Wazazi wengi hawana Home Curriculum ( Mtaala wa Nyumbani)

Wazazi wengi hawana Home Curriculum ( Mtaala wa Nyumbani)

Imagine shule inaitwa SHULE YA MSINGI MWANZO MGUMU ....Aaaaah hapana kwa kweli, mwanae akawe balozi naunga mkono hoja
Kuna shule inaitwa BUZI LA SOGA 😹
LIKUD awapeleke huko ili asave na awe mjanja zaidi 😂😂😂
 
Hata mimi nimesoma kayumba ya enzi zile, ilikuwa Zanaki Primary, lakini kipindi kile elimu ilikuwa inaufadhali hizi shule, tulikuwa tunasoma na wahindi na waraabu wenye hela, fikiria nilikuwa darasa moja na mtoto wa hawa Suchak wenye ukwasa sasa hivi, na pia kulikuwa na walimu wahindi wanatufudisha miaka ile.
Kwa sasa kama najiweza sipeleki mtoto wangu hizi shule, zimekuwa choka mbovu ndio maana huoni mtoto hata mmoja wa kihindi au mwarabu yuko hizi shule. kwanini hujiulizi hilo, na zamani walikuwa wengi, ile Upanga Primary ilikuwa kama shule ya wahindi tupu na ilikuwa st kayumba.......
 
1. Wazazi wengi hawana home Curriculum. Wazazi wanapaswa kuwa na mtaala wa Nyumbani maalumu Kwa ajili ya kuwafundisha watoto wao stadi za maisha .


2. Kwa sababu ya kukosa mtaala wa Nyumbani wazazi huwaona watoto Kero Wawapo nyumbani jambo ambalo ni upumbavu WA Hali ya juu sana... Ndio maana watoto wakifanya utundu nyumbani wakati WA likizo utamsikia mzazi anasema " Bora shule zifunguliwe " ni kauli ya kipumbavu Sana Kwa mzazi kuongea ujinga huu lakini yote Kwa sababu wazazi wengi wa kitanzania hawajitambui.


3. Wazazi wanao wapeleka watoto wao shule za English Mediums hawana Akili na hawajitambui . Akaulizwa wasio na hela tu na wenye hela? Akasema wote tu Kwa sababu kwenye shule za English Mediums watoto hawapewi kinacho endana na thamani ya hela inayo lipwa .

Shule inatakiwa isaidie kutoa nje kilichopo ndani ya mtoto kitu ambacho shule za EMs hawana. Unapopeleka mtoto kwenye shule unayolipia kitu cha kwanza kabisa lazima waalimu wagundue kipaji na talanta iliyomo ndani ya mtoto na kisha wamsaidie kumjenga na kumuendeleza kitu ambacho shule za EMs hawana uwezo huo.


4. Tajiri hawezi mpeleka mtoto wake shule ya English Medium. Matajiri huwapeleka watoto Wao shule za mtaala wa Cambridge ( International Schools) ambako watoto hupewa kinacho endana na thamani ya mtoto ). Matajiri hawatumii hela zao kizembe

Masikini ndio Wanao tumia hela zao kizembe . Wanao peleka watoto Wao shule za EMs wengi Wao ni masikini na hawana uelewa. Ndio maana kila Ikifika wakati WA kulipa ada utawasikia wakisema " Aisee nna mambo mengi Mie, ada sijalipa, shule zinakaribia kufunguliwa. Upumbavu mtupu. Yani hawana tofauti na masikini lofa mwenye kadi Kumi za michango ya harusi anasema " Aisee nina michango mingi ya harusi!" Kwani umelazimishwa kuchangia harusi?


5. Shule za English Mediums Sio shule za private, ni shule za Public zenye majengo binafsi. Shule ya private lazima itumie mtaala tofauti na public.


6. Shule za English Mediums hazifundishi Kwa kiingereza ila masomo yanakuwa manetioned Kwa lugha ya kiingereza.


7. Shule za mtaala wa NECTA watoto hawaendi kusoma shule ila wanaenda kukusanya notes .

8 . Watoto waende shule saa 4 asubuhi warudi nyumbani saa 8. Wasome Kwa lisaa limoja au mawili masaa mawili wacheze.


9. Watoto wakiwa shuleni wanafurahia Zaidi michezo na wenzao Kuliko kusoma Kwa sababu watoto wanaenjoy Zaidi kusoma. ( NA KWELI NIMEKUMBUKA MIAKA YETU KULIKUWAGA NA WAASUBUHI NA WA SAA4 HADI TUKAWA NA WIMBO WA SAA4 MAKOMBO WA ASUBUHI OYE OYE.


10. Watoto wana michezo mingi Sana hulala wakiwa wamechoka. Mnawaamsha saa Kumi na moja waende shule wanaenda kulala kwenye bus la njano na darasani. Mna watesa watoto wenu.



Hayo si maneno yangu ila maneno ya Jospeh Mrindolo WA WACHOKONOZI
s far away differ from the Heading

1. Wazazi wengi hawana home Curriculum. Wazazi wanapaswa kuwa na mtaala wa Nyumbani maalumu Kwa ajili ya kuwafundisha watoto wao stadi za maisha .


2. Kwa sababu ya kukosa mtaala wa Nyumbani wazazi huwaona watoto Kero Wawapo nyumbani jambo ambalo ni upumbavu WA Hali ya juu sana... Ndio maana watoto wakifanya utundu nyumbani wakati WA likizo utamsikia mzazi anasema " Bora shule zifunguliwe " ni kauli ya kipumbavu Sana Kwa mzazi kuongea ujinga huu lakini yote Kwa sababu wazazi wengi wa kitanzania hawajitambui.


3. Wazazi wanao wapeleka watoto wao shule za English Mediums hawana Akili na hawajitambui . Akaulizwa wasio na hela tu na wenye hela? Akasema wote tu Kwa sababu kwenye shule za English Mediums watoto hawapewi kinacho endana na thamani ya hela inayo lipwa .

Shule inatakiwa isaidie kutoa nje kilichopo ndani ya mtoto kitu ambacho shule za EMs hawana. Unapopeleka mtoto kwenye shule unayolipia kitu cha kwanza kabisa lazima waalimu wagundue kipaji na talanta iliyomo ndani ya mtoto na kisha wamsaidie kumjenga na kumuendeleza kitu ambacho shule za EMs hawana uwezo huo.


4. Tajiri hawezi mpeleka mtoto wake shule ya English Medium. Matajiri huwapeleka watoto Wao shule za mtaala wa Cambridge ( International Schools) ambako watoto hupewa kinacho endana na thamani ya mtoto ). Matajiri hawatumii hela zao kizembe

Masikini ndio Wanao tumia hela zao kizembe . Wanao peleka watoto Wao shule za EMs wengi Wao ni masikini na hawana uelewa. Ndio maana kila Ikifika wakati WA kulipa ada utawasikia wakisema " Aisee nna mambo mengi Mie, ada sijalipa, shule zinakaribia kufunguliwa. Upumbavu mtupu. Yani hawana tofauti na masikini lofa mwenye kadi Kumi za michango ya harusi anasema " Aisee nina michango mingi ya harusi!" Kwani umelazimishwa kuchangia harusi?


5. Shule za English Mediums Sio shule za private, ni shule za Public zenye majengo binafsi. Shule ya private lazima itumie mtaala tofauti na public.


6. Shule za English Mediums hazifundishi Kwa kiingereza ila masomo yanakuwa manetioned Kwa lugha ya kiingereza.


7. Shule za mtaala wa NECTA watoto hawaendi kusoma shule ila wanaenda kukusanya notes .

8 . Watoto waende shule saa 4 asubuhi warudi nyumbani saa 8. Wasome Kwa lisaa limoja au mawili masaa mawili wacheze.


9. Watoto wakiwa shuleni wanafurahia Zaidi michezo na wenzao Kuliko kusoma Kwa sababu watoto wanaenjoy Zaidi kusoma. ( NA KWELI NIMEKUMBUKA MIAKA YETU KULIKUWAGA NA WAASUBUHI NA WA SAA4 HADI TUKAWA NA WIMBO WA SAA4 MAKOMBO WA ASUBUHI OYE OYE.


10. Watoto wana michezo mingi Sana hulala wakiwa wamechoka. Mnawaamsha saa Kumi na moja waende shule wanaenda kulala kwenye bus la njano na darasani. Mna watesa watoto wenu.



Hayo si maneno yangu ila maneno ya Jospeh Mrindolo WA WACHOKONOZI
What's been discussed is far away differ from the Heading itself, though it's truly that the school fees paid at EMS is inversely proportional to the education provided at stp....!!
 
Hata mimi nimesoma kayumba ya enzi zile, ilikuwa Zanaki Primary, lakini kipindi kile elimu ilikuwa inaufadhali hizi shule, tulikuwa tunasoma na wahindi na waraabu wenye hela, fikiria nilikuwa darasa moja na mtoto wa hawa Suchak wenye ukwasa sasa hivi, na pia kulikuwa na walimu wahindi wanatufudisha miaka ile.
Kwa sasa kama najiweza sipeleki mtoto wangu hizi shule, zimekuwa choka mbovu ndio maana huoni mtoto hata mmoja wa kihindi au mwarabu yuko hizi shule. kwanini hujiulizi hilo, na zamani walikuwa wengi, ile Upanga Primary ilikuwa kama shule ya wahindi tupu na ilikuwa st kayumba.......
Kumbe Unapeleka mtoto shule Kwa ajili ya wahindi na waarabu. I love the way u think
 
He we jamaa tafuta hela upeleke watoto shule...hiyo kujifanya una mitaala nyumbani ni kuendelea kuwachanganya hao wanao wa Kayumba,...watachochora hao mpaka utashangaa ..Hiyo campaign yako unajichosha tu hao wanaokusuport wakipata tu pesa za kubadilishia mboga wanahamisha watoto wao mchana kweupeeee
Kumbe untafuta hela ili kupeleka mtoto Shule?

Sio kwamba unampeleka shule ili aje apate hela?

Ur money behave differently
 
Nyanza imekua English medium miaka ya karibuni, karibuni kabisaaaa mie nimesoma ikiwa kiswahili .....nlikua naenda na mfagio na kidumu na mbolea.

Sijasema shule mbaya nimesema shule za kawaida nikimaanisha za kiswahili sio English medium. Ila kwa sasa tulipo hata huko kielimu sio kuzuri teeena kama enzi hizo kwahiyo mi kumpeleka mtoto wangu hapana.....labda nikose uwezo kabisaaaaa yani sina option ila haiwezi kuwa chaguo kwa sasa (Mungu anisaidie nsifike huko) ila kwa sasa vijana wangu watasoma katika mazingira mazuri.

Kwahiyo mzee baba we wanao wapeleke watatuwakilisha
Kumbe umesoma nyanza primary mie nimesoma kitangiri primary, nyanza imekuwa ni government school Ila wanatumia English, hata sijui serikali sijui inabana nini mbona Wana uwezo wa kubadilisha shule zake zote tutumie English, sijabeza kuwa English sio ya muhimu
 
He we jamaa tafuta hela upeleke watoto shule...hiyo kujifanya una mitaala nyumbani ni kuendelea kuwachanganya hao wanao wa Kayumba,...watachochora hao mpaka utashangaa ..Hiyo campaign yako unajichosha tu hao wanaokusuport wakipata tu pesa za kubadilishia mboga wanahamisha watoto wao mchana kweupeeee
Hujamuelewa mtoa Mada kamaanisha mtoto pamoja na kwenda shule anatakiwa apate pia na mafunzo ya nyumbani ambayo yanahusisha vitu kama nidhamu uaminifu nakadhalika
 
Kumbe untafuta hela ili kupeleka mtoto Shule?

Sio kwamba unampeleka shule ili aje apate hela?

Ur money behave differently
Ndio kazi ya hela bro...sasa wewe endelea kutojua matumizi ya hela
 
1. Wazazi wengi hawana home Curriculum. Wazazi wanapaswa kuwa na mtaala wa Nyumbani maalumu Kwa ajili ya kuwafundisha watoto wao stadi za maisha .


2. Kwa sababu ya kukosa mtaala wa Nyumbani wazazi huwaona watoto Kero Wawapo nyumbani jambo ambalo ni upumbavu WA Hali ya juu sana... Ndio maana watoto wakifanya utundu nyumbani wakati WA likizo utamsikia mzazi anasema " Bora shule zifunguliwe " ni kauli ya kipumbavu Sana Kwa mzazi kuongea ujinga huu lakini yote Kwa sababu wazazi wengi wa kitanzania hawajitambui.


3. Wazazi wanao wapeleka watoto wao shule za English Mediums hawana Akili na hawajitambui . Akaulizwa wasio na hela tu na wenye hela? Akasema wote tu Kwa sababu kwenye shule za English Mediums watoto hawapewi kinacho endana na thamani ya hela inayo lipwa .

Shule inatakiwa isaidie kutoa nje kilichopo ndani ya mtoto kitu ambacho shule za EMs hawana. Unapopeleka mtoto kwenye shule unayolipia kitu cha kwanza kabisa lazima waalimu wagundue kipaji na talanta iliyomo ndani ya mtoto na kisha wamsaidie kumjenga na kumuendeleza kitu ambacho shule za EMs hawana uwezo huo.


4. Tajiri hawezi mpeleka mtoto wake shule ya English Medium. Matajiri huwapeleka watoto Wao shule za mtaala wa Cambridge ( International Schools) ambako watoto hupewa kinacho endana na thamani ya mtoto ). Matajiri hawatumii hela zao kizembe

Masikini ndio Wanao tumia hela zao kizembe . Wanao peleka watoto Wao shule za EMs wengi Wao ni masikini na hawana uelewa. Ndio maana kila Ikifika wakati WA kulipa ada utawasikia wakisema " Aisee nna mambo mengi Mie, ada sijalipa, shule zinakaribia kufunguliwa. Upumbavu mtupu. Yani hawana tofauti na masikini lofa mwenye kadi Kumi za michango ya harusi anasema " Aisee nina michango mingi ya harusi!" Kwani umelazimishwa kuchangia harusi?


5. Shule za English Mediums Sio shule za private, ni shule za Public zenye majengo binafsi. Shule ya private lazima itumie mtaala tofauti na public.


6. Shule za English Mediums hazifundishi Kwa kiingereza ila masomo yanakuwa manetioned Kwa lugha ya kiingereza.


7. Shule za mtaala wa NECTA watoto hawaendi kusoma shule ila wanaenda kukusanya notes .

8 . Watoto waende shule saa 4 asubuhi warudi nyumbani saa 8. Wasome Kwa lisaa limoja au mawili masaa mawili wacheze.


9. Watoto wakiwa shuleni wanafurahia Zaidi michezo na wenzao Kuliko kusoma Kwa sababu watoto wanaenjoy Zaidi kusoma. ( NA KWELI NIMEKUMBUKA MIAKA YETU KULIKUWAGA NA WAASUBUHI NA WA SAA4 HADI TUKAWA NA WIMBO WA SAA4 MAKOMBO WA ASUBUHI OYE OYE.


10. Watoto wana michezo mingi Sana hulala wakiwa wamechoka. Mnawaamsha saa Kumi na moja waende shule wanaenda kulala kwenye bus la njano na darasani. Mna watesa watoto wenu.



Hayo si maneno yangu ila maneno ya Jospeh Mrindolo WA WACHOKONOZI

View: https://youtu.be/YZDXR1lZyzs?si=kUn0j6A3J0r3sNzE
 

Attachments

  • Screenshot_20250118_162900_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20250118_162900_WhatsAppBusiness.jpg
    369.1 KB · Views: 1
U worry to much about tomorrow,Tumia pesa ikuzoee
Hii inakufaa wewe ndio una worry about tomorrow ndio maana una jistress kusomesha English Medium me I don't worry
 
Hii inakufaa wewe ndio una worry about tomorrow ndio maana una jistress kusomesha English Medium me I don't worry
Hivi kwa nini umekazania neno kujistress?mimi mwanangu anasoma nina furaha kila asubuhi nikisikia honi getini nashukuru Mungu na kumtukuza hiyo stress unayoiongelea wewe ni ipi?Una worry sana ndio maana upo busy eti kampeni ya kurudisha watoto kayumba huku ukinadi sera yako kusomesha watoto EM ni matumizi mabaya ya pesa,,,haya utueleze hizo pesa tuzifanyie nini tukishazipata?
 
Hivi kwa nini umekazania neno kujistress?mimi mwanangu anasoma nina furaha kila asubuhi nikisikia honi getini nashukuru Mungu na kumtukuza hiyo stress unayoiongelea wewe ni ipi?Una worry sana ndio maana upo busy eti kampeni ya kurudisha watoto kayumba huku ukinadi sera yako kusomesha watoto EM ni matumizi mabaya ya pesa,,,haya utueleze hizo pesa tuzifanyie nini tukishazipata?
Starehe
 
Hivi kwa nini umekazania neno kujistress?mimi mwanangu anasoma nina furaha kila asubuhi nikisikia honi getini nashukuru Mungu na kumtukuza hiyo stress unayoiongelea wewe ni ipi?Una worry sana ndio maana upo busy eti kampeni ya kurudisha watoto kayumba huku ukinadi sera yako kusomesha watoto EM ni matumizi mabaya ya pesa,,,haya utueleze hizo pesa tuzifanyie nini tukishazipata?
You are a successfully manipulated woman . You are happy to pay for nothing. Kila mfanyabiashara ana tamani kupata mteja kama wewe
 
Hivi kwa nini umekazania neno kujistress?mimi mwanangu anasoma nina furaha kila asubuhi nikisikia honi getini nashukuru Mungu na kumtukuza hiyo stress unayoiongelea wewe ni ipi?
Hata walokole huwa wanalipa fungu la Kumi Kwa furaha Kwa mategemeo kwamba siku ya mwisho watazikuta Mbinguni. Ndicho unacho kifanya wewe

Una worry sana ndio maana upo busy eti kampeni ya kurudisha watoto kayumba huku ukinadi sera yako kusomesha watoto EM ni matumizi mabaya ya pesa,,,haya utueleze hizo pesa tuzifanyie nini tukishazipata?
 
Hivi kwa nini umekazania neno kujistress?mimi mwanangu anasoma nina furaha kila asubuhi nikisikia honi getini nashukuru Mungu na kumtukuza hiyo stress unayoiongelea wewe ni ipi?Una worry sana ndio maana upo busy

eti kampeni ya kurudisha watoto kayumba huku ukinadi sera yako kusomesha watoto EM ni matumizi mabaya ya pesa,,,haya utueleze hizo pesa tuzifanyie nini tukishazipata?
Sio kampeni ya kurudisha watoto Kayumba ni kampeni ya kufungua Akili za watanzania zilizo jifunga
 
Back
Top Bottom