Wazazi wenzangu embu jifunzeni kitu hapa kwa nilichokiona nikiwa safarini

Wazazi wenzangu embu jifunzeni kitu hapa kwa nilichokiona nikiwa safarini

Ila maisha ya shule bhana usiwalaumu. Nakumbuka sisi kipindi hicho tunatoka shule, nyanda za juu kusini, yalikuwa yanatufuata mabasi ya Summry, na hekima. Tukitoka shule kama watu vile na nyimbo tunaimba, ishu gari ikifika stand kuu, huwa tunashuka kidogo kutafuta bites,
Hapo ndo kosa, Watu wanarudi na chupa za maji ndani wamejaza viroba tu kuna pombe zilikuwa zinatoka Malaw na Zambia hatari. Ila ni utoto
 
Ila maisha ya shule bhana usiwalaumu. Nakumbuka sisi kipindi hicho tunatoka shule, nyanda za juu kusini, yalikuwa yanatufuata mabasi ya Summry, na hekima. Tukitoka shule kama watu vile na nyimbo tunaimba, ishu gari ikifika stand kuu, huwa tunashuka kidogo kutafuta bites,
Hapo ndo kosa, Watu wanarudi na chupa za maji ndani wamejaza viroba tu kuna pombe zilikuwa zinatoka Malaw na Zambia hatari. Ila ni utoto
Utoto na pombe wapi na wapi!? Sema nyinyi mlikua mijitu mizima mliojificha ndani ya uniform za uwanafunzi!!
 
Jumapili nilkuwanasafiri na gari kutoka west kilimanjaro to Dar.sitataja gari ya abiria niliyo safiri nayo.bahati nzuri au mbaya gari haikuwa na abiria wengi mpaka tumefika marangu gari ilikuwa na abiria kumi pamoja na mimi.Tulikaa sana pale kama dakika therasini.Tukaanza safari ya DAR.

Tumekuja taratibu mpaka tumefika upareni mwanga gari ikachepuka (bila taarifa kwa abiria)baadhi yetu wakaanza kuhoji mnatupeleka wapi huku? ndipo kondakta akatujulisha kuwa tunakwenda kucchukua wanafunzi ambao shule imefungwa na wanahitaji kurejea makwao.Tukawa hatunza neno japokuwa kibiashara haikuwa sawa kabisa.Anyway nisiingie huko siku nyingine nitaeleza sababu zinazoweza sababisha makampuni ya usafirishaji kuto dumu kwenye biashara hii ya uchukuzi.

Tukafika shule (jina la shule naficha) tukakuta watoto wamesha jiandaa wakaanza kupakia mizigo yao kwenye buti za gari kulingana na eneo analoshuka kama kawaida ya mabasi mengi.Watoto wakaanza kuingia ndani ya basi,na sisi wasafiri tuliotokea west kilimanjaro,tarakea na marangu tukaamuliwa sio kuombwa au excuses kuhamia seats za mbele ya basi.

WATOTO wakaanza kuingia ndani ya basi wakiwa wamevalia uniform ya skirt na tshirt ya shule yenye jina la shule na ujumbe,motto wa shule,baada ya wanafunzi kuingia wote kiongozi wa safari aka matron akaingia akawatangazia wanafunzi kuto badili nguo zao yaani uniforms hadi watakapofika mwisho wa safari
kioja ambacho nataka kuhadithia ni hiki,
watoto wote baada ya dakika ishirini hivi,tukiwa tayari tupo njia kuu DAR-ARUSHA watoto wote walikuwa wamefanya yafuatayo


1. Wote wamevaa suruali aina ya jeans,au big mark (suruali zenye mifuko pembeni) na tshirts zao sio za shule

2. Watoto wote walikuwa wamevaa cultures mikono yote na wengi wao zaidi ya tatu

3. Watoto wengi walikuwa wamesha paka rangi za kucha mikononi na miguuni

4. Watoto wengi walikuwa wamesha chinja kuku kwa mdomo(D2 wanajua hapa namaanisha nini)

5. Watoto wengi walikuwa wamepaka wanja na kulikuwa kuna mirror moja hivyo kila mwanafunzi akawa anaitaka ajitazame

6. Watoto wengi wamevaa miwani mikubwa ile ya kina dada wa mjini kama nicole wa bongo movie (msanii)

Nikajiuliza maswali mengi sana

1. hawa watoto kwa nini wabadili nguo ndani ya gari?,wana haraka gani? mbona sisi tulivyokuwa tunasoma tulikuwa tunasikia proud sana kutambulika kwa uniforms zetu?

2.wanabadili nguo ili waonekane kwa nani?,hawautaki uanafunzi? kuna shida gani wakirudi na hizo uniforms na hayo mengine yaanzie nyumbani?

Matron hakuwa na nguvu tena maana sikumsikia akisema chochote maana watoto walikuwa wanamfuata mbele kuomba simu ili wawasiriane na wazazi wao....so wazazi watoto wetu ndio hao
Du .........itaje shule tusipeleke watoto hapo.
 
Jumapili nilkuwanasafiri na gari kutoka west kilimanjaro to Dar.sitataja gari ya abiria niliyo safiri nayo.bahati nzuri au mbaya gari haikuwa na abiria wengi mpaka tumefika marangu gari ilikuwa na abiria kumi pamoja na mimi.Tulikaa sana pale kama dakika therasini.Tukaanza safari ya DAR.

Tumekuja taratibu mpaka tumefika upareni mwanga gari ikachepuka (bila taarifa kwa abiria)baadhi yetu wakaanza kuhoji mnatupeleka wapi huku? ndipo kondakta akatujulisha kuwa tunakwenda kucchukua wanafunzi ambao shule imefungwa na wanahitaji kurejea makwao.Tukawa hatunza neno japokuwa kibiashara haikuwa sawa kabisa.Anyway nisiingie huko siku nyingine nitaeleza sababu zinazoweza sababisha makampuni ya usafirishaji kuto dumu kwenye biashara hii ya uchukuzi.

Tukafika shule (jina la shule naficha) tukakuta watoto wamesha jiandaa wakaanza kupakia mizigo yao kwenye buti za gari kulingana na eneo analoshuka kama kawaida ya mabasi mengi.Watoto wakaanza kuingia ndani ya basi,na sisi wasafiri tuliotokea west kilimanjaro,tarakea na marangu tukaamuliwa sio kuombwa au excuses kuhamia seats za mbele ya basi.

WATOTO wakaanza kuingia ndani ya basi wakiwa wamevalia uniform ya skirt na tshirt ya shule yenye jina la shule na ujumbe,motto wa shule,baada ya wanafunzi kuingia wote kiongozi wa safari aka matron akaingia akawatangazia wanafunzi kuto badili nguo zao yaani uniforms hadi watakapofika mwisho wa safari
kioja ambacho nataka kuhadithia ni hiki,
watoto wote baada ya dakika ishirini hivi,tukiwa tayari tupo njia kuu DAR-ARUSHA watoto wote walikuwa wamefanya yafuatayo


1. Wote wamevaa suruali aina ya jeans,au big mark (suruali zenye mifuko pembeni) na tshirts zao sio za shule

2. Watoto wote walikuwa wamevaa cultures mikono yote na wengi wao zaidi ya tatu

3. Watoto wengi walikuwa wamesha paka rangi za kucha mikononi na miguuni

4. Watoto wengi walikuwa wamesha chinja kuku kwa mdomo(D2 wanajua hapa namaanisha nini)

5. Watoto wengi walikuwa wamepaka wanja na kulikuwa kuna mirror moja hivyo kila mwanafunzi akawa anaitaka ajitazame

6. Watoto wengi wamevaa miwani mikubwa ile ya kina dada wa mjini kama nicole wa bongo movie (msanii)

Nikajiuliza maswali mengi sana
1. hawa watoto kwa nini wabadili nguo ndani ya gari?,wana haraka gani? mbona sisi tulivyokuwa tunasoma tulikuwa tunasikia proud sana kutambulika kwa uniforms zetu?

2.wanabadili nguo ili waonekane kwa nani?,hawautaki uanafunzi? kuna shida gani wakirudi na hizo uniforms na hayo mengine yaanzie nyumbani?

Matron hakuwa na nguvu tena maana sikumsikia akisema chochote maana watoto walikuwa wanamfuata mbele kuomba simu ili wawasiriane na wazazi wao....so wazazi watoto wetu ndio hao
Hiz story huwa zinanifsnya ka moyo kangu kaende faster, nikifikiria inamaana ka binti kangu huko boarding kakianza kujanjaruka kuna njemba itakuwa inakanyemerea ikakule!
Kweli malipo ni hapa hapa, nikiwaza enzi hizo kabla ya WhatsApp na mobile phone, nilivyokuwa nakimbiza vibinti vya watu
 
18+years habakwi anakubali mwenyewe
Mkuu kwenye tafisri za kisheria hakuna kosa linalo itwa kufanya mapenzi bali kuna neno kubaka bila kujali muhathirika ana umri gani.

Tafisri ya neno kufanya mapenzi ni watu wawili walio kubaliana, lakini tafsiri ya kubakwa ni mmoja kati yao amelazimishwa kwa nguvu au kwa shinikizo fulani.
Na ndio maana ukikamatwa na mwanafunzi haushitakiwi kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi bali utashitakiwa kwa ubakaji na ubakaji hauna limit ya umri ya kuwa mtu akifika umri fulani hawezi kubakwa.
 
Mkuu kwenye tafisri za kisheria hakuna kosa linalo itwa kufanya mapenzi bali kuna neno kubaka bila kujali muhathirika ana umri gani.

Tafisri ya neno kufanya mapenzi ni watu wawili walio kubaliana, lakini tafsiri ya kubakwa ni mmoja kati yao amelazimishwa kwa nguvu au kwa shinikizo fulani.
Na ndio maana ukikamatwa na mwanafunzi haushitakiwi kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi bali utashitakiwa kwa ubakaji na ubakaji hauna limit ya umri ya kuwa mtu akifika umri fulani hawezi kubakwa.
Kasome sheria ya elimu (education act) section 60 A!! Mwanafunzi anayebakwa ni yule aliye chini ya 18 years!!!

Hao wengine wadangaji butua piga mashine mpaka wajambe
 
Jumapili nilkuwanasafiri na gari kutoka west kilimanjaro to Dar.sitataja gari ya abiria niliyo safiri nayo.bahati nzuri au mbaya gari haikuwa na abiria wengi mpaka tumefika marangu gari ilikuwa na abiria kumi pamoja na mimi.Tulikaa sana pale kama dakika therasini.Tukaanza safari ya DAR.

Tumekuja taratibu mpaka tumefika upareni mwanga gari ikachepuka (bila taarifa kwa abiria)baadhi yetu wakaanza kuhoji mnatupeleka wapi huku? ndipo kondakta akatujulisha kuwa tunakwenda kucchukua wanafunzi ambao shule imefungwa na wanahitaji kurejea makwao.Tukawa hatunza neno japokuwa kibiashara haikuwa sawa kabisa.Anyway nisiingie huko siku nyingine nitaeleza sababu zinazoweza sababisha makampuni ya usafirishaji kuto dumu kwenye biashara hii ya uchukuzi.

Tukafika shule (jina la shule naficha) tukakuta watoto wamesha jiandaa wakaanza kupakia mizigo yao kwenye buti za gari kulingana na eneo analoshuka kama kawaida ya mabasi mengi.Watoto wakaanza kuingia ndani ya basi,na sisi wasafiri tuliotokea west kilimanjaro,tarakea na marangu tukaamuliwa sio kuombwa au excuses kuhamia seats za mbele ya basi.

WATOTO wakaanza kuingia ndani ya basi wakiwa wamevalia uniform ya skirt na tshirt ya shule yenye jina la shule na ujumbe,motto wa shule,baada ya wanafunzi kuingia wote kiongozi wa safari aka matron akaingia akawatangazia wanafunzi kuto badili nguo zao yaani uniforms hadi watakapofika mwisho wa safari
kioja ambacho nataka kuhadithia ni hiki,
watoto wote baada ya dakika ishirini hivi,tukiwa tayari tupo njia kuu DAR-ARUSHA watoto wote walikuwa wamefanya yafuatayo


1. Wote wamevaa suruali aina ya jeans,au big mark (suruali zenye mifuko pembeni) na tshirts zao sio za shule

2. Watoto wote walikuwa wamevaa cultures mikono yote na wengi wao zaidi ya tatu

3. Watoto wengi walikuwa wamesha paka rangi za kucha mikononi na miguuni

4. Watoto wengi walikuwa wamesha chinja kuku kwa mdomo(D2 wanajua hapa namaanisha nini)

5. Watoto wengi walikuwa wamepaka wanja na kulikuwa kuna mirror moja hivyo kila mwanafunzi akawa anaitaka ajitazame

6. Watoto wengi wamevaa miwani mikubwa ile ya kina dada wa mjini kama nicole wa bongo movie (msanii)

Nikajiuliza maswali mengi sana
1. hawa watoto kwa nini wabadili nguo ndani ya gari?,wana haraka gani? mbona sisi tulivyokuwa tunasoma tulikuwa tunasikia proud sana kutambulika kwa uniforms zetu?

2.wanabadili nguo ili waonekane kwa nani?,hawautaki uanafunzi? kuna shida gani wakirudi na hizo uniforms na hayo mengine yaanzie nyumbani?

Matron hakuwa na nguvu tena maana sikumsikia akisema chochote maana watoto walikuwa wanamfuata mbele kuomba simu ili wawasiriane na wazazi wao....so wazazi watoto wetu ndio hao
Muanzisha Uzi nawe ni JINGA tu kama hao wanafunzi,sasa ulikuwa na haja gani kuanzisha Uzi mreeefu wakati jina la basi eti unaficha,jina la shule eti unaficha,Ili iwaje sasa unafichaficha!!mtu unatumia ID isiyojulikana lakini bado unafichaficha details Ili iwaje?ni vema ungekaa kimya tu kuliko kuanzisha Uzi na kufichaficha details nyingine,acha upimbi
 
Muanzisha Uzi nawe ni JINGA tu kama hao wanafunzi,sasa ulikuwa na haja gani kuanzisha Uzi mreeefu wakati jina la basi eti unaficha,jina la shule eti unaficha,Ili iwaje sasa unafichaficha!!mtu unatumia ID isiyojulikana lakini bado unafichaficha details Ili iwaje?ni vema ungekaa kimya tu kuliko kuanzisha Uzi na kufichaficha details nyingine,acha upimbi
THAT IS WHAT YOU SAY,THANK U
 
Kufanya NGONO na mwanafunzi above 18 sio kosa kisheriaView attachment 3162439
Screenshot_20240716-163434.jpg
 
Jumapili nilkuwanasafiri na gari kutoka west kilimanjaro to Dar.sitataja gari ya abiria niliyo safiri nayo.bahati nzuri au mbaya gari haikuwa na abiria wengi mpaka tumefika marangu gari ilikuwa na abiria kumi pamoja na mimi.Tulikaa sana pale kama dakika therasini.Tukaanza safari ya DAR.

Tumekuja taratibu mpaka tumefika upareni mwanga gari ikachepuka (bila taarifa kwa abiria)baadhi yetu wakaanza kuhoji mnatupeleka wapi huku? ndipo kondakta akatujulisha kuwa tunakwenda kucchukua wanafunzi ambao shule imefungwa na wanahitaji kurejea makwao.Tukawa hatunza neno japokuwa kibiashara haikuwa sawa kabisa.Anyway nisiingie huko siku nyingine nitaeleza sababu zinazoweza sababisha makampuni ya usafirishaji kuto dumu kwenye biashara hii ya uchukuzi.

Tukafika shule (jina la shule naficha) tukakuta watoto wamesha jiandaa wakaanza kupakia mizigo yao kwenye buti za gari kulingana na eneo analoshuka kama kawaida ya mabasi mengi.Watoto wakaanza kuingia ndani ya basi,na sisi wasafiri tuliotokea west kilimanjaro,tarakea na marangu tukaamuliwa sio kuombwa au excuses kuhamia seats za mbele ya basi.

WATOTO wakaanza kuingia ndani ya basi wakiwa wamevalia uniform ya skirt na tshirt ya shule yenye jina la shule na ujumbe,motto wa shule,baada ya wanafunzi kuingia wote kiongozi wa safari aka matron akaingia akawatangazia wanafunzi kuto badili nguo zao yaani uniforms hadi watakapofika mwisho wa safari
kioja ambacho nataka kuhadithia ni hiki,
watoto wote baada ya dakika ishirini hivi,tukiwa tayari tupo njia kuu DAR-ARUSHA watoto wote walikuwa wamefanya yafuatayo


1. Wote wamevaa suruali aina ya jeans,au big mark (suruali zenye mifuko pembeni) na tshirts zao sio za shule

2. Watoto wote walikuwa wamevaa cultures mikono yote na wengi wao zaidi ya tatu

3. Watoto wengi walikuwa wamesha paka rangi za kucha mikononi na miguuni

4. Watoto wengi walikuwa wamesha chinja kuku kwa mdomo(D2 wanajua hapa namaanisha nini)

5. Watoto wengi walikuwa wamepaka wanja na kulikuwa kuna mirror moja hivyo kila mwanafunzi akawa anaitaka ajitazame

6. Watoto wengi wamevaa miwani mikubwa ile ya kina dada wa mjini kama nicole wa bongo movie (msanii)

Nikajiuliza maswali mengi sana
1. hawa watoto kwa nini wabadili nguo ndani ya gari?,wana haraka gani? mbona sisi tulivyokuwa tunasoma tulikuwa tunasikia proud sana kutambulika kwa uniforms zetu?

2.wanabadili nguo ili waonekane kwa nani?,hawautaki uanafunzi? kuna shida gani wakirudi na hizo uniforms na hayo mengine yaanzie nyumbani?

Matron hakuwa na nguvu tena maana sikumsikia akisema chochote maana watoto walikuwa wanamfuata mbele kuomba simu ili wawasiriane na wazazi wao....so wazazi watoto wetu ndio hao
Ukoo wa panya ni panya tu,angalia mifumo yetu mbali mbali tunavyoiendesha,chukulia tu jinsi uaminifu ulivyomomonyoka hata kwenye ile iliyo msingi wa maendeleo yetu wenyewe,tazama hata vituko vitakavyo tokea ama vinavyoendelea hivi punde.
 
Jumapili nilkuwanasafiri na gari kutoka west kilimanjaro to Dar.sitataja gari ya abiria niliyo safiri nayo.bahati nzuri au mbaya gari haikuwa na abiria wengi mpaka tumefika marangu gari ilikuwa na abiria kumi pamoja na mimi.Tulikaa sana pale kama dakika therasini.Tukaanza safari ya DAR.

Tumekuja taratibu mpaka tumefika upareni mwanga gari ikachepuka (bila taarifa kwa abiria)baadhi yetu wakaanza kuhoji mnatupeleka wapi huku? ndipo kondakta akatujulisha kuwa tunakwenda kucchukua wanafunzi ambao shule imefungwa na wanahitaji kurejea makwao.Tukawa hatunza neno japokuwa kibiashara haikuwa sawa kabisa.Anyway nisiingie huko siku nyingine nitaeleza sababu zinazoweza sababisha makampuni ya usafirishaji kuto dumu kwenye biashara hii ya uchukuzi.

Tukafika shule (jina la shule naficha) tukakuta watoto wamesha jiandaa wakaanza kupakia mizigo yao kwenye buti za gari kulingana na eneo analoshuka kama kawaida ya mabasi mengi.Watoto wakaanza kuingia ndani ya basi,na sisi wasafiri tuliotokea west kilimanjaro,tarakea na marangu tukaamuliwa sio kuombwa au excuses kuhamia seats za mbele ya basi.

WATOTO wakaanza kuingia ndani ya basi wakiwa wamevalia uniform ya skirt na tshirt ya shule yenye jina la shule na ujumbe,motto wa shule,baada ya wanafunzi kuingia wote kiongozi wa safari aka matron akaingia akawatangazia wanafunzi kuto badili nguo zao yaani uniforms hadi watakapofika mwisho wa safari
kioja ambacho nataka kuhadithia ni hiki,
watoto wote baada ya dakika ishirini hivi,tukiwa tayari tupo njia kuu DAR-ARUSHA watoto wote walikuwa wamefanya yafuatayo


1. Wote wamevaa suruali aina ya jeans,au big mark (suruali zenye mifuko pembeni) na tshirts zao sio za shule

2. Watoto wote walikuwa wamevaa cultures mikono yote na wengi wao zaidi ya tatu

3. Watoto wengi walikuwa wamesha paka rangi za kucha mikononi na miguuni

4. Watoto wengi walikuwa wamesha chinja kuku kwa mdomo(D2 wanajua hapa namaanisha nini)

5. Watoto wengi walikuwa wamepaka wanja na kulikuwa kuna mirror moja hivyo kila mwanafunzi akawa anaitaka ajitazame

6. Watoto wengi wamevaa miwani mikubwa ile ya kina dada wa mjini kama nicole wa bongo movie (msanii)

Nikajiuliza maswali mengi sana
1. hawa watoto kwa nini wabadili nguo ndani ya gari?,wana haraka gani? mbona sisi tulivyokuwa tunasoma tulikuwa tunasikia proud sana kutambulika kwa uniforms zetu?

2.wanabadili nguo ili waonekane kwa nani?,hawautaki uanafunzi? kuna shida gani wakirudi na hizo uniforms na hayo mengine yaanzie nyumbani?

Matron hakuwa na nguvu tena maana sikumsikia akisema chochote maana watoto walikuwa wanamfuata mbele kuomba simu ili wawasiriane na wazazi wao....so wazazi watoto wetu ndio hao
Kwani lazima kuvalishwa mi uniform mkirudi nyumbani? Ujima tu huo. Sisi tulisoma shule zenye nidhamu lakini kipindi mkienda home mnasuka vizuri na mnavaa mnachotaka. Suruali sawa, gauni sawa .
 
Hukusoma boarding wewe!!?
Namshangaa. Hizo ni tabia za wanafunzi wakiwa pamoja. Ndio maana shule nyingi hawawachanganyi wanafunzi na abiria wengine. Sisi tulikuwa tunapewa mabehewa yetu bila kuchangamana na wengine. Kwa hiyo sio jambo jipya. Wakikua wataacha.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Mambo yao waachie wenyewe...

Bora hao, Kuna wabafunzi wengine wanakula bangi, wanashinda vijiweni...


Cc: Mahondaw
Wako wengi tu. Kuna mtoto wa dada yangu alisoma Islamic school tena shule iko strict, lakini walienda kuiba ng'ombe mtaani na kuchinja wakachoma na kula. Mama yao na baba yao ni watu wa dini, nyumbani hakuna mziki unapigwa, ni mambo ya dini tu. Ila sasa, yeye na mdogo wake wameishia kuwajaza watoto wa watu mimba ingali wote ni wadogo. Haya mambo hayana ujanja.
 
Kasome sheria ya elimu (education act) section 60 A!! Mwanafunzi anayebakwa ni yule aliye chini ya 18 years!!!

Hao wengine wadangaji butua piga mashine mpaka wajambe
Mkuu usicho kielewa ni kitu gani kwenye maelezo yangu?

Hakuna kitu kinacho itwa kubaka mwanafunzi bali kubaka ni kosa la jinai bila kujali ume mbaka nani na ana umri gani.
Na ndio maana ukikamatwa na mwanafunzi kwenye hati yako ya mashitaka haitaandikwa kuwa fulani ametenda kosa la kumbaka mwanafunzi ,bali itaandikwa fulani anashitakiwa kwa kumbaka fulani.
Ukikamatwa na mwanafunzi waendesha mashitaka wa serikali wanacho fanya ni kutengeneza mazingira yatakayo onesha kuwa ulifanya ubakaji kwa kumlazimisha kulala naye,hasa kwa kumshinikiza binti akili mbele ya mahakama kuwa ulimbaka kweli.
Sasa binti akisha iambia mahakama kuwa ulimbaka kweli ,sasa hapa kazi ya mshitakiwa ni kuonesha ushahidi wa kuwa hukumbaka bali mlikubaliana kitu ambacho ngumu kudhibitisha.

Linapo kuja kwenye suala la sheria ya kubaka mwanamke ana nguvu kubwa sana na anaweza kukupozea jera iwapo akiamuwa.
Mfano una demu wako mkakosana ili kukukomoa anaweza kukutengenezea kesi ya kumbaka na ukajikuta kwenye matatizo makubwa.
 
Back
Top Bottom