Tetesi: Wazee kumshauri Tundu Antipas Lissu kupumzika au kuacha siasa kabisa

dah, aise kumbe?

but ushauri wa wazee kwa Lisu unaizunguziaje kwa mfano, afuate upi sasa kwa mfano, kupumzika au kuelekea ccm?πŸ’

kifupi tu gentleman...
 
dah, aise kumbe?

but ushauri wa wazee kwa Lisu unaizunguziaje kwa mfano, afuate upi sasa kwa mfano, kupumzika au kuelekea ccm?πŸ’

kifupi tu gentleman...
Afuate kichwa chake kinavyomtuma na sio wengine wanvyotaka..., by the way kufanya what is right ni lazima awe CCM au CHADEMA...,kuhusu kuacha ataacha siku akifa sababu hayo ndio maisha yake, that is what makes him complete, mtu hawezi kuacha maisha yake....
 
Unaandika mno Mwamba! Ni muoga mno Mwamba!

Ushauri mwingine muachie mke wa Lissu!!

Tatizo lenu nyie wavukana wa Kizanzibar mnakuwaga na mazoea yasiyo na afya Kwa Waume za watu. Nani anawafundisha huo ujinga?

Punguza mazoea na ufanye kazi zako za heshima
 
Usiwasingizie wazee.Ulikuwa pangoni unaongea na mizimu.
mambo ya mizimu na ushirikina ni muhimu mkaayafanya kibinafsi tu huko huko jamani, publicly mbona ni aibu na fedhaha jaman but mna ujasiri kiasi hicho πŸ’
 
mambo ya mizimu na ushirikina ni muhimu mkaayafanya kibinafsi tu huko huko jamani, publicly mbona ni aibu na fedhaha jaman but mna ujasiri kiasi hicho πŸ’
Uandishi wako unaonesha kabisa bado umevaa kaniki na shanga kichwani bila kusahau ulivyojipaka majivu usoni kutoka mapangoni.
 
Kujitenga ni hadi tupate wasaa wa kuongea na mzee Mangula na Kikwete watutoe hofu hiyo.
basi mwende sasa kuliko kuendekeza ushirikina kwenye hoja muhimu na ya maana namna hii, kwa mustakabali mwema wa siasa na ustawi wa demokrasia ya vyama vingi nchini πŸ’
 
nakubali gentleman πŸ‘ŠπŸ’ͺ
 
Mti wenye matunda ndio upigwao mawe !!
Ukiona mtu anajadiliwa sana ujue wanaomjadili wanamkubali sana na pia humo humo wapo wanao muogopa sana !
That’s it Gentleman !πŸ™ŒπŸ‘
 
hii siasa ni kazi pia gentleman, ni kweli hujui?πŸ’

unanifatilia mno gentleman, right?
karibu sana library kwangu one day mbona utafurahi mno aise, kama ambavyo ukinifuatilia hukosi kujua jambo but hukosi kuchangia,

kwasabb ni mambo mazito ya maana kwa lugha nyepesi na rahisi kabisa kwa kila moja kuelewa...

hayo ya kifamilia nadhani ni ya watu wa uswahilini, binafsi nadeal na masuala ya jumla kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa pekee πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…