kusoma, maana pesa ni rahisi mno
Kwa nn hawa wazanzibar wanajikuta special sana 🤔
 
hapo ndipo walipotuacha wenzetu ,mimi nilishagutuka muda sanaa nilianza ufugaji wa wanyama wadogo mbali na ndege kuku na wengineo nimetengeneza kama zoo flani hivi home nimewazoeza wanangu kufuga mifugo mbali mbali na napenda wateja wanapokuwa wanakuja kununua huwa nataka wawepo wakati na pokea hela,mwanzoni waliona tabu kidogo kidogo wakanzaa zoea na kuwalisha hata kama sipo sasa nimegawa mabanda nimewapa mifugo yao wasimamie wenyewe na inaenda fresh huwezi amini uniform na madaftari yao ya mwaka huu wamejinunulia wenyewe kwa kuuza mifugo yao mimi nawaongoza tu.naona kuna kitu wanagain kwenye real life
Mkuu umefanya Jambo la maana Sana na lenye tija.Hongera zako mkuu.
 
Kuna uzi nilichangia kama mzazi tena babu pia kuwa nilianza zamani sana kuwawekea watoto wangu hela bank.

Tangu wangali wadogo sana kila mwezi nawawekea kiasi na mpaka sasa kuna mmoja hajafika hata 10 ana za kutosha ila hagusi mpaka afike 18

Nilibezwa na mtu kama ananijua ila nikajisemea tu atakuwa hana upeo na umasikini tu

Kusubiri sasa mzee akupe hela hawezi kwa sababu huenda hana lakini mjifunze kuwawekea bank tangu wadogo hata Uni hawezi kukusumbua wala hatahitaji mkopo bali zitakuwa bank zikimsubiri au atasoma au atafungua biashara au ataenda majuu ni uamuzi wake

Wapo wataona ni gumu bali hata ulaya kuna nchi serikali inachangia kiasi kukupa moyo ili mtoto asipate shida ukubwani
Umenena vizuri Sana mkuu.
 
Back
Top Bottom