Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kama ni kweli,wanapotosha sana.Wakaendelee tu kuchimba madoo/viazi huko Iguguno na Kititimo wastawishe uchumi wao.Hapo Utemini hapawafai.Wataishia kupigwa na upepo mkali kwenye nyuso zao wapauke tu.Wazee wa pale kwenye kijiwe cha Kahawa karibu na ofisi ya Ccm pale karibu na soko kuu la Singida 🤣😅😂👍