Na wabadilishe kabla deadline ya kuapply kazi husika haijafika, wakibadilisha after deadline taarifa zinazochukuliwa ni zile kabla ya deadlineBadilisheni address zenu kwenye portal mtasumbuka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wabadilishe kabla deadline ya kuapply kazi husika haijafika, wakibadilisha after deadline taarifa zinazochukuliwa ni zile kabla ya deadlineBadilisheni address zenu kwenye portal mtasumbuka sana
Kote kote, mfano unaweza kuwa afisa kilimo wizara ya Kilimo hapo ni MDA ama ukawa afisa kilimo halmashauri hapo ni LGAJamani sisi wakulima tunaenda wapi??
MDA au LGA??
Ok asante wakili msomi.Kote kote, mfano unaweza kuwa afisa kilimo wizara ya Kilimo hapo ni MDA ama ukawa afisa kilimo halmashauri hapo ni LGA
Kama Jambo hatulielewi ni vema kukaa kimya,Nachojua ni kama taasisi ambazo zina wasimamia wafanyakazi kulingana na taaluma mfano
LGA local gvt agency hii special sana kwa maafisa watendaji wa mitaa na taaluma zote ambazo zina shilikiana na watendaji wa mitaa
Sawa mkuu
Mpaka hapo ishakula kwao wabadilishe kwa ajili ya maombi yajayoNa wabadilishe kabla deadline ya kuapply kazi husika haijafika, wakibadilisha after deadline taarifa zinazochukuliwa ni zile kabla ya deadline
Hivi mfano kama ni mtu wa beekeeping ukapata local government unaweza kuchezesha ukahamia tfs ?Ogopa kitu kinaitwa LGA , utashinda na njaa sana.
Itakua mfumo wako wa maisha yani namaanisha chai jagi kitumbua kimoja.
Ile Idea ya moja ya tatu, wasomi wanaiita "one-third" ilitokana na watumishi wa LGAs feat. ndugu zao wa MDA kulala na njaa sana.
Wadau wako wa Maendeleo watakua ni Tunakopesha Ltd, FINCA et al. Unawajua wale wadau wanaosalimishaga ATM Cards zao kwa wadau wa maendeleo? Basi wale ndo watu wa LGAs na MDAs.
Ila, ukiwa na akili timamu, narudia tena ukiwa na akili timamu maisha utakua umeyapatia.
Hiyo kazi ya MDAs na LGAs zikubali ukiwa na akili timamu unatoboa. Ukizubaa utakua kama Sajenti wa Polisi aliyefanya kazi ya kufukuza nzi kwenye Force kwa miaka kenda rudi.
Werevu wamenielewa. Nakutakia utumishi mwema.
Unashinda ofsini unasoma gazeti [emoji1787]Watu wanakimbia hizi kazi coz mtu unakuwa hujui utapangwa wap, MDA au LGA, hapo ndo kuna shida [emoji23]
Utumishi wa Umma hatutaki janja janja. Kuchezesha ndio kitu gani?Hivi mfano kama ni mtu wa beekeeping ukapata local government unaweza kuchezesha ukahamia tfs ?
Taratibu basi [emoji16] ..namaanisha kuhamaUtumishi wa Umma hatutaki janja janja. Kuchezesha ndio kitu gani?
Karibu sanaOk asante wakili msomi.
Acha uongo, hujui kitu unaongea,Ogopa kitu kinaitwa LGA , utashinda na njaa sana.
Itakua mfumo wako wa maisha yani namaanisha chai jagi kitumbua kimoja.
Ile Idea ya moja ya tatu, wasomi wanaiita "one-third" ilitokana na watumishi wa LGAs feat. ndugu zao wa MDA kulala na njaa sana.
Yombo zipo njia ya kuelekea changanyikeni kwa UDSM ukifika tu hapo ukiuliza utaonyeshwa coz UDSM sio pakubwa kama UDOM.Wale wa udsm yombo hall mtuambie ndio wapi huko
Ngoja tumuwekee na mifano hai ili aelewe vema.
MDA mfano TRA, TPA, NIDA, NIMR, MSD nk
M ni wizara zote unazozijua wewe, (ministries) mfano wizara ya afya, wizara ya elimu, madini, uvuvi, kilimo, sheria, kazi, mambo ya ndani, mambo ya nje, usafirishaji, teknolojia etcM hujaiwekea Mifano, umeweka ya Ds & As
Unabwabwaja tu hujui hata nimeandika nini hapo. Nani kasema Serikali waajiri ni wawili kama sio mmoja?Acha uongo, hujui kitu unaongea,
Serikali mwajiri ni mmoja tu hivyo hata leo ukifanya interview kwa ajili ya LGAs una room kubwa ya kuhamia any Government entity in 2-3 years.
Wapo wengi ninaowafahamu walianza LGAs kwenye salary scale ya TGS lkn ss wapo MDAs + Authorities za maana sana na wanakula Salary za maana....
LGAs it can be just a path to the green pasture, Issue kubwa hapa ni focus.
Wewe jiandae kuwa Afsa nyuki wilayaHivi mfano kama ni mtu wa beekeeping ukapata local government unaweza kuchezesha ukahamia tfs ?