Tetesi: Wazee kumshauri Tundu Antipas Lissu kupumzika au kuacha siasa kabisa

Tetesi: Wazee kumshauri Tundu Antipas Lissu kupumzika au kuacha siasa kabisa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
 
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Mimi mwenyewe naunga mkono aachane na siasa za CHADEMA aje CCM amalizie uzee wake vizuri
 
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Stori ya kujitungia tu hii baki nayo mwenyewe
 
Wazo hilo la mwisho(na umejitungia ukiwa unaota moto)ni wazo mfu na la kuchekesha sana.
sasa hayo mawazo mengine umeyakubali halafu hilo moja ukatae, useme nimetunga,

sasa si uwe na hoja basi za msingi za madai yako, kama ulivyo zikubali hizo sababu nyingine za hao wazee? 🐒
 
CCM Ina uzuri gani kila siku wawekeana sumu.
ni muhimu kuzingatia maoni ya wazee na ushauri wao kwa huyo muungwana kiongozi...

uoga wa vijana wengi umewafanya wawe hapo walipo sasa hivi 🐒
 
Siasa ni maisha na lifestyle ya mtu Lisu hawezi kuacha siasa au uanaharakati that's the way he is....

Labda niseme it's for the country benefit kama tungeachana na hizi siasa za kilaghai na majitaka za wanasiasa wote na magenge yao (CCM na CHADEMA) sababu mpaka sasa wanatumia tu kodi zetu bila return ya maana kwenye maigizo yasiyo na tija....
 
Back
Top Bottom