Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi karibu zote za Serikali Sasa zinatangaza kazi via psrsHyo MDA nahis ni wizara tu mana hzo MSD, TRA, TPDC, nazo zinatoaga kazi UTUMISHI
Oya TPDC mbona wametoa kaz wanataka wahasibu walitoa UTUMISHI bado hawajitaUlichoandika wewe ni kama mtu akiajiriwa LGAs atastaafia hapo. Na si kweli kwamba LGAs kuna hiyo Chai jagi kitumbua kimoja, uongo mtupu....zipo Councils under LGAs ambazo ziko vzr kwa own source na wanaishi vzr tu..... na huko MDAs ambako nako unasema kuna shida ni uongo...mfano TPDC inafall kwenye MDAs hapo ukweli wako uko wapi...nonsense ndo maana nakwamvia wewe hujui unachoongea u speak frm story za vijiweni....again sio lazima ujue yote.....kama hujui piga buyu!!!
MDA ni wizara tu mkuu mana hao kina TANROAD , TPDC, nao huwa wanatoa kazi... Huko huko UTUMISHIMDAs na LGAs ni kisanga, How ever, kama ni MDA upate wizara nzuri, Idara safi au Agency safi kama TANROAD
Ila kama wewe ni Afisa nyuki II wilaya ya Namtumbo bora ubaki mjini tutafute hela
upate kwanza pa kuingiliaMDAs na LGAs ni kisanga, How ever, kama ni MDA upate wizara nzuri, Idara safi au Agency safi kama TANROAD
Ila kama wewe ni Afisa nyuki II wilaya ya Namtumbo bora ubaki mjini tutafute hela
Thats the gentle focus!!! Kudos....upate kwanza pa kuingilia
M-inistries; Afya, Elimu, Nishati etcMDA ni wizara tu mkuu mana hao kina TANROAD , TPDC, nao huwa wanatoa kazi... Huko huko UTUMISHI
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Afisa Nyuki dah kmmmk walai cheo chenyewe tu kinaashiria we hata M hufiki.MDAs na LGAs ni kisanga, How ever, kama ni MDA upate wizara nzuri, Idara safi au Agency safi kama TANROAD
Ila kama wewe ni Afisa nyuki II wilaya ya Namtumbo bora ubaki mjini tutafute hela
Yaaaah.. Soon tutapata check namba na tutakuwa Watumishi Wema na waadilifuKaribuni utumishi wakuu. Uadilifu ni muhimu sana katika kujenga nchi yetu pendwa Tanzania.
Kikubwa ni cheki namba tu. Karibuni sana wakuu.
😂😂😂 Mkuu mbona unawadharau hivyo.. hyo kada watu wanainjoi life huwezi jua🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Afisa Nyuki dah kmmmk walai cheo chenyewe tu kinaashiria we hata M hufiki.
Asali italambwa Ila haizuii kuwa mtumishi MwemA.. tutakula honey kihalaliWatumishi wema wakati ni zama za kulamba asali hizi 😀
Uhakika baada ya paperjaman mshahara wa LGA ni bei gan ? na MDA ni ngap?