Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah, aise kumbe?Siasa ni maisha na lifestyle ya mtu Lisu hawezi kuacha siasa au uanaharakati that's the way he is....
Labda niseme it's for the country benefit kama tungeachana na hizi siasa za kilaghai na majitaka za wanasiasa wote na magenge yao (CCM na CHADEMA) sababu mpaka sasa wanatumia tu kodi zetu bila return ya maana kwenye maigizo yasiyo na tija....
Afuate kichwa chake kinavyomtuma na sio wengine wanvyotaka..., by the way kufanya what is right ni lazima awe CCM au CHADEMA...,kuhusu kuacha ataacha siku akifa sababu hayo ndio maisha yake, that is what makes him complete, mtu hawezi kuacha maisha yake....dah, aise kumbe?
but ushauri wa wazee kwa Lisu unaizunguziaje kwa mfano, afuate upi sasa kwa mfano, kupumzika au kuelekea ccm?🐒
kifupi tu gentleman...
Unaandika mno Mwamba! Ni muoga mno Mwamba!ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...
kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,
ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...
au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....
au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..
unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?
una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Wewe ni Simbilisi 😀Bwashee wewe ni mbusii
Mtu akishaweza kugundua stori za kutunga ina maana ana uwezo mkubwa wa kukutungia nyingine na ukaamini ni za ukweli.kama ni stori,
si utunge na wewe basi tuone gentleman 🐒
Hata redio zinatumia data?Huyo tayari keshajiunga CCM mbona bado kutangazwa tuu.
Msizime data
Uandishi wako unaonesha kabisa bado umevaa kaniki na shanga kichwani bila kusahau ulivyojipaka majivu usoni kutoka mapangoni.mambo ya mizimu na ushirikina ni muhimu mkaayafanya kibinafsi tu huko huko jamani, publicly mbona ni aibu na fedhaha jaman but mna ujasiri kiasi hicho 🐒
basi mwende sasa kuliko kuendekeza ushirikina kwenye hoja muhimu na ya maana namna hii, kwa mustakabali mwema wa siasa na ustawi wa demokrasia ya vyama vingi nchini 🐒Kujitenga ni hadi tupate wasaa wa kuongea na mzee Mangula na Kikwete watutoe hofu hiyo.
nakubali gentleman 👊💪Afuate kichwa chake kinavyomtuma na sio wengine wanvyotaka..., by the way kufanya what is right ni lazima awe CCM au CHADEMA...,kuhusu kuacha ataacha siku akifa sababu hayo ndio maisha yake, that is what makes him complete, mtu hawezi kuacha maisha yake....
Kama huamini, angalia speed yake kwa sasa ni kama imeshuka.alaaaa,
hivi unasema kweli ndrugo yangu?🐒
Mti wenye matunda ndio upigwao mawe !!ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...
kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,
ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...
au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....
au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..
unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?
una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Unahangaika sanani muhimu kuzingatia maoni ya wazee na ushauri wao kwa huyo muungwana kiongozi...
uoga wa vijana wengi umewafanya wawe hapo walipo sasa hivi 🐒
Wazee wa pale kwenye kijiwe cha Kahawa karibu na ofisi ya Ccm pale karibu na soko kuu la Singida 🤣😅😂👍Ungewataja hao wazee
hii siasa ni kazi pia gentleman, ni kweli hujui?🐒Unaandika mno Mwamba! Ni muoga mno Mwamba!
Ushauri mwingine muachie mke wa Lissu!!
Tatizo lenu nyie wavukana wa Kizanzibar mnakuwaga na mazoea yasiyo na afya Kwa Waume za watu. Nani anawafundisha huo ujinga?
Punguza mazoea na ufanye kazi zako za heshima