LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
1. Wazazi wengi hawana home Curriculum. Wazazi wanapaswa kuwa na mtaala wa Nyumbani maalumu Kwa ajili ya kuwafundisha watoto wao stadi za maisha .
2. Kwa sababu ya kukosa mtaala wa Nyumbani wazazi huwaona watoto Kero Wawapo nyumbani jambo ambalo ni upumbavu WA Hali ya juu sana... Ndio maana watoto wakifanya utundu nyumbani wakati WA likizo utamsikia mzazi anasema " Bora shule zifunguliwe " ni kauli ya kipumbavu Sana Kwa mzazi kuongea ujinga huu lakini yote Kwa sababu wazazi wengi wa kitanzania hawajitambui.
3. Wazazi wanao wapeleka watoto wao shule za English Mediums hawana Akili na hawajitambui . Akaulizwa wasio na hela tu na wenye hela? Akasema wote tu Kwa sababu kwenye shule za English Mediums watoto hawapewi kinacho endana na thamani ya hela inayo lipwa .
Shule inatakiwa isaidie kutoa nje kilichopo ndani ya mtoto kitu ambacho shule za EMs hawana. Unapopeleka mtoto kwenye shule unayolipia kitu cha kwanza kabisa lazima waalimu wagundue kipaji na talanta iliyomo ndani ya mtoto na kisha wamsaidie kumjenga na kumuendeleza kitu ambacho shule za EMs hawana uwezo huo.
4. Tajiri hawezi mpeleka mtoto wake shule ya English Medium. Matajiri huwapeleka watoto Wao shule za mtaala wa Cambridge ( International Schools) ambako watoto hupewa kinacho endana na thamani ya mtoto ). Matajiri hawatumii hela zao kizembe
Masikini ndio Wanao tumia hela zao kizembe . Wanao peleka watoto Wao shule za EMs wengi Wao ni masikini na hawana uelewa. Ndio maana kila Ikifika wakati WA kulipa ada utawasikia wakisema " Aisee nna mambo mengi Mie, ada sijalipa, shule zinakaribia kufunguliwa. Upumbavu mtupu. Yani hawana tofauti na masikini lofa mwenye kadi Kumi za michango ya harusi anasema " Aisee nina michango mingi ya harusi!" Kwani umelazimishwa kuchangia harusi?
5. Shule za English Mediums Sio shule za private, ni shule za Public zenye majengo binafsi. Shule ya private lazima itumie mtaala tofauti na public.
6. Shule za English Mediums hazifundishi Kwa kiingereza ila masomo yanakuwa manetioned Kwa lugha ya kiingereza.
7. Shule za mtaala wa NECTA watoto hawaendi kusoma shule ila wanaenda kukusanya notes .
8 . Watoto waende shule saa 4 asubuhi warudi nyumbani saa 8. Wasome Kwa lisaa limoja au mawili masaa mawili wacheze.
9. Watoto wakiwa shuleni wanafurahia Zaidi michezo na wenzao Kuliko kusoma Kwa sababu watoto wanaenjoy Zaidi kusoma. ( NA KWELI NIMEKUMBUKA MIAKA YETU KULIKUWAGA NA WAASUBUHI NA WA SAA4 HADI TUKAWA NA WIMBO WA SAA4 MAKOMBO WA ASUBUHI OYE OYE.
10. Watoto wana michezo mingi Sana hulala wakiwa wamechoka. Mnawaamsha saa Kumi na moja waende shule wanaenda kulala kwenye bus la njano na darasani. Mna watesa watoto wenu.
Hayo si maneno yangu ila maneno ya Jospeh Mrindolo WA WACHOKONOZI
2. Kwa sababu ya kukosa mtaala wa Nyumbani wazazi huwaona watoto Kero Wawapo nyumbani jambo ambalo ni upumbavu WA Hali ya juu sana... Ndio maana watoto wakifanya utundu nyumbani wakati WA likizo utamsikia mzazi anasema " Bora shule zifunguliwe " ni kauli ya kipumbavu Sana Kwa mzazi kuongea ujinga huu lakini yote Kwa sababu wazazi wengi wa kitanzania hawajitambui.
3. Wazazi wanao wapeleka watoto wao shule za English Mediums hawana Akili na hawajitambui . Akaulizwa wasio na hela tu na wenye hela? Akasema wote tu Kwa sababu kwenye shule za English Mediums watoto hawapewi kinacho endana na thamani ya hela inayo lipwa .
Shule inatakiwa isaidie kutoa nje kilichopo ndani ya mtoto kitu ambacho shule za EMs hawana. Unapopeleka mtoto kwenye shule unayolipia kitu cha kwanza kabisa lazima waalimu wagundue kipaji na talanta iliyomo ndani ya mtoto na kisha wamsaidie kumjenga na kumuendeleza kitu ambacho shule za EMs hawana uwezo huo.
4. Tajiri hawezi mpeleka mtoto wake shule ya English Medium. Matajiri huwapeleka watoto Wao shule za mtaala wa Cambridge ( International Schools) ambako watoto hupewa kinacho endana na thamani ya mtoto ). Matajiri hawatumii hela zao kizembe
Masikini ndio Wanao tumia hela zao kizembe . Wanao peleka watoto Wao shule za EMs wengi Wao ni masikini na hawana uelewa. Ndio maana kila Ikifika wakati WA kulipa ada utawasikia wakisema " Aisee nna mambo mengi Mie, ada sijalipa, shule zinakaribia kufunguliwa. Upumbavu mtupu. Yani hawana tofauti na masikini lofa mwenye kadi Kumi za michango ya harusi anasema " Aisee nina michango mingi ya harusi!" Kwani umelazimishwa kuchangia harusi?
5. Shule za English Mediums Sio shule za private, ni shule za Public zenye majengo binafsi. Shule ya private lazima itumie mtaala tofauti na public.
6. Shule za English Mediums hazifundishi Kwa kiingereza ila masomo yanakuwa manetioned Kwa lugha ya kiingereza.
7. Shule za mtaala wa NECTA watoto hawaendi kusoma shule ila wanaenda kukusanya notes .
8 . Watoto waende shule saa 4 asubuhi warudi nyumbani saa 8. Wasome Kwa lisaa limoja au mawili masaa mawili wacheze.
9. Watoto wakiwa shuleni wanafurahia Zaidi michezo na wenzao Kuliko kusoma Kwa sababu watoto wanaenjoy Zaidi kusoma. ( NA KWELI NIMEKUMBUKA MIAKA YETU KULIKUWAGA NA WAASUBUHI NA WA SAA4 HADI TUKAWA NA WIMBO WA SAA4 MAKOMBO WA ASUBUHI OYE OYE.
10. Watoto wana michezo mingi Sana hulala wakiwa wamechoka. Mnawaamsha saa Kumi na moja waende shule wanaenda kulala kwenye bus la njano na darasani. Mna watesa watoto wenu.
Hayo si maneno yangu ila maneno ya Jospeh Mrindolo WA WACHOKONOZI