M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,111 Reaction score 53,092 Jan 13, 2023 #41 Sharamdala said: Amesahau kuongelea mkopo alio nao🤣🤣 Click to expand... 🤣🤣🤣
B BodGanleonid JF-Expert Member Joined Nov 14, 2022 Posts 3,021 Reaction score 4,330 Jan 13, 2023 #42 Hali kama ni shwari,,hamna mzazi anayependa kumuona mwanae anahangaika huko mtaani kisa "ajira" ni vile tu uchumi wa wazazi wengi haupo vizuri.
Hali kama ni shwari,,hamna mzazi anayependa kumuona mwanae anahangaika huko mtaani kisa "ajira" ni vile tu uchumi wa wazazi wengi haupo vizuri.
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Jan 13, 2023 #43 RAYMANU254 said: Umenena vizuri Sana mkuu. Click to expand... Mkuu kuna watu wabinafsi utafikiri wataishi milele ilhali wanajua kifo kipo karibu sana Sasa kama una kipato kwanini usiwaandalie watoto maisha mazuri mbeleni? Mimi sijutii kwani watanishukuru baadae na siwaachii umasikini
RAYMANU254 said: Umenena vizuri Sana mkuu. Click to expand... Mkuu kuna watu wabinafsi utafikiri wataishi milele ilhali wanajua kifo kipo karibu sana Sasa kama una kipato kwanini usiwaandalie watoto maisha mazuri mbeleni? Mimi sijutii kwani watanishukuru baadae na siwaachii umasikini
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 8,611 Reaction score 16,118 Jan 13, 2023 Thread starter #44 Black Sniper said: Mkuu kuna watu wabinafsi utafikiri wataishi milele ilhali wanajua kifo kipo karibu sana Sasa kama una kipato kwanini usiwaandalie watoto maisha mazuri mbeleni? Mimi sijutii kwani watanishukuru baadae na siwaachii umasikini Click to expand... Kweli kabisa mkuu
Black Sniper said: Mkuu kuna watu wabinafsi utafikiri wataishi milele ilhali wanajua kifo kipo karibu sana Sasa kama una kipato kwanini usiwaandalie watoto maisha mazuri mbeleni? Mimi sijutii kwani watanishukuru baadae na siwaachii umasikini Click to expand... Kweli kabisa mkuu