Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MDA -Ministries, Departments, AgenciesHuko watakaoenda kufanya kazi maswala ya mipunga yamekaaje maana shortlist kwa ajili ya interview washatoa. Kwa ambao mna ufahamu ama uelewa wa MDA na LGA tuwekane sawa.
Ngoja tumuwekee na mifano hai ili aelewe vema.MDA -Ministries, Departments, Agencies
LGA- Local Goverments Agencies
Maana yake unaweza kupangiwa kwenye kituo chochote hapo,
Kuhusu mishahara inategemea na elimu na sehemu utakayopangiwa (Mara nyingi wanatumia TGS)
.....na vile January 09 hii shule zimefunguliwa, nadhani ulimaanisha Local Government Authority, sema mikono ikacheza kidogoLGA- Local Goverments Agencies
Hapana mkuu, amepatia ni Agencies na si Authority......na vile January 09 hii shule zimefunguliwa, nadhani ulimaanisha Local Government Authority, sema mikono ikacheza kidogo
Kwa kiswahili ni Mamlaka za Serikali za Mitaa, nadhani haupo aware sana nazo!!Hapana mkuu, amepatia ni Agencies na si Authority.
Hizo pigo za MDAs hujazielewa? Nenda huko mpaka TPDC wapo category hiyo. Huwa wanakuwa na scale zao za salaryHuku MDA panaendeka [emoji3][emoji3][emoji3] vipi kuhusu LDA?
Inawezekana mkuu, maana kada yangu ni tofauti na hayo mambo Ila nilishawahi kuona sehemu wakiwa wameandika hivyo hivyo.Kwa kiswahili ni Mamlaka za Serikali za Mitaa, nadhani haupo aware sana nazo!!
Yah. Huko ndiko watu wanafyonza athali bila bugha na ukisikia mtu anasema ameula ujue ndio huko bossHuko MDA ndio mahali sahihi ambako watumishi wanamenya.
Walikosea, nimefanya kazi nao for about 6 years.... najua ni Local Government Authority not Agency, Agency ina fall kwenye MDA's yaani Ministries, Departments and Agencies.Inawezekana mkuu, maana kada yangu ni tofauti na hayo mambo Ila nilishawahi kuona sehemu wakiwa wameandika hivyo hivyo.
Uko sahihiWalikosea nimefanya kazi nao for about 6 years.... najua ni Loca Government Authority not Agency, Agency ina fall kwenye MDA's yaani Ministries, Departments and Agencies.
Ogopa kitu kinaitwa LGA , utashinda na njaa sana.Huko watakaoenda kufanya kazi maswala ya mipunga yamekaaje maana shortlist kwa ajili ya interview washatoa.
Kwa ambao mna ufahamu ama uelewa wa MDA na LGA tuwekane sawa.
Duh, so ukipangiwa MDA sindio unyama mzee. Hao LGA sitaki hata kuwasikiaOgopa kitu kinaitwa LGA , utashinda na njaa sana.
Itakua mfumo wako wa maisha yani namaanisha chai jagi kitumbua kimoja.
Ile Idea ya moja ya tatu, wasomi wanaiita "one-third" ilitokana na watumishi wa LGAs feat. ndugu zao wa MDA kulala na njaa sana.
Wadau wako wa Maendeleo watakua ni Tunakopesha Ltd, FINCA et al. Unawajua wale wadau wanaosalimishaga ATM Cards zao kwa wadau wa maendeleo? Basi wale ndo watu wa LGAs na MDAs.
Ila, ukiwa na akili timamu, narudia tena ukiwa na akili timamu maisha utakua umeyapatia.
Hiyo kazi ya MDAs na LGAs zikubali ukiwa na akili timamu unatoboa. Ukizubaa utakua kama Sajenti wa Polisi aliyefanya kazi ya kufukuza nzi kwenye Force kwa miaka kenda rudi.
Werevu wamenielewa. Nakutakia utumishi mwema.
[emoji1][emoji1][emoji3577]Huku MDA panaendeka [emoji3][emoji3][emoji3] vipi kuhusu LDA?