Wazee hizi MDA na LGA ndio vitu gani haswa kwenye maswala ya utumishi?

Ulichoandika wewe ni kama mtu akiajiriwa LGAs atastaafia hapo. Na si kweli kwamba LGAs kuna hiyo Chai jagi kitumbua kimoja, uongo mtupu....zipo Councils under LGAs ambazo ziko vzr kwa own source na wanaishi vzr tu..... na huko MDAs ambako nako unasema kuna shida ni uongo...mfano TPDC inafall kwenye MDAs hapo ukweli wako uko wapi...nonsense ndo maana nakwambia wewe hujui unachoongea u speak frm story za vijiweni....again sio lazima ujue yote.....kama hujui piga buyu!!!
 
Oya TPDC mbona wametoa kaz wanataka wahasibu walitoa UTUMISHI bado hawajita
 
MDAs na LGAs ni kisanga, How ever, kama ni MDA upate wizara nzuri, Idara safi au Agency safi kama TANROAD

Ila kama wewe ni Afisa nyuki II wilaya ya Namtumbo bora ubaki mjini tutafute hela
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Afisa Nyuki dah kmmmk walai cheo chenyewe tu kinaashiria we hata M hufiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…