Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanakimbia hizi kazi coz mtu unakuwa hujui utapangwa wap, MDA au LGA, hapo ndo kuna shida [emoji23]Usicheke mzee, kuna upande mmoja ni buyu la asali upande mwengine ni buyu la aloe vera [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja tumuwekee na mifano hai ili aelewe vema.
MDA mfano TRA, TPA, NIDA, NIMR, MSD nk
Chongo na Kengeza hao. Ila MDAs ukipata M ya kueleweka angalau kipofu kaona mweziDuh, so ukipangiwa MDA sindio unyama mzee. Hao LGA sitaki hata kuwasikia
We lisha wadau matango Pori tu.Ngoja tumuwekee na mifano hai ili aelewe vema.
MDA mfano TRA, TPA, NIDA, NIMR, MSD nk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usicheke mzee, kuna upande mmoja ni buyu la asali upande mwengine ni buyu la aloe vera [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao wataoenda LGA's karibia wote watakuwa wanatumia TGS maana watakuwa chini ya Halmashauri Mbalimbali za miji na wilaya.MDA -Ministries, Departments, Agencies
LGA- Local Goverments Authorities
Maana yake unaweza kupangiwa kwenye kituo chochote hapo,
Kuhusu mishahara inategemea na elimu na sehemu utakayopangiwa (Mara nyingi wanatumia TGS)
Ukishaskia MDAs ujue ngoma inalipwa Hazina. Mnatakiwa mjue jinsi mifumo ya nchi hii inavyofanya kazi ndio mtawaweza kufaidi keki ya TaifaHao wataoenda LGA's karibia wote watakuwa wanatumia TGS maana watakuwa chini ya Halmashauri Mbalimbali za miji na wilaya.
MDA's hawa watakuwa tofauti kulingana na Taasisi husika
Acha uongo na propagandaWe lisha wadau matango Pori tu.
MDAs kwanza hazina uwezo hata wa kugharamia mchakato wa ajira za utumishi ndio maana wanapewaga watu wa kwenye "Database".
Huwezi na hawakubali kubadilishaJe katika kazi za MDAs na LGAs ambazo usahili wake umepangwa kufanyika katika kanda nne naweza kubadilisha kanda ya kufanyia usahili.....mfano nimepangiwa kanda ya Dodoma lakini kwa sasa nipo Dar es Salaam?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini humwambiii mwenzako ukweli tu[emoji23][emoji23].....na vile January 09 hii shule zimefunguliwa, nadhani ulimaanisha Local Government Authority, sema mikono ikacheza kidogo
Badilisheni address zenu kwenye portal mtasumbuka sanaJe katika kazi za MDAs na LGAs ambazo usahili wake umepangwa kufanyika katika kanda nne naweza kubadilisha kanda ya kufanyia usahili.....mfano nimepangiwa kanda ya Dodoma lakini kwa sasa nipo Dar es Salaam?
Kaka mbona unadanganya watu hadharani, MDA ni kazi za Wizara zote unazozijua (Ministries) Mashirika yote ya umma unayojua na departments zote unazojua, mifano imetolewa hapo juu, LGA sasa nahisi ndo uloongelea hapo maana ni kazi za Local Government sanasana Halmashauri. Vitu vingine uwe unauliza kabla hujaja kuaibika hukuWe lisha wadau matango Pori tu.
MDAs kwanza hazina uwezo hata wa kugharamia mchakato wa ajira za utumishi ndio maana wanapewaga watu wa kwenye "Database".