Wazazi wengi hawana Home Curriculum ( Mtaala wa Nyumbani)

Wazazi wengi hawana Home Curriculum ( Mtaala wa Nyumbani)

Home economics ni muhimu sana. Watoto wakiwa nyumbani wajifunze masuala ya nyumbani, uchumi wa nyumbani na mtaani

Sijawa na watoto wakubwa ila mimi wakifika umri wa shule, wakiwa shuleni wafanye ya shuleni, wakiwa nyumbani wafanye ya nyumbani.

Kwangu hakutakua na holiday package wala ujinga gani, na hata homework za shule ni ujinga, kama ipo basi only zoezi la muda mfupi sana.

Hii ni kanuni zinazotumiwa na matajiri kwa watoto wao, ndio maana hukuti hawa watoto wakimaliza shule ma matokeo ya As wala Bs lakini ndio viongozi ama wakuu wa taasisi binafsi ama za umma. Hata kwa wahindi wa hapa Tanzania.

Watoto wakitoka shule hufundishwa maisha halisi ya mtaani. Hii inawafanya watoto kuanza kupata life skills mapema sana kuliko kukomaa na ma As ambayo yanapatikana kwa kuiba mitihani. (Kuna shule kule Serengeti inaitwa Twibhoki, kila mwaka ilikua inakua ya 10 bora kitaifa, inatoa wanafunzi 5 kati ya 10 bora nchini, walivyofuatiliwa ikakutwa inaiba mitihani, watoto wana majibu yanayofanana darasa zima, ikafungiwa na imepotea kabisa)
Wewe hii shule kwani haipo Tena , ishu watu wengi hawajui mindset za wafanyabiashara wanavyocheza na akili za mteja ili achukue hela zake. Mie kinachonisaidia ni kuwa since standard wani Maisha yangu ni ya dukani naenda shule nikirudi ni kuuza dukani, so huwa najua akili ya mfanya biashara ilivyo, yaani anajua mteja akili ilivyo, mfano watu wengi yaani wengi wanaamini kuwa chenye gharama ndicho kina ubora ,Kuna muda kitu kilikuwa kikiganda dukani nakipandishia Bei yaani hii akili from nowhere sijui Ila ni from universe nashangaa kitu kinanunuliwa na nilikuwa mtt mdogo, pia Kuna muda mchele wa aina moja nagawanya kwa beseni mbili naandika 200/kg na mwingine 250/kg nakuambia wateja Wana concentrate kwa hii ya 250 wananiambia nipunguzie hii nachukua kilo nyingi nabakia nacheka mwenyewe.

Pia nimesoma na nimeona kusoma sio kuwa ni hela Bali Kama mtt anao uwezo na anapenda kujisomea that's the gift, nakumbuka la Tano mwalimu alinifahamu akaniuliza unasomaga twisheni akaniambia kalete your maths exercise nikampelekea.

Hata tulivyoenda nje kusoma Russia na through government scholarship bana Kuna wabongo walijifunza kirusi mwaka mmoja wakaanza kusoma university pamoja na warusi Sasa si Kuna watu wanawafundisha warusi hao hao kuwa hapa ni ivi rector alisema.
So naamini kuwa kuelewa kitu sio lugha bana sema watu tunataka ku take pride kuwa tunasomesha na pia Yale machungu ya kukosa elimu na kunyanyaswa na wasomi , pia kuona wasomi jirani yako wanaongea English so unakuwa na maumivu mno ya kuja kuziba ilo PENGO ama maumivu ayo. Cheki msukuma na kishimba wanavyohangaika wanaponda wasomi na huku nafsini mwako ni maumivu yanawasumbua wanadisi elimu na huku vijana wao wanawasomesha, shigonga akagonga mwamba akataka kusoma udsm ili na yeye awe na Ile sifa kusoma chuo kikongwe nchini chenye wanaosoma hapo wenye uwezo mkubwa.
Sasa bana akaombwa cheti cha foo akaja kumaindi mpaka bungeni kuwa amekataliwa.
Msukuma anaponda wasomi huku akaenda kununua cheo cha usiku kuitwa doctor ya heshima.
Akili zetu ama tulivyo wanadamu ni sawa na Ile hadithi ya sizitaki hizi mbichi. Mwanamke kwanza Malaya baada ya kuwa amekukataa unatafuta validation ya roho yako itulie na unaamini ivyo Mana maumivu ni makali ya kukosa mtt mkali.
Ila ingawa Mwanzoni ulikuwa unamtaka kwa cost zote,
English bana sio dili kubwa mno Kuna muda hata mie nilikuwa ama nikiongea na mtu ana doubt Kama mie ni Mtanzania, chuoni kwa bongo nilikuwa natongoza mademu kwa English na ninawala kweli kweli Mana hawajui kujitetea kwa English wanabakia yes and no mara ofcourse.
 
1. Wazazi wengi hawana home Curriculum. Wazazi wanapaswa kuwa na mtaala wa Nyumbani maalumu Kwa ajili ya kuwafundisha watoto wao stadi za maisha .


2. Kwa sababu ya kukosa mtaala wa Nyumbani wazazi huwaona watoto Kero Wawapo nyumbani jambo ambalo ni upumbavu WA Hali ya juu sana... Ndio maana watoto wakifanya utundu nyumbani wakati WA likizo utamsikia mzazi anasema " Bora shule zifunguliwe " ni kauli ya kipumbavu Sana Kwa mzazi kuongea ujinga huu lakini yote Kwa sababu wazazi wengi wa kitanzania hawajitambui.


3. Wazazi wanao wapeleka watoto wao shule za English Mediums hawana Akili na hawajitambui . Akaulizwa wasio na hela tu na wenye hela? Akasema wote tu Kwa sababu kwenye shule za English Mediums watoto hawapewi kinacho endana na thamani ya hela inayo lipwa .

Shule inatakiwa isaidie kutoa nje kilichopo ndani ya mtoto kitu ambacho shule za EMs hawana. Unapopeleka mtoto kwenye shule unayolipia kitu cha kwanza kabisa lazima waalimu wagundue kipaji na talanta iliyomo ndani ya mtoto na kisha wamsaidie kumjenga na kumuendeleza kitu ambacho shule za EMs hawana uwezo huo.


4. Tajiri hawezi mpeleka mtoto wake shule ya English Medium. Matajiri huwapeleka watoto Wao shule za mtaala wa Cambridge ( International Schools) ambako watoto hupewa kinacho endana na thamani ya mtoto ). Matajiri hawatumii hela zao kizembe

Masikini ndio Wanao tumia hela zao kizembe . Wanao peleka watoto Wao shule za EMs wengi Wao ni masikini na hawana uelewa. Ndio maana kila Ikifika wakati WA kulipa ada utawasikia wakisema " Aisee nna mambo mengi Mie, ada sijalipa, shule zinakaribia kufunguliwa. Upumbavu mtupu. Yani hawana tofauti na masikini lofa mwenye kadi Kumi za michango ya harusi anasema " Aisee nina michango mingi ya harusi!" Kwani umelazimishwa kuchangia harusi?


5. Shule za English Mediums Sio shule za private, ni shule za Public zenye majengo binafsi. Shule ya private lazima itumie mtaala tofauti na public.


6. Shule za English Mediums hazifundishi Kwa kiingereza ila masomo yanakuwa manetioned Kwa lugha ya kiingereza.


7. Shule za mtaala wa NECTA watoto hawaendi kusoma shule ila wanaenda kukusanya notes .

8 . Watoto waende shule saa 4 asubuhi warudi nyumbani saa 8. Wasome Kwa lisaa limoja au mawili masaa mawili wacheze.


9. Watoto wakiwa shuleni wanafurahia Zaidi michezo na wenzao Kuliko kusoma Kwa sababu watoto wanaenjoy Zaidi kusoma. ( NA KWELI NIMEKUMBUKA MIAKA YETU KULIKUWAGA NA WAASUBUHI NA WA SAA4 HADI TUKAWA NA WIMBO WA SAA4 MAKOMBO WA ASUBUHI OYE OYE.


10. Watoto wana michezo mingi Sana hulala wakiwa wamechoka. Mnawaamsha saa Kumi na moja waende shule wanaenda kulala kwenye bus la njano na darasani. Mna watesa watoto wenu.



Hayo si maneno yangu ila maneno ya Jospeh Mrindolo WA WACHOKONOZI
Kichwa cha habari na maelezo uliyo andika ni vitu viwili tofauti.

Kweli kuna vichaa wengi wanao tembea wamevaa nguo kuliko walio uchi.

umasikini mbaya sana una unavyojidharirisha.
 
Au kula chips kuku broiler. Unanunua chips kuku broiler Kwa sh elfu 8 plus soda. Halafu mtu akwambie kwanini unakula chipsi kuku broiler Kwa sh elfu elfu nane wakati ungeweza kula ugali na spinach?

Anyways Kwa hoja yako hii unaweza kumuona mtu huyu hana hela lakini ukiwazs vizuri Zaidi utagundua kuwa mtu huyu ana hekima Kwa sababu mtu mwenye hekima anajua kuku broiler ni sumu ambayo hutakiwi kulipa hata senti5.


As a matter of fact mpaka Leo sijui kwanini Tanzania nyama inauzwa elfu Kumi kilo moja huku spinach ikiuzwa sh mia Tano fungu wakati spinach ina faida za kiafya mara mia ya nyama ambayo pia ni sumu.

Jibu ni moja tu ignorance


So suala Sio kutokuwa na hela suala ni kuwa na hekima na busara
Hekima na busara itawale, nyama iuzwe buku na spinach buku ten au sio.....😁

Mkuu kuwa na hela ni raha unakua na choice nzuri nzuri.
 
Kichwa cha habari na maelezo uliyo andika ni vitu viwili tofauti.

Kweli kuna vichaa wengi wanao tembea wamevaa nguo kuliko walio uchi.

umasikini mbaya sana una unavyojidharirisha.
Peleka Mwanza kuku broiler
 
Hekima na busara itawale, nyama iuzwe buku na spinach buku ten au sio.....😁

Mkuu kuwa na hela ni raha unakua na choice nzuri nzuri.

Demu ambae Mimi ninamla bure halafu mwingine anamla Kwa hela nani mjanja na nani fala?

Wewe unachanganya kuwa na hela na kua fala ni vitu viwili tofauti.

Kulipa mamilioni EMs ni ufala Sio kuwa na hela .
 
Hizi ni facts ambazo mtanzania wa kawaida hawezi ku regurgitate. Tunaishi kwa kufuata mkumbo
 
Wewe hii shule kwani haipo Tena , ishu watu wengi hawajui mindset za wafanyabiashara wanavyocheza na akili za mteja ili achukue hela zake. Mie kinachonisaidia ni kuwa since standard wani Maisha yangu ni ya dukani naenda shule nikirudi ni kuuza dukani, so huwa najua akili ya mfanya biashara ilivyo, yaani anajua mteja akili ilivyo, mfano watu wengi yaani wengi wanaamini kuwa chenye gharama ndicho kina ubora ,Kuna muda kitu kilikuwa kikiganda dukani nakipandishia Bei yaani hii akili from nowhere sijui Ila ni from universe nashangaa kitu kinanunuliwa na nilikuwa mtt mdogo, pia Kuna muda mchele wa aina moja nagawanya kwa beseni mbili naandika 200/kg na mwingine 250/kg nakuambia wateja Wana concentrate kwa hii ya 250 wananiambia nipunguzie hii nachukua kilo nyingi nabakia nacheka mwenyewe.

Pia nimesoma na nimeona kusoma sio kuwa ni hela Bali Kama mtt anao uwezo na anapenda kujisomea that's the gift, nakumbuka la Tano mwalimu alinifahamu akaniuliza unasomaga twisheni akaniambia kalete your maths exercise nikampelekea.

Hata tulivyoenda nje kusoma Russia na through government scholarship bana Kuna wabongo walijifunza kirusi mwaka mmoja wakaanza kusoma university pamoja na warusi Sasa si Kuna watu wanawafundisha warusi hao hao kuwa hapa ni ivi rector alisema.
So naamini kuwa kuelewa kitu sio lugha bana sema watu tunataka ku take pride kuwa tunasomesha na pia Yale machungu ya kukosa elimu na kunyanyaswa na wasomi , pia kuona wasomi jirani yako wanaongea English so unakuwa na maumivu mno ya kuja kuziba ilo PENGO ama maumivu ayo. Cheki msukuma na kishimba wanavyohangaika wanaponda wasomi na huku nafsini mwako ni maumivu yanawasumbua wanadisi elimu na huku vijana wao wanawasomesha, shigonga akagonga mwamba akataka kusoma udsm ili na yeye awe na Ile sifa kusoma chuo kikongwe nchini chenye wanaosoma hapo wenye uwezo mkubwa.
Sasa bana akaombwa cheti cha foo akaja kumaindi mpaka bungeni kuwa amekataliwa.
Msukuma anaponda wasomi huku akaenda kununua cheo cha usiku kuitwa doctor ya heshima.
Akili zetu ama tulivyo wanadamu ni sawa na Ile hadithi ya sizitaki hizi mbichi. Mwanamke kwanza Malaya baada ya kuwa amekukataa unatafuta validation ya roho yako itulie na unaamini ivyo Mana maumivu ni makali ya kukosa mtt mkali.
Ila ingawa Mwanzoni ulikuwa unamtaka kwa cost zote,
English bana sio dili kubwa mno Kuna muda hata mie nilikuwa ama nikiongea na mtu ana doubt Kama mie ni Mtanzania, chuoni kwa bongo nilikuwa natongoza mademu kwa English na ninawala kweli kweli Mana hawajui kujitetea kwa English wanabakia yes and no mara ofcourse.
Evelyn Salt
 
kichwa cha habari na mada wala havina uhusiano

ni wewe tu na EM zako

hapo kwenye vipaji vya watoto, wazazi ndo wana makosa makubwa, wanawaambia watoto vipaji ni upuuzi wajikite kwenye masomo
 
Demu ambae Mimi ninamla bure halafu mwingine anamla Kwa hela nani mjanja na nani fala?

Wewe unachanganya kuwa na hela na kua fala ni vitu viwili tofauti.

Kulipa mamilioni EMs ni ufala Sio kuwa na hela .
Kwahiyo mtoto akakae kwenye kiti kimoja wakae watatu hadi wanne ndo ujanja huo bro au sio.....

Hebu kila mtu aishi vile anaona sawa kwake. Nilisoma kayumba sikuwahi kukaa kwenye kiti kimoja watu watatu. Kayumba za sasa ni kayumba kweli....mi binafsi hapana
 
kichwa cha habari na mada wala havina uhusiano

ni wewe tu na EM zako

hapo kwenye vipaji vya watoto, wazazi ndo wana makosa makubwa, wanawaambia watoto vipaji ni upuuzi wajikite kwenye masomo
Kama unadhani kichwa cha habari na Mada havina uhusiano Basi nasikitika kukwambia kwamba wewe ni kilaza aisee.


Kichwa cha habari kimetoka kwenye video ya wachokonozi.

Mada imetoka kwenye video hiyo hiyo ya wachokonozi

Halafu wewe unasema havina uhusiano?

Una shida gani inakusumbua kichwani mkuu
 
Kwahiyo mtoto akakae kwenye kiti kimoja wakae watatu hadi wanne ndo ujanja huo bro au sio.....

Hebu kila mtu aishi vile anaona sawa kwake. Nilisoma kayumba sikuwahi kukaa kwenye kiti kimoja watu watatu. Kayumba sa sasa ni kayumba kweli....mi binafsi hapana
Ulisoma Kayumba ya kijijini Sio ya mjini.
 
Ulisoma Kayumba ya kijijini Sio ya mjini.
Mjini mzee baba, katikati ya jiji...
Nyanza primary, pamba sec mwanza sec kuna bush hapo,? 😹 hata daladala tu sijawahi panda kwenda shule, moja mbili hadi class

Shule za hadhi walau hiyo kwa sasa zinaeleweka, kuna shule kama mzumbe, kibaha, msalato etc mtoto atasoma na ni uhakika!

Ila hizi CHAUREMBO shule ya msingi aaaah weee niache kidogo, mpeleke wako akatuwakilishe 😂
 
Mjini mzee baba, katikati ya jiji...
Nyanza primary, pamba sec mwanza sec kuna bush hapo,? 😹 hata daladala tu sijawahi panda kwenda shule, moja mbili hadi class
Mwanza napajua Sana nilikuwaga natoka Dar kwenda Mwanza kutafuta mademu WA kisukuma Kwa sababu wengi wana nyota hizo shule unazo zisema nazijua hazina sifa hizo.

Kwanza Nyanza primary I think ni English Medium. Kama Sio Nyanza Basi Nyakahoja.

Pamba Secondary na Mwanza Secondary are one of the best schools Tanzania Kwa sababu kwanza Zina mazingira mazuri...

Muogope Allah, Nyanza, Pamba Sec , Mwanza Sec Sio shule mbaya kama ulivyo sema.

Tanzania hii naijua vizuri Sana nimeitembea yote.
 
He we jamaa tafuta hela upeleke watoto shule...hiyo kujifanya una mitaala nyumbani ni kuendelea kuwachanganya hao wanao wa Kayumba,...watachochora hao mpaka utashangaa ..Hiyo campaign yako unajichosha tu hao wanaokusuport wakipata tu pesa za kubadilishia mboga wanahamisha watoto wao mchana kweupeeee
 
Mwanza napajua Sana nilikuwaga natoka Dar kwenda Mwanza kutafuta mademu WA kisukuma Kwa sababu wengi wana nyota hizo shule unazo zisema nazijua hazina sifa hizo.

Kwanza Nyanza primary I think ni English Medium. Kama Sio Nyanza Basi Nyakahoja.

Pamba Secondary na Mwanza Secondary are one of the best schools Tanzania Kwa sababu kwanza Zina mazingira mazuri...

Muogope Allah, Nyanza, Pamba Sec , Mwanza Sec Sio shule mbaya kama ulivyo sema.

Tanzania hii naijua vizuri Sana nimeitembea yote.
Nyanza imekua English medium miaka ya karibuni, karibuni kabisaaaa mie nimesoma ikiwa kiswahili .....nlikua naenda na mfagio na kidumu na mbolea.

Sijasema shule mbaya nimesema shule za kawaida nikimaanisha za kiswahili sio English medium. Ila kwa sasa tulipo hata huko kielimu sio kuzuri teeena kama enzi hizo kwahiyo mi kumpeleka mtoto wangu hapana.....labda nikose uwezo kabisaaaaa yani sina option ila haiwezi kuwa chaguo kwa sasa (Mungu anisaidie nsifike huko) ila kwa sasa vijana wangu watasoma katika mazingira mazuri.

Kwahiyo mzee baba we wanao wapeleke watatuwakilisha
 
Mjini mzee baba, katikati ya jiji...
Nyanza primary, pamba sec mwanza sec kuna bush hapo,? 😹 hata daladala tu sijawahi panda kwenda shule, moja mbili hadi class

Shule za hadhi walau hiyo kwa sasa zinaeleweka, kuna shule kama mzumbe, kibaha, msalato etc mtoto atasoma na ni uhakika!

Ila hizi CHAUREMBO shule ya msingi aaaah weee niache kidogo, mpeleke wako akatuwakilishe 😂
Imagine shule inaitwa SHULE YA MSINGI MWANZO MGUMU ....Aaaaah hapana kwa kweli, mwanae akawe balozi naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom