Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

Wahehe na wamasai mbona wanasema ni wajeuri sana apart from wasukuma
Mhehe hata awe jeuri vipi hafiki kwa mnyakyusa, kifupi naona wachaga na wahaya wana afadhali kwa mnyakyusa kuanzia ujeuri na umalaya, labda mhaya hatamnyima wa kwao, wanasema wachanga watakudedisha naona Bado uzito mdogo, kuhusu wanyakyusa asilimia kubwa kaka zao ni watu poa sana, nimepata bahati ya kuishi na kufanya kazi vijijini za jamii za wachaga wahaya, masai kaka zao wakorofi sana wakilewa., wahehe nao dada zao si wachoyo sana ukioa wana afadhali,
Kifupi angalia mtu unayemuoa , chunguza , uliza , amua, dunia na imebadilika na jamii zimebadilika Sana kila kabila lina wastaarabu na malaya wa kupindukia
 
Wachaga ... Watakuua
Wahaya.... Wanagawa papuchi sana
Wanyakyusa... Watajazana ndani kwako uwasahau ndugu zako...
Wapareee...watakupiga juju..
Usibishane na wazazi wako wewe
 
Mhehe hata awe jeuri vipi hafiki kwa mnyakyusa, kifupi naona wachaga na wahaya wana afadhali kwa mnyakyusa kuanzia ujeuri na umalaya, labda mhaya hatamnyima wa kwao, wanasema wachanga watakudedisha naona Bado uzito mdogo, kuhusu wanyakyusa asilimia kubwa kaka zao ni watu poa sana, nimepata bahati ya kuishi na kufanya kazi vijijini za jamii za wachaga wahaya, masai kaka zao wakorofi sana wakilewa., wahehe nao dada zao si wachoyo sana ukioa wana afadhali,
Kifupi angalia mtu unayemuoa , chunguza , uliza , amua, dunia na imebadilika na jamii zimebadilika Sana kila kabila lina wastaarabu na malaya wa kupindukia
wazazi wetu waliona mbali sana
 
Kweli mkuuu...Sasa Wewe umeambiwa na Mama yako...unakuja kudhani wazazi wote wanawaza.kama.mama.yako...

Uwe unatumia Akili kidunchu tu..kabla hijadhirishisha ufinyu wa medula yako
itakuwa wewe mkeo au mama yako au wew2e mwenyewe ni mmoja wa ayo makabila
 
Daah kweli Mwl. Nyerere hakukosea kupinga ubaguzi wa aina yeyote kwa nguvu kubwa na kulazimisha lugha ya kiswahili ituunganishe wote.

Hapa unakuta kuna makabila yanajiona ni superior kumbe ni superior katika dhaifu.

Kwa mambo haya ya kubaguana basi unakuta wahindi na waarabu huko wanatuweka katika mwavuli mmoja wa "waswahili " na wanakataa kabisa kuoa waswahili.

Na ukija kwa wazungu sasa ndio hali ni mbaya zaidi , tunaitwa watu weusi.

Kujiona bora kuliko wengine ni jambo baya Sana kwani huwa likianza linagusa karibia Kila mtu halichagui, one way or another utajikuta unabaguliwa tu.
 
Habari wadau.

Topic hapo juu inajieleza huwa najiuliza hili swali bila majibu coz wazazi wengi huishia kusema tuu nimesema usioe Mnyakyusa, Mhaya au Mchaga bila kutoa ufafanuzi.

Kwanini? Hebu tujadiliane, kama unafahamu chochote kuhusu makatazo haya funguka hapa tafadhali
Nani kasema? Wewe oa ufe! Ndgu yangu wa kiume hawezi oa hizi kabila mfyuuuxc! Nani hajui Maarufu jijini. Dr likoko wa temeke kafia kwenye box km jibwa sababu ya haya makabila. Thubutuuuu!
 
Huo ni ukweli na wanaopinga humu wanatoka kwenye makabila hayo.

Wachaga wakiolewa wanataka wakuhamiahie kwenye familia yao. Yani eti mimi nikuoe alaf December na mimi nifunge safari kwenda uchagani.... over my deadbody.

Achana na kunipeleka mimi. Hata wew kwenda uchagani sio lazima December nitakupeleka hata March ukawaone wazazi. Ukifuatilia vzr ndoa nyingi za kichaga mara nyingi mwanamke yuko juu ya mwanaume.

Mapovu ruksa
yaani km uko mulemule!! Wanakuwa juu vibaya mnooo! Ukipanda unafyekwa mara moja km Jackie Marere kwafyeka wengi wengine walikimbia na bado wanamkimbia jiji zima linamjua.
 
Km kila mmoja ataenda kwako kwa muda anaotaka kuna ndoa hapo?
Suala la ucha Mungu kwa maana ya dini kubwa mbili za kiislam na kikristo/kikristu ni mapokeo yaliokuja na yanaendelea kuongezeka kutokana na matengenezo ya kiimani yanavyo endelea.
Tabia za makabila yetu zinaandamana sana na malezi na mila na desturi na hivi vina uhusiano na mazingira yaliyo mzunguka mhusika tangu kutungwa kwa mimba mpaka kufikia umri wa ndoa.
Mila nyingi za kitanzania ziliaminisha au kufundisha kuwa mwanamke" hana dini wala kabila" si kwa sababu mbaya ila inawezekana ikawa mbaya kwa "nyakati hizi"
Nguvu ya wazaz na ndugu wa mwanamke ina nafasi kubwa kwenye kuboresha au kuharibu ndoa yako "kimya kimya"
Kuliko ile nguvu ya wazaz na ndugu wa kiume ambapo dalili za ndoa kutofika mbali huonekana mapema sana kwa kua mambo mengi hayajifichi au hufanyika kwa uwazi zaidi hivyo km ndoa inakufa inakufa kwa " mshindo mkuu "kwa kuwa dalili huonekana mapeema.
Sasa jiulize vita ni vita ila je vita vya chini chini na vya hadharani vipi vina umiza kichwa?
Anaweza akawa sio mnyaki au mchaga kwa kuzaliwa ila familia yake ikawa imeolowea bukoba au moshi au mbeya kwa miaka mia au sabini au hamsini je huyu unadhani atakuwaje?
Je mfumonwa utatuzi wa migogoro kwenye makabila yetu upoje...namaanisha " oganizesheni na menejimenti" hasa kwenye mambo ya kijamii na kiuchumi?
Mfumo wq maisha baina ya wewe muoaji na hao waolewaji...tafsiri ya maisha,ndoa ,furaha,upendo...histori ya familia yenu na makabila uliyo yataja je kuna ndoa zenye tabu ambazo zinatoka kwenye makabila yenu na yao?
Nafasi ya wazaz kwenye kulinda mawazo mali elimu na mifumo ya kiuchumi walio iandaa kwa ajili ya hayo makablia na hilo kabila lenu k. Haita match ndoa itatumia nguvu kuitunza.
Aiseee sijakuelewa ata kidogo na nimesoma kwa umakin[emoji28]
 
Na ili uwe juu ya mchaga labda uwe na hela ya kuwazidi ukoo mzima, bila hivyo kila december utaenda moshi kutambika kwa mizimu usioijua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lol
 
wazazi wana uzoefu mkubwa. usijichanganye ukaingia kwenye hayo makabila yanayolalamikiwa ....utajutraa.
 
Umenku
Ni kwa sababu ndiyo makabila makubwa Tz na hakuna asiye yajua.
Ila kuna vikabila ambavyo havijulikani vina tabia za ajabu kuliko ata hayo makabila makubwa. So mimi naona kabila halina tija kwenye kujenga familia cha msingi mna tengeneza bond nzuri basi.
Kuna
Ni kwa sababu ndiyo makabila makubwa Tz na hakuna asiye yajua.
Ila kuna vikabila ambavyo havijulikani vina tabia za ajabu kuliko ata hayo makabila makubwa. So mimi naona kabila halina tija kwenye kujenga familia cha msingi mna tengeneza bond nzuri basi.
Kuna wapangwa uku njombe ni hatari,hata wakinga pia
 
Back
Top Bottom